The US Defence Department “Pentagon” think tank warned Magufuli of political repression

Kuna mtu huwa ana-copy na ku-paste hizi kuzileta humu katika fake links mbali mbali. Hii habari ni ile ile sentence na maudhui toka January.
 
For that reasons, we tanzanians we shall accept and join forces with any person who intend to eredicatr these hooligans and that we exceedingly deepens in autocratic rules by self proclaiming Mzalendo uchwara.

Thank you CIAs for that obervation. We welcome you to support civilian in the effort to get rid of poor minded fifth phase government by 28 october 2020
 
Whether is has demovratic rule or not but we can surely state that magufuli's rule is authoritarian.
 
Kuna mtu huwa ana-copy na ku-paste hizi kuzileta humu katika fake links mbali mbali. Hii habari ni ile ile sentence na maudhui toka January.
Ni hao hao Wamarekani huwa hawana haraka siku wakiweka miguu yote jiwe chali na CCM chali!
 
Wakafie mbele uko waka deal na Qeen Elizabeth the second nchi yetu haiwahusu....
 
hiko kipeperushi chako hakina impact yoyote
pia wanajua hawawezi kufanya chochote juu ya tz ya magu
kama unafkiri ni rahisi hivyo washaurini waje wamchomoe bas3
 
Kweli nyumbu ni nyumbu tu 😁😁😁endelea kuota
 
political science [emoji16][emoji16][emoji16]
 
Hiyo summary sasa... duh!

Me mwalimu wa Kiswahili tatizo
 
Mtu unapaswa kujiuliza swali rahisi tu,

Mtu aliyewahi kukutawala kwa mabavu hapo awali ,

Ambaye aliwafanya watumwa babu zako na mpaka leo anaendelea na ubaguzi kwa watu wa aina yako. Ana anaanzaje ghafla tu kuwa mtetezi wako, yaani ghafla tu anaanza kukupenda. Hapana , hawa jamaa wana agenda mbaya.
 
Umeanza vizuri ila huku mwisho ukaharibu kusema NENO LA BWANA ambapo neno lenyewe limeletwa na wao na huyo bwana mwenyewe ni huyohuyo unaemkataa

Tutaendelea kuzugwa zugwa weee mpaka! Na ni kweli tunazugika. Hawa jamaa na huku kuonyana sijui kushtakiana mara kuitana majina mabaya nk yote ni kutupumbaza tu

Binafsi huwa siamini kama kweli Raisi wa China hapatani na wa Marekani au Wa Marekani haziivi na wa Urusi. Tena siamini kama kweli Maraisi wa nchi wanachama wa Jumuiya ya Madola au Umoja wa Mataifa wanarun mataifa yao bila kufuata maelekezo kutoka kwa WAKUBWA WA HIZO JUMUIYA mpaka kufikia kuonekana wanakosea

Me huwa sielewi kabisa kwanini tunapata taabu kuchanganua majambo wakati hawa viongozi wa kidunia (viongozi wa nchi) wote lao moja... ndiyo VIONGOZI WA MATAIFA DUNIANI WOTE LAO MOJA
 
Marekani ya skuiz legelege sana....
Ingekua ile ya Bush huyu dikteta angeshachomolewa kama mimba mbovu
 
We are slaves in our coubtry it can't be strange to be slaves in other country too.
Amia huko basi kama unajiona hauko huru kwenye ardhi ya babu na baba zako
uligundua lini kua hauko huru?

af soma tena coment yako vizuri 😂😂acha kutumia lugha za kuungaunga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…