The Undisputed Messi

Kwasababu hatujua ila unaongea pumba sana mkuu
Age ya mbape na uwezo wake ni thamani kubwa sana

Yan kwa akili zako unafikiri ronaldinho ana thamani kubwa kuliko lukaku

Sent using Jamii Forums mobile app
Ronaldinho ameshastafu mbona

~.A Philanthropist|Economist|Business Consultant|Entrepreneur|Agricultural Applied &Natural Resources Economics Mentor.~
 
UEFA ameichukua Madrid plus nguvu ya teammates wote sio cr7
Hakuwepo cr7 peke yake uwanjani

Basi ata benzema na yeye kabeba izo UEFA 3

Sent using Jamii Forums mobile app
Ko kwa mantiki hiyo benzema ni Bora kuliko Messi si ndio?

~.A Philanthropist|Economist|Business Consultant|Entrepreneur|Agricultural Applied &Natural Resources Economics Mentor.~
 
mkuu wewe naona huna akili kabisa akafanye nini uko na ndo maana ronaldo alipokuwa anataka aongezew dau real madrid za kunyapia nyapia aljibiwa ivi KAMA VIPI SEPA UNATAKA ULIPWE KAMA MESSI
Hakuna kama Ronaldo mnyama anayebisha na. MBLOCK

~.A Philanthropist|Economist|Business Consultant|Entrepreneur|Agricultural Applied &Natural Resources Economics Mentor.~
 
that true,,,,,,
Ndo mana nikasema KAMA MESSI HAMESHINDWA KUCHUKUA U.E.F.A 3 MFULULIZO,BASI RONALDO NI HAMSHA POPO.

~.A Philanthropist|Economist|Business Consultant|Entrepreneur|Agricultural Applied &Natural Resources Economics Mentor.~
 
https://www.washingtonpost.com/news...-scores/?noredirect=on&utm_term=.0b556e511037


SO SELFISH MAN
 


https://www.washingtonpost.com/news...s-his-teammate-scores/?utm_term=.8fc0aefadaa8
 

http://www.sportbible.com/football/...-angry-with-his-real-madrid-teammate-20171109
 


The reason why Ronaldo is 'very angry with Real Madrid teammate'

Cristiano Ronaldo angry at Real Madrid team-mate for celebration snub

Juventus star bashed for reaction to teammates goal
 
Na ajawahi kutokea mchezaji na atatokea kuchukua U.E.F.A tatu mfululizo eboooh

~.A Philanthropist|Economist|Business Consultant|Entrepreneur|Agricultural Applied &Natural Resources Economics Mentor.~
WE MATAKO KWELI, TIMU NZIMA IMECHUKUA MARA 3 SIO RONALDO
 
Cha ajabu mtoa anaonekana yuko biased from the beginning Hahaaa

Cha kumuuliza ni kwamba, mara ngapi Messi kazifunga hizo timu za huko kwenye ligi zingine? kama hajawahi kuwafunga hata mara moja ni sawa
HUJAELEWEKA MKUU WE WEKA TAKWIMU ZAKO
 
Ishu ya kubaka vipi??

Sent using Jamii Forums mobile app
 



Hizo picha hapo chini ni za msimu ulioisha(2017/2018) katika ligi nne kubwa Ulaya katika takwimu za aliyeongoza kwa kukokotoa, kutengeneza nafasi za mabao, kutoa pasi za mwisho na ufungaji wa magoli. La liga maeneo yote manne yalitawaliwa na messi. Wanaosema Messi ni bora kuliko Ronaldo wanaangalia uwezo alionao katika kutengeneza magoli(katika tatu bora ya wanaotengeneza magoli ulaya messi hakosi hapa washindani wake ni akina James Rodrigues, De brune na sio ronaldo), uwezo alio nao katika kutoa pasi za mwisho(katika tatu bora ya wanaotoa pasi za mwisho ulaya messi hakosi hapa washindani wake ni akina Kelvin de brune na sio ronaldo ), uwezo alio nao katika kukokotoa mpira(katika tatu bora ya wakokotoaji wa mpira ulaya messi hakosi hapa washindani wake ni akina hazadi na neymar na sio ronaldo), uwezo alionao katika kufunga magoli(katika tatu bora ya wafungaji wa magoli ulaya messi hakosi hapa ndipo anaposhindana na ronaldo).

Ronaldo na Messi ni wachezaji bora sana na wameonyesha uwezo mkubwa na rekodi kubwa katika ufungaji wa magoli lakini messi ana vitu vingine vya ziada(kukokotoa mpira, kutengeneza magoli, kutoa pasi za mwisho) ambavyo amevitawala.
 

Attachments

  • laliga.jpg
    75.7 KB · Views: 22
  • serie-a.jpg
    98.2 KB · Views: 19
  • epl.jpg
    90.9 KB · Views: 22
  • ligue1.jpg
    92.7 KB · Views: 20




Hawa jamaa huwa wananifurahisha sana kwa Kiwanja.Ukijua mpira kamwe huwezi kuchukia hawa watu wawili..wana udambwi udambwi mwingi sana..achana na watoto wahuni wahuni hawa sijui kina nani.
 

Attachments

  • 1553248005868.png
    198.5 KB · Views: 22
  • 1553248263441.png
    91 KB · Views: 22
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…