The Undisputed Messi

Hatutaki mashoga
Sent using Jamii Forums mobile app
 

Unataka atoke barca aende lipuli!! Akili za watanzania bwana
 

Ronaldo anaweza kuwa ni mzuri lakini vigoo wa soka duniani hawampendi kwa sababu ya tabia yake...ni mkorofi, ana majivuno na nyodo, misifa na kadhalika, kwa starehe kama mabibi ndiye mwenyewe..kwa ujumla viongozi wa soka duniani wanamuona Ronaldo siyo Role model mzuri wa soka...Messi ana nyota ya kupendwa na vigogo wa soka duniani kutokana na tabia yake ya upole, ukimya kutokuwa na majivuni..kasoro yake pekee ni kuwa hana mafanikio na timu ya taifa...lakini kwa vigezo vya utandazaji wa soka kwangu mimi Messi yuko juu ya Ronaldo....
 

Mijitu mingine bwana Eti "ili tujuwe bora aende akacheze ligi ingine" wewe kama nani unasema hivyo!!!!!!! haya ni maneno ya mkosaji, hayana maana yeyote....wivu unawasumbua nyie viumbe
...

King Lionel Messi against English teams in the Champions League: 22 goals, 6 assists. More than teams from any other country.....

EINSTEIN112 Ebu wawekee na records zake alivyozinyanyasa tim za uingereza...
 
Top 7 players with most trophies in Europe
#7. Gerard Pique – 30 trophies
#6. Zlatan Ibrahimovic – 31 trophies
#5. Maxwell – 32 trophies
#4. Andres Iniesta – 32 trophies
#3. Lionel Messi – 33 trophies
#2. Dani Alves – 34 trophies
#1. Ryan Giggs – 35 trophies

NITAFUTIENI RONALDO😉😉😉

Messi anaenda kuvunja hii record very soon coz ana muda mrefu wa kucheza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…