The US Defence Department “Pentagon” think tank warned Magufuli of political repression

The US Defence Department “Pentagon” think tank warned Magufuli of political repression

Umeanza vizuri ila huku mwisho ukaharibu kusema NENO LA BWANA ambapo neno lenyewe limeletwa na wao na huyo bwana mwenyewe ni huyohuyo unaemkataa

Tutaendelea kuzugwa zugwa weee mpaka! Na ni kweli tunazugika. Hawa jamaa na huku kuonyana sijui kushtakiana mara kuitana majina mabaya nk yote ni kutupumbaza tu

Binafsi huwa siamini kama kweli Raisi wa China hapatani na wa Marekani au Wa Marekani haziivi na wa Urusi. Tena siamini kama kweli Maraisi wa nchi wanachama wa Jumuiya ya Madola au Umoja wa Mataifa wanarun mataifa yao bila kufuata maelekezo kutoka kwa WAKUBWA WA HIZO JUMUIYA mpaka kufikia kuonekana wanakosea

Me huwa sielewi kabisa kwanini tunapata taabu kuchanganua majambo wakati hawa viongozi wa kidunia (viongozi wa nchi) wote lao moja... ndiyo VIONGOZI WA MATAIFA DUNIANI WOTE LAO MOJA
mkuu usione hizi kelele ni hasira za kunyang'anywa tonge, asilimia kubwa ya watu wanaolalamika sasa ni wale waliokuwa wananufaika na mfumo ulioruhusu wanufaike.

Fedha inazokusanya sasa serikali na kuzipeleka kwenye miradi hizo ndio zilikuwa ziingie kwenye mifuko yao, hivyo kuugeuza uchumi wetu tegemezi wa hali kama hiyo, ndio maana Chadema wakaja na sera ya maendeleo ya watu na sio vitu kwa kuangalia trend ya malalamiko ya mitandaoni wakisahau kwamba Magufuli anafanya mambo yanayowagusa wengi hasa wa kada ya chini ambao ni wengi zaidi ya hao wanaolalamika mitandaoni.

Ukiangalia mitandaoni utafikiri kitanuka muda si mrefu il situation on the ground is quite different watu wanamchukulia Magufuli kama kiongozi shupavu na wanamuadmire sana.
 
New York, Friday September 11 2020

IN SUMMARY

• The ruling party's anti-democratic actions could call into question any claim of victory it makes in the national elections scheduled for next month, the centre predicted.

• Under President Magufuli, Tanzania has witnessed “a pattern of murders, assaults and disappearances” aimed at opposition activists and figures within CCM who criticise the country's direction.

• The analysts drew a sharp contrast between President Magufuli's autocratic rule and founding President Julius Nyerere's commitment to democratic norms.

New York,

Tanzania's “democratic experiment” is imperiled by repressive laws and political violence being carried out by the country's ruling party, a think tank affiliated with the US Defence Department warned on Tuesday.

Over the past five years, President John Magufuli “has banned rallies, muzzled the press, cowed and co-opted independent institutions and committed overt and covert violence against political opponents and 'dissenters' within the ruling Chama Cha Mapinduzi (CCM) party,” said an analysis by the Washington-based Africa Centre for Strategic Studies.

“Tanzanians today live in a climate increasingly filled with fear and reticence to exercise their rights lest they run afoul of a raft of new restrictive laws or suffer physical retribution,” the think tank added.

The ruling party's anti-democratic actions could thus call into question any claim of victory it makes in the national elections scheduled for next month, the centre predicted.

“This will necessarily have consequences for ties between the Magufuli government and democracy-supporting regional and international actors.”

The analysts drew a sharp contrast between President Magufuli's autocratic rule and founding President Julius Nyerere's commitment to democratic norms.

Mwalimu Nyerere “conceived of African liberation as the building of inclusive democracy, a free press, tolerance of criticism, respect for minorities and limits on power,” the Africa Centre observed.

Under President Magufuli, however, Tanzania has witnessed “a pattern of murders, assaults and disappearances” aimed at opposition activists and figures within CCM who criticise the country's direction.

“Violence has become deeply embedded in CCM’s current calculus of control,” the Pentagon think tank stated.

The Africa Centre quotes independent commentator Andrew Bomani, whose father worked as an aide to President Nyerere, as lamenting: “We had come to believe in a form of exceptionalism that such practices could never happen in our country.”

Media freedom

Freedom of the press has also deteriorated markedly since President Magufuli came to power in 2015, the assessment noted.

It cited the country's descent from 70th to 124th place in the annual global press freedom index compiled by Reporters Without Borders. That drop was the most precipitous of any country in the world during the past five years.

Many of the restrictions imposed on the Tanzanian society have been tightened this year on the grounds that such measures are needed to halt the spread of the coronavirus, the think tank notes.

President Magufuli has simultaneously claimed, however, that Tanzania has been purged of the virus. And the government has stopped publishing statistics on the number of infections in the country.

“Tanzania’s lack of transparency in response to the pandemic is widely seen as having accelerated the virus’s spread in East Africa,” the Africa Centre stated.

Hope remains, however, that Tanzania will return to a democratic path.

Mwalimu Nyerere's legacy, along with interventions by faith-based bodies, can serve as “a source of resilience in navigating the way forward,” the centre said.

In addition, “regional engagement is vitally important given Tanzania’s historical role in continental affairs,” the analysis suggested.

“This, however, must go beyond traditional diplomacy, given that the CCM is still viewed as a senior leader and mentor by fellow ruling liberation movements.” Much depends on these African leaders “overcoming their aversion to confronting the CCM”, the think tank observed.

Pentagon think tank accuses Magufuli of political repression | The East African
Baada ya pesa za kutibua nchi yetu kubanwa na kuwaacha vibaraka wao kushindwa hata kuchapisha mabango, sasa wameamua kuja na mkakati wa kuichafua Tanzania kwa kigezo cha demokrasia.

Wapambane na CORONA kwanza kabla hawajaanza kuongea ushuzi wao
 
New York, Friday September 11 2020

IN SUMMARY

• The ruling party's anti-democratic actions could call into question any claim of victory it makes in the national elections scheduled for next month, the centre predicted.

• Under President Magufuli, Tanzania has witnessed “a pattern of murders, assaults and disappearances” aimed at opposition activists and figures within CCM who criticise the country's direction.

• The analysts drew a sharp contrast between President Magufuli's autocratic rule and founding President Julius Nyerere's commitment to democratic norms.

New York,

Tanzania's “democratic experiment” is imperiled by repressive laws and political violence being carried out by the country's ruling party, a think tank affiliated with the US Defence Department warned on Tuesday.

Over the past five years, President John Magufuli “has banned rallies, muzzled the press, cowed and co-opted independent institutions and committed overt and covert violence against political opponents and 'dissenters' within the ruling Chama Cha Mapinduzi (CCM) party,” said an analysis by the Washington-based Africa Centre for Strategic Studies.

“Tanzanians today live in a climate increasingly filled with fear and reticence to exercise their rights lest they run afoul of a raft of new restrictive laws or suffer physical retribution,” the think tank added.

The ruling party's anti-democratic actions could thus call into question any claim of victory it makes in the national elections scheduled for next month, the centre predicted.

“This will necessarily have consequences for ties between the Magufuli government and democracy-supporting regional and international actors.”

The analysts drew a sharp contrast between President Magufuli's autocratic rule and founding President Julius Nyerere's commitment to democratic norms.

Mwalimu Nyerere “conceived of African liberation as the building of inclusive democracy, a free press, tolerance of criticism, respect for minorities and limits on power,” the Africa Centre observed.

