Ronaldo anaweza kuwa ni mzuri lakini vigoo wa soka duniani hawampendi kwa sababu ya tabia yake...ni mkorofi, ana majivuno na nyodo, misifa na kadhalika, kwa starehe kama mabibi ndiye mwenyewe..kwa ujumla viongozi wa soka duniani wanamuona Ronaldo siyo Role model mzuri wa soka...Messi ana nyota ya kupendwa na vigogo wa soka duniani kutokana na tabia yake ya upole, ukimya kutokuwa na majivuni..kasoro yake pekee ni kuwa hana mafanikio na timu ya taifa...lakini kwa vigezo vya utandazaji wa soka kwangu mimi Messi yuko juu ya Ronaldo....
Kwa wasiojua kufikiri yes ila kwa wanaojua kufikiri.
1. Ronaldo hana Tattoo sijui kama awe amechora sasa hivi niwe sifahamu.
2. Wa kwanza kufika mazoezini na wa mwisho kuondoka. Hii imeripotiwa na watu mbalimbali toka sporting lisbon, Man united, madrid na juve.
-at sporting
https://www.goal.com/en/news/ronald...-at-sporting-after/12s262l50c82v1rtfas3r4xbmz
-At man united
Tevez anasema hajawahi kuwahi kabla ya ronaldo mazoezini kuna kipindi mazoezi saa 3 asubuhi akawahi saa 1 na nusu asubuhi akamkuta, next time akasema ngoja awahi zaidi akaja 12 asubuhi akamkuta. Unafikiri mkuu huyu ni mtu wa starehe kama unavyoaminishwa?
Carlos Tevez opens up on Lionel Messi and Cristiano Ronaldo's training ground routines | Daily Mail Online
-At madrid miguel Torres "CR9 first to arrive last to leave Training
https://www.goal.com/en/news/12/spa...raises-cristiano-ronaldos-performance-in-real
-At juve Ronaldo anaelekea kuwa babu la Gazzeta dello sport linareport same thing wa kwanza kufika mazoezini na wa mwisho kuondoka.
The typical day of Ronaldo: First to arrive, last to leave | Calciomercato.com
3. Mchezaji mwenye fat ndogo sana, just asilimia 7 akiwa katika age ya 33 hii ilijulikana wakati anapimwa afya na juve. Ni physique ya 20 yrs old boy.
Cristiano Ronaldo has the physical attributes of a 20-year-old | Daily Mail Online
4. Mlo wake. Evra anakuambia Ronaldo akikualika kula usiende utakuta tu mbogamboga huko
Evra: If Ronaldo invites you over for lunch, don't go
5. Mtu mzuri na mwenye Huruma.
Tumeona jamaa time to time akitoa utajiri wake kusaidia watu wasiojiweza, sio tu visenti baadhi ya mambo ya Ronaldo aliyofanya.
-point namba moja nimesema Ronaldo hana Tattoo, unajua sababu? Jamaa anasaidia sana damu yake kwa wahitaji, imagine na utajiri wake na anavyojali afya yake na kuwa katika peak ila still halimsaidii kusaidia waonaohitaji kwa kutoa damu.
-Espn wamereport Ronaldo kuna kombe lake moja ameliuza na kuraise Euro laki 6 (kama bilioni 2 za kitanzania) na kutoa sadaka kwa wasiojiweza
-mwaka 2015 amekuwa listed kama mwanamichezo anayetoa sadaka zaidi (sio mpira tu wanamichezo wote)
-mwaka 2015 Nepal ilipopata Earthquake ronaldo alichangia dola milioni 5 (zaidi ya bilioni 10 za madafu) na huo ni zaidi ya msahara wake wa mwezi.
-1.5m kujenga shule mbalimbali Gaza palestine
-kusaidia vitu vya watoto yatima syria
-165k kujenga kituo cha cancer
-kuna mtoto alikuwa anasumbuliwa na ugonjwa wa ubongo wakamuomba atoe jezi na viatu jamaa akavitoa na akagharamia matibabu yote.
Vyote hivyo ukitaka source taja kimoja nitakutajia.
Na charity nyingi sio yeye anaesema amezitoa bali zinavuja au wafaidika wenyewe wanasema. Hujui anavyofanya kwa siri.
Mkuu kwa hizo quality unaamza vipi kumchukia? Na hao vigogo wa soka ndio hawa wanaoforge kura za baloon d or na kujiaibisha kila siku?
Kwangu mimi ronaldo ni role model wa kila mchezaji na binadamu wa kuigwa.