The Vitruvian man: Ufahamu mchoro wenye utata kuhusu mwili wa mwanadamu uliochorwa na Da Vinci

Hivi unafahamu kwamba mwanaume anayeliwa tigo na mwanaume anayemla tigo mwanaume mwenzake hawa wote wanatambulika kama mashoga? Unalijuwa hili?

Kwahiyo ukiitwa shoga usije mbogo mkulungwa shoga.
 
Zingatia neno "wakulungwa tupo." Biashara ni matangazo sema huyo jamaa katangaza kwa mlango wa nyuma.

Sent from my SM-J530F using JamiiForums mobile app
Ila wabongo bwana ndio maana mm nasema tunalaana ya asili mtu anakomalia kwaba mtu fulani yupo hivi unamwambia atoe ushahidi anaanza kutoa matusi wala hakunamtu aliyemkosea
 
Kilichonishangaza ni suala la da vinci kuandika kinyume nyume... Yaani ili usome ni lazima utumie kioo... Huu ni ugenious uliopitiliza aisee
 
Ndio alie kwenye ngazi ya chiniiii kabisa. Anazidiwa hata na bacteria [emoji23][emoji23]
Huu ni mtazamo wako tu, usio na tija maana hakuna fakiti ya kutuaminisha Kuwa malaika wanazidiwa na bacteria.
 
View attachment 1500590
Kwenye huu mchoro unaona Yesu kashikilia msalaba ambao ilikua ni destiny yake kua atawekwa msalabani. Lakini mama yake hapo anajaribu kumvuta kumtoa kwenye huo msalaba ambao ni destiny ya mwanae. Je unaelewa nini.?
Acha uongo. Wapi anapoonekana kumvuta? Mkono mmoja ameegamia mtoto/una msupport mtoto na mwingine upo mbali. Umetoa wapi wazo kuwa anamvuta kumtoa kwenye msalaba? Hii picha imechorwa na nani mwaka gani? Ina uthibitisho gani kuwa ni ya Yesu? Kwa nini mnataka wote tuonekane hatujielewi?
 
Nimefuatilia habari Za da vinchi nimegundua jamaa hakuwaga na siri. Ila tu watu wanaumiza kichwa bure tu. Ukiacha hii ya kusoma maandishi lazima uweke kioo.. Nothing kipya kwa michoro yake. Hakuna siri wala sirini
Yaani watu wanajaribu kui complicate michoro yake waonekane wanamuelewa zaidi. But ukiangalia wanachojaribu kutafsiri huoni logic yake kabisa....
 
Haijalishi kaandika nani. Ila watu tunapinga uongo ambao watu wanaweza wakakaa tu na kuamua kuaminisha wengine. Complication ya huo mchoro mimi siioni. Na mleta mada hajaonesha complications zake ni nini. Kila mtu anaweza kaa akaamua kutafsiri anavyojisikia. Mwingine anaweza sema huo mchoro unaonesha miaka ijayo binadamu ataweza kupaa...au mwingine akasema ni mchoro wa kuonesha ushoga .....
 
Nijambo la kueleweshana tu mzee hasira za nini?
 
Exactly. What I said.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