Under President Magufuli, however, Tanzania has witnessed “a pattern of murders, assaults and disappearances” aimed at opposition activists and figures within CCM who criticise the country's direction.

“Violence has become deeply embedded in CCM’s current calculus of control,” the Pentagon think tank stated.

The Africa Centre quotes independent commentator Andrew Bomani, whose father worked as an aide to President Nyerere, as lamenting: “We had come to believe in a form of exceptionalism that such practices could never happen in our country.”

Media freedom

Freedom of the press has also deteriorated markedly since President Magufuli came to power in 2015, the assessment noted.

It cited the country's descent from 70th to 124th place in the annual global press freedom index compiled by Reporters Without Borders. That drop was the most precipitous of any country in the world during the past five years.

Many of the restrictions imposed on the Tanzanian society have been tightened this year on the grounds that such measures are needed to halt the spread of the coronavirus, the think tank notes.

President Magufuli has simultaneously claimed, however, that Tanzania has been purged of the virus. And the government has stopped publishing statistics on the number of infections in the country.

“Tanzania’s lack of transparency in response to the pandemic is widely seen as having accelerated the virus’s spread in East Africa,” the Africa Centre stated.

Hope remains, however, that Tanzania will return to a democratic path.

Mwalimu Nyerere's legacy, along with interventions by faith-based bodies, can serve as “a source of resilience in navigating the way forward,” the centre said.

In addition, “regional engagement is vitally important given Tanzania’s historical role in continental affairs,” the analysis suggested.

“This, however, must go beyond traditional diplomacy, given that the CCM is still viewed as a senior leader and mentor by fellow ruling liberation movements.” Much depends on these African leaders “overcoming their aversion to confronting the CCM”, the think tank observed.

Pentagon think tank accuses Magufuli of political repression | The East African
Has it done the same to Trump, to warn him against racist and racism actions against the BLACKS and migrants in the US!? Charity begins at home brother. Tell or remind the Pentagon to act positively to their internal or homeland calamities first before indulging in other countries affairs.
 
Mtu unapaswa kujiuliza swali rahisi tu,

Mtu aliyewahi kukutawala kwa mabavu hapo awali ,

Ambaye aliwafanya watumwa babu zako na mpaka leo anaendelea na ubaguzi kwa watu wa aina yako. Ana anaanzaje ghafla tu kuwa mtetezi wako, yaani ghafla tu anaanza kukupenda. Hapana , hawa jamaa wana agenda mbaya.
Halafu huyo huyo aliyekutawala anakufundishia jeshi lako na kukupa misaada kedekede, yaaani.
 
Hakika nimesoma neno kwa neno.

Jiwe ni mwana kulitafuta mwana kulipata.

Lissu amekuwa akisisitiza sana kuwa "uchaguzi huu si mwepesi kama wengi tunavyodhania"
na amekuwa akisisistiza kuwa yeye si mjinga.

Barua imejaa matendo yote ya Huyu dicteta uchwara.Hakuna dikteta mwenye mwisho Mzuri.

Mwana kulitafuta mwana kulipata.
Hivi hao Pentagon ni nani hasa? Kwa limbukeni, hao Pentagon ni kama vimiungu vya kuchonga hivyo wana viabudu sana na kuviamini na hasa hasa wanapoandika American pigeon English kuzuka washabiki wao. Hababaiki mtu hapa, hizo ni kelele za chura hazimzuii TEMBO kunywa maji!
 
CIA ya zamani isingelimchelewesha huyu mtu!
Hakuna lolote porojo tu. Walishindwa wakati wa ukombozi wataweza sasa. Sijui unaongelea CIA gani wakati walishindwa kuzuia Trumpet awe rais. USA wako over rated. Cuba tu iliwatoa kamasi, walichofanikiwa ni kumuua Bob Marley tu.
 
Huyu aelewi nguvu ya "mabeberu"aulize historia,CIA ilishawahi kumchomoa raisi wa nchi moja ya ulaya mashariki,Milosoveck,vidume viliingia usiku Ikulu,Raisi akatekwa,akaperekwa the hague,kushitakiwa,alifia jera.
Huyu ikifika siku,ataitwa The hague,akajitee,aende akaongee kisukuma,

Ujinga mtupu Waafrika sijui nani alituloga, watu na akili zao wanawewesekaweweseka tu. Kama USA wajuzi mbona wameshindwa na kaugonjwa kadogo tu ka-Corona. Tanzania ni babalao. Nyerere aliwaambia Africa itakuwa huru na ikawa tutashindwa hili dogo tu la kuinua uchumi wetu.

 
Yaani kwa vile watu wanakufa Marekani basi nasi Watanzania kuuwawe tu na Magufuli. Argument ya kijinga kabisa.
Kama ni mfuatiliaji mzuri wa mambo haya huwezi kuja na uzi wakijinga na upumbavu kama huu kwa Forum ya watu wanaojitambua.

i/. Hivi ni kweli Marekan ina Demokrasia hiyo unayoihubir hapa?

ii/. Ni kweli Marekan watu hawauwai?

iii/. Hiyo aman yao ikoje?

iv/. Vipi kuhusu uhuru wa kujieleza ni kweli kila individual ana equal opportunity of expressing his views na ushaur wake ukafanyiwa kazi?


By the way sipendi tabia ambazo zinaweza pelekea uvunjifu wa amani, pia sipendi Usahbiki wa kipumbav kama wa mtoa mada kwan uwezo waweza kufikiri ni wa kutatanisha.
 
New York, Friday September 11 2020

IN SUMMARY

• The ruling party's anti-democratic actions could call into question any claim of victory it makes in the national elections scheduled for next month, the centre predicted.

• Under President Magufuli, Tanzania has witnessed “a pattern of murders, assaults and disappearances” aimed at opposition activists and figures within CCM who criticise the country's direction.

• The analysts drew a sharp contrast between President Magufuli's autocratic rule and founding President Julius Nyerere's commitment to democratic norms.

New York,

Tanzania's “democratic experiment” is imperiled by repressive laws and political violence being carried out by the country's ruling party, a think tank affiliated with the US Defence Department warned on Tuesday.

Over the past five years, President John Magufuli “has banned rallies, muzzled the press, cowed and co-opted independent institutions and committed overt and covert violence against political opponents and 'dissenters' within the ruling Chama Cha Mapinduzi (CCM) party,” said an analysis by the Washington-based Africa Centre for Strategic Studies.

“Tanzanians today live in a climate increasingly filled with fear and reticence to exercise their rights lest they run afoul of a raft of new restrictive laws or suffer physical retribution,” the think tank added.

The ruling party's anti-democratic actions could thus call into question any claim of victory it makes in the national elections scheduled for next month, the centre predicted.

“This will necessarily have consequences for ties between the Magufuli government and democracy-supporting regional and international actors.”

The analysts drew a sharp contrast between President Magufuli's autocratic rule and founding President Julius Nyerere's commitment to democratic norms.

Mwalimu Nyerere “conceived of African liberation as the building of inclusive democracy, a free press, tolerance of criticism, respect for minorities and limits on power,” the Africa Centre observed.

Under President Magufuli, however, Tanzania has witnessed “a pattern of murders, assaults and disappearances” aimed at opposition activists and figures within CCM who criticise the country's direction.

“Violence has become deeply embedded in CCM’s current calculus of control,” the Pentagon think tank stated.

The Africa Centre quotes independent commentator Andrew Bomani, whose father worked as an aide to President Nyerere, as lamenting: “We had come to believe in a form of exceptionalism that such practices could never happen in our country.”

Media freedom

Freedom of the press has also deteriorated markedly since President Magufuli came to power in 2015, the assessment noted.

It cited the country's descent from 70th to 124th place in the annual global press freedom index compiled by Reporters Without Borders. That drop was the most precipitous of any country in the world during the past five years.

Many of the restrictions imposed on the Tanzanian society have been tightened this year on the grounds that such measures are needed to halt the spread of the coronavirus, the think tank notes.

President Magufuli has simultaneously claimed, however, that Tanzania has been purged of the virus. And the government has stopped publishing statistics on the number of infections in the country.

“Tanzania’s lack of transparency in response to the pandemic is widely seen as having accelerated the virus’s spread in East Africa,” the Africa Centre stated.

Hope remains, however, that Tanzania will return to a democratic path.

Mwalimu Nyerere's legacy, along with interventions by faith-based bodies, can serve as “a source of resilience in navigating the way forward,” the centre said.

In addition, “regional engagement is vitally important given Tanzania’s historical role in continental affairs,” the analysis suggested.

“This, however, must go beyond traditional diplomacy, given that the CCM is still viewed as a senior leader and mentor by fellow ruling liberation movements.” Much depends on these African leaders “overcoming their aversion to confronting the CCM”, the think tank observed.

Pentagon think tank accuses Magufuli of political repression | The East African
Hii link ulioweka mbona inaonesha kua hii habari imeondolewa...

The fact kua tunajadili maoni binafsi ya Gazeti kutoka "kenya" na habari yake isiyoweka source ya habari yake inaleta walakini wa habari nzima.

Watu wameona neno Pentagon basi povu limetutoka km lote ila hawajaona a keyword "Affiliated"...

Na hili neno mwandishi wa habari kaliweka makusudi kuwatoa povu wakurupukaji na kujiweka salama incase Pentagon wakitaka verification ya source ya habari yake na probably ndo maana hii habari imeondolewa.

Hili gazeti lilishawahi kuandika kua Tz ndo inaongoza kwa madawa ya kulevya na wakaweka maneno hayo hayo kua source ni CIA ilihali inajulikana KN ndo kumechafuka.
Unabaki kujiuliza CIA ikifanya issue za Madawa na DEA watafanya nn?

Tangu lini Pentagon(US Military) ikajihusisha na maswala ya kisiasa?ni sawa na JWTZ au jeshi la Uingereza kuanza kuongelea siasa za Kenya or inchi nyingine yoyote. Ingeongelewa na wanasiasa wa marekani then ningeeelewa bt never on eath Pentagon.

Na Tangu lini Marekani wakaficha majina yao kukisema ki inchi kidogo km Tz?mwandishi wa habari should have revealed the name of his source.

Nipende tu kuwakumbusha watanzania wenzangu whatever is happing in Tz kuna majirani hasa jirani wanafiki km KN wangependa ku take advantage of the situation na kutuvuruga maana wanaona tunampumulia ktk issue ya kimaendeleo na zaidi how we humiliated them ktk issue ya corona na marufuku ya Ndege zao. Wanatuchokoa then wanakaa pembeni kuona how good are we ktk kugombana wenyewe.

Be warned.
 
Kama ni mfuatiliaji mzuri wa mambo haya huwezi kuja na uzi wakijinga na upumbavu kama huu kwa Forum ya watu wanaojitambua.

i/. Hivi ni kweli Marekan ina Demokrasia hiyo unayoihubir hapa?

ii/. Ni kweli Marekan watu hawauwai?

iii/. Hiyo aman yao ikoje?

iv/. Vipi kuhusu uhuru wa kujieleza ni kweli kila individual ana equal opportunity of expressing his views na ushaur wake ukafanyiwa kazi?


By the way sipendi tabia ambazo zinaweza pelekea uvunjifu wa amani, pia sipendi Usahbiki wa kipumbav kama wa mtoa mada kwan uwezo waweza kufikiri ni wa kutatanisha.
You are out of focus.
 
Please come up with facts to challenge this post if you can not be mum.
 
Back
Top Bottom