The UnderTaker astaafu mieleka baada ya kupoteza pambano dhidi ya Reigns

Hehe hivi bado kuna mtu mzima anaamini miereka?
Its obvious kua it's fake.
 
Zama zake zimekisha,bora ameacha angepigwa haya na shasha banks
 
Nimependa maneno ya Reign kwa Taker kuwa anamuheshimu na ni legend
 
Hivi huu mchezo hauna upangaji matokeo na uigizaji kweli..!?
Maana me nikiangalia huwa nahisi kama kila kitu kimepangwa kabla ya pambano..!
 
Mieleka si michezo ni maigizo inabidi ipostiwe jf chit chat huko.
 
Huu mchezo mzima unakuwa scripted kabisa na kuna kuwa na producer wa show aU mechi....na style zinazopigwaA huwa zinapigwa kwa ustadi wa juu saNa ndo maana inaitwa proffesional wrestling..mf styles kaMa tombstone na rko ni deadly styles kabisa...ndo maaana wwe syo sport bali ni entertainment
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…