The US Supreme court Rejects Pro-Trump Lawmaker’s Bid to Overturn the Pa. Election and Doesn’t Bother to Comment

The US Supreme court Rejects Pro-Trump Lawmaker’s Bid to Overturn the Pa. Election and Doesn’t Bother to Comment

Fast forward, Bunge la Arizona limefanya forensic audit ya kura kwa kutumia professional auditors na ripoti ineshatoka.

Jibu ni kuwa kulikuwa na fraud ya hatari.
Wale mliotuita vilaza ni wakati wa kutuomba radhi!

Some findings
  • 3,981 voted despite registered AFTER Oct 15 deadline.
  • 11,326 voted who were NOT on rolls on Nov 7 but WERE on Dec 4.
  • 18,000 voted and then were removed from rolls AFTER election.
  • 74,243 mail-in ballots w/ NO evidence of ever being sent.


Redacted version attached
 

Attachments

Fast forward, Bunge la Arizona limefanya forensic audit ya kura kwa kutumia professional auditors na ripoti ineshatoka.

Jibu ni kuwa kulikuwa na fraud ya hatari.
Wale mliotuita vilaza ni wakati wa kutuomba radhi!

Some findings
  • 3,981 voted despite registered AFTER Oct 15 deadline.
  • 11,326 voted who were NOT on rolls on Nov 7 but WERE on Dec 4.
  • 18,000 voted and then were removed from rolls AFTER election.
  • 74,243 mail-in ballots w/ NO evidence of ever being sent.


Redacted version attached
Uko mzima kweli! Unaishi katika dunia ipi? Labda ni dunia ya Trump inayohodhi alternative facts...pole sana Mtanzania halisi.
 
Uko mzima kweli! Unaishi katika dunia ipi? Labda ni dunia ya Trump inayohodhi alternative facts...pole sana Mtanzania halisi.
Bado uko kwenye dunia ya CNN boss? Basi sawa.
Hili ni bunge la state ya Arizona wamefanta forensic audit karibu mwezi mzima wakipitia kura kwa kura kuona kama zilikuwa halali za county moja tu ya Maricopa.

Matokeo ni kuwa kulikuwa na fraud ya kufa mtu. Sasa kama bado unawaza Trump vs Biden na sio kipi ni ukweli basi utakuwa na tatizo boss.

I thought you guys were objective na finally mngeona kuwa kweli kulikuwa na fraud. Ila kwa sababu umeamua kufumba macho basi sawa.

Endelea kuishi dunia ya CNN, Trump sijui nani. Ukweli kwako sio muhimu ila itikadi.

Wakati wa kuomba radhi umefika.
 
Bado uko kwenye dunia ya CNN boss? Basi sawa.
Hili ni bunge la state ya Arizona wamefanta forensic audit karibu mwezi mzima wakipitia kura kwa kura kuona kama zilikuwa halali za county moja tu ya Maricopa.

Matokeo ni kuwa kulikuwa na fraud ya kufa mtu. Sasa kama bado unawaza Trump vs Biden na sio kipi ni ukweli basi utakuwa na tatizo boss.

I thought you guys were objective na finally mngeona kuwa kweli kulikuwa na fraud. Ila kwa sababu umeamua kufumba macho basi sawa.

Endelea kuishi dunia ya CNN, Trump sijui nani. Ukweli kwako sio muhimu ila itikadi.

Wakati wa kuomba radhi umefika.
Alafu mbona umeruka kusema kura za Biden zimeongezeka baada ya audit
 
Back
Top Bottom