Da Vinci XV
JF-Expert Member
- Dec 7, 2019
- 3,862
- 6,438
Libarikiwe sana Tumbo lililomzaa Leonardo di serpieroo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Zingatia neno "wakulungwa tupo." Biashara ni matangazo sema huyo jamaa katangaza kwa mlango wa nyuma.Mkuu hii ni topic tu Mbona sasa unamshambulia huyo mchangiaji??? Huwezi andika hoja yako bila kumshambulia mtu...?? Not Cool
Unakosa sifa ya kuwepo jukwaa hili
Hivi unafahamu kwamba mwanaume anayeliwa tigo na mwanaume anayemla tigo mwanaume mwenzake hawa wote wanatambulika kama mashoga? Unalijuwa hili?Choko ni choko tu acha kujifanya smarter kwa hiyo unataka tuanze kuwasifia na uchoko wao.Yaan mambo wagundue wengine halafu masonic waamuwe kumbrand choko wao mmoja, ili watu waone machoko ndo wavumbuzi na magenius duniani, acha mambo zako za kichoko hapa na wewe kama unachezea rungu sema tu wakulungwa tupo.Ile ni branding wemetengenezewa kama kwenye movie za sasa hivi.
Sent from my SM-G920F using JamiiForums mobile app
Ila wabongo bwana ndio maana mm nasema tunalaana ya asili mtu anakomalia kwaba mtu fulani yupo hivi unamwambia atoe ushahidi anaanza kutoa matusi wala hakunamtu aliyemkoseaZingatia neno "wakulungwa tupo." Biashara ni matangazo sema huyo jamaa katangaza kwa mlango wa nyuma.
Sent from my SM-J530F using JamiiForums mobile app
Tuna safari ndefu sisi waTz na wa Afrika kwa ujumla wake.
Kujadili hoja bila personal attack hatuwezi bado. Nafikiri mfumo wetu wa elimu ndio sababu kuu.
Mf. ukimