The undisputed and magnificent artists: Wasanii wenye uwezo mkubwa zaidi Bongo


Diamond wamwache Tu, jamaa anapambana , if hardworking pay bas huyu jamaaa ameutendea haki huo msemo, japo ana madhaifu yake lakn the guy amewa-outclass wote , hakuna wa kumfikia up to now
 
Hapo kidogo tu ukosee kumtaja ally kiba.... Maana ndo msanii mwenye upeo mdogo kuliko wote... Can u bilieve mpaka leo hii anaamini anarogwa?


Sent through Subaru Forester
 
Roberto hautaki kuacha salama kwamba uliwahi kuishi?
Kuacha alama ni vizuri mkuu....hata mie napenda pia...... But hiyo haitakuwa na msaada kwangu kipindi hicho...itakuwa ni sifa tu nisizozifaidi..... Ila kukuelewa nimekuelewa.
 

Too shallow umeacha wengi bana


Nadhan ulilenga diamond


Mnapoharibu article zenu ni kumuingiza Kiba

Automatically ni kama diamond hajisimamii mpaka umtaje kiba?
 
Hapo kidogo tu ukosee kumtaja ally kiba.... Maana ndo msanii mwenye upeo mdogo kuliko wote... Can u bilieve mpaka leo hii anaamini anarogwa?


Sent through Subaru Forester
Tuachie GOAT wetu
 
Too shallow umeacha wengi bana


Nadhan ulilenga diamond


Mnapoharibu article zenu ni kumuingiza Kiba

Automatically ni kama diamond hajisimamii mpaka umtaje kiba?
Tatizo unampenda kiba hadi reasoning unapoteza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…