Chief-Mkwawa
Platinum Member
- May 25, 2011
- 31,559
- 42,179
Hio ni champions league?
Hio ni champions league?
Njoo na takwim mkuu sio maneno matupuHakuna mchezaji Kama Ronaldo na atakuja kutokaea.OVER
~.A Philanthropist|Economist|Business Consultant|Entrepreneur|Agricultural Applied &Natural Resources Economics Mentor.~
Huu uzi naona unaenda Circle tu, vyote hivi tumeshadiscuss huko nyuma.
Mkuu unataka robo na fainali ili iweje???Huu uzi naona unaenda Circle tu, vyote hivi tumeshadiscuss huko nyuma.
Sawa Ronaldo Kacheza mechi nyingi, ila magoli zaidi ya 70 ya Messi ni hatua za Makundi unalizungumziaje hili?
Messi ana Goli 71 makundi na goli 29 kwenye 16 bora Jumla goli 100, ni goli 20 tu ndio Robo, nusu na Fainali.
Wakati Ronaldo yeye hafungi sana Vibonde anasubiria wale wakubwa.
Mfano Angalia Robo fainali
Messi mechi 23 Goli 12
Ronaldo mechi 22 goli goli 25
Hivyo unaona mashindano yakianza tu kuwa magumu efficiency ya Messi inapotea.
Ukienda nusu na Fainali vile vile Ronaldo anamkimbiza Messi nusu Ronaldo goli 13 Messi 6 tu, na Fainali Ronaldo Ana 4 Messi 2, fainali Ronaldo kazi funga timu tatu tofauti tofauti Chelsea, Atletico na Juve wakati Messi ni Man u tu.
Mkuu ukitoa man U mashindano yote makubwa Messi hajawahi funga
1. Copa America mechi 5 na dakika zaidi ya 540 jamaa Hana Goli
2. World cup fainali Hana Goli
3. Champions league fainali zote ambazo hawajacheza na Man u hana Goli.
Mnyonge mnyongeni Haki yake mpeni, Ronaldo amekuwa ni mfungaji wa Mechi muhimu sana, na Magoli yake ni Crucial kuzipa Timu yake ubingwa.
Messi is attacking midfielder, still anacheza kwenye hizo stats. Hivi hauoni maajabu ya huyo kiumbe!!!Ushahidi ni website ya Uefa.
Assist
Ronaldo 42
Messi 36
All-time Player | Most assists Stats | UEFA Champions League
Visit UEFA.com for comprehensive player Most assists all-time stats for UEFA Champions League, including goals, matches played, and many more.www.uefa.com
Magoli
Ronaldo 134
Messi 120
Champions League all-time top scorers: Cristiano Ronaldo, Lionel Messi, Robert Lewandowski, Karim Benzema | UEFA Champions League
Cristiano Ronaldo and Lionel Messi lead the way for Champions League goals, with Robert Lewandowski now clear in third and a goal from his own century. Ronaldo has netted for Manchester United, Real Madrid and Juventus, with Messi on target for Barcelona and Paris Saint-Germain.www.uefa.com
Na ukiangalia magoli yao sasa ndio unaona utofauti mkubwa.
Magoli mengi ya Messi ni makundi na 16 bora ila ikifika Robo, nusu na Fainali si sana.
Ronaldo yeye ni tofauti kuanzia Robo, Nusu na Fainali yeye ndo anazipenda.
Mfano nusu Ronaldo Ana Goli 13 na messi ana 6 tu, Even Lewandowski amempita Messi kwenye Nusu
Champions League semi-final records and statistics | UEFA Champions League 2023/24
Cristiano Ronaldo, Robert Lewandowski, Kylian Mbappé and more – from goals and appearances to most wins and youngest scorers, we get the lowdown on the greatest last-four feats in the UEFA Champions League and European Cup.www.uefa.com
Kumfunga no name makundi na kufunga hattrick na bayern ni vitu viwili tofauti.Mkuu unataka robo na fainali ili iweje???
Tuambie average goals per game tukuelewe
Mkuu sijui umeanza kuangalia lini mpira ila unalinganisha Ronaldo na messi miaka yao wakiwa wamefika 30.Messi is attacking midfielder, still anacheza kwenye hizo stats. Hivi hauoni maajabu ya huyo kiumbe!!!
Messi anachezesha timu, messi akipotea kuna uwezekano mkubwa timu ikapotea hiyo game
Cr7 yeye hachezeshi timu, timu ikipotea sababu sio yeye,
Cr7 is goal machine
Goal machine vs attacking midfielder
Still kwenye satats za goal machine anapata tabu kwa attacking midfielder
Ukitoa goals za penalty, nadhan hatutamuita tena goal machine
Ronaldo anayengunga fainali ana Euro ngapiKumfunga no name makundi na kufunga hattrick na bayern ni vitu viwili tofauti.
Angekuwa Messi anafunga fainali sasa hivi Angekuwa na copa America 5, world cup 1, usijibaraguze kulinganisha goli la fainali na makundi.
Leo hii schik na Ronaldo wamefunga magoli mengi Euro ila watu wanamuongelea Chiesa, japo hajawafikia hao magoli, sababu tu kiwango chake kilikuwa ni top level jinsi mashindano yanavyo progress.
Mkuu copa America kuna Nchi 8 tu tena kubwa ni Brazil na Argentina tu.Ronaldo anayengunga fainali ana Euro ngapi
ukubwa wa Ulaya ni majina tuMkuu copa America kuna Nchi 8 tu tena kubwa ni Brazil na Argentina tu.
Kwa ulaya ukiambiwa utaje timu kali 5 Portugal hawapo, ili Ronaldo abebe Uefa inabidi Ujerumani, Spain, Ufaransa, Italy, Ubelgiji na wengine wengi wote wawe vibaya.
Hio 2016 yenyewe bahati ilikuwa upande wao. Lakini jamaa kafight.
ukubwa wa Ulaya ni majina tu
Nchi kama Columbia Paragua Mexico Urugua Chile unaziita ndogo kwenye ulimwengu wa Soka???
Hauko siriazi mkuu
Ligi za Ulaya zimejaa Latin Americans
Kwanza Mexico ni marekani ya kaskazini watoe.ukubwa wa Ulaya ni majina tu
Nchi kama Columbia Paragua Mexico Urugua Chile unaziita ndogo kwenye ulimwengu wa Soka???
Hauko siriazi mkuu
Ligi za Ulaya zimejaa Latin Americans
Sawa Messi ni Bora duniani na Ronaldo ni level za Ndondo, umefurahi?
Kwanza Mexico ni marekani ya kaskazini watoe.
Na copa America wapo vizuri sikatai ila huwezi fananisha Paraguay na Italy ama Chile na Ujerumani, ama Ufaransa na Uruguay
Brazil wanawabeba copa America, ukiwatoa hao, Hakuna Timu ya Copa inayoingia Top 5 ya Timu za Ulaya.
Hii hoja nimeshaijibu ila kichwa chako kigumu kuelewa na ndio maana unazunguka circle.View attachment 1859517
View attachment 1859518
Mkuu kwa hizi takwimu unapata wapi ujasiri wa kubishana