The vagina is cleaner than the mouth

The vagina is cleaner than the mouth

Kama its clear than mdomo basi haitakiwi kuwekewa mdomo maana unaichafua au?
 
hv kwenye vyumba mle utoko unatokaga wote?
 
Of course even the anus is relatively cleaner than the mouth when it comes to microbiology.
 
Of course even the anus is relatively cleaner than the mouth when it comes to microbiology.

You are cheating us! Microbiologically, the anus is much dirtier than the mouth!
 
Kweli amedanganya kwenye pH! The vagina is very acidic due to lactobacilli fermenting glycogen. Its pH is 4.5
Si ndiyo maana anakuambia it is cleaner than the mouth? Acidity inachangia kuwa cleaner. Neutrality ya mdomoni ni sawa na unafiki wa mdomo haujawa baridi wala moto inategemea unatia nini mdomoni humo.
 
You are cheating us! Microbiologically, the anus is much dirtier than the mouth!
hahahahaaaaa! The mouth is the dirtiest cavity in a human body kwa taarifa yako. Usitetee kwa sababu unapenda busu la ulimi tu. Hata wazungu wanakataa kabisa kwamba busu ni hatari kuambukiza magonjwa kadhaa, kwa sababu inaumiza kujua hilo wakati busu ni sehemu muhimu ya maisha yao - nakumbuka walinibishia sana maprofesa wa kizungu kwenye mjadala juu ya jambo hilo miaka ya 1990 mwishoni, mmoja wao akaniletea baadaye artical ya journal fulani ya kisayansi inayoelezea namna HIV inavyosambaa. Ujinga ni rafiki sana wa tabia.
 
basi sawaaa elekeeni huku
 

Attachments

  • 1396506920632.jpg
    1396506920632.jpg
    70.7 KB · Views: 200
Back
Top Bottom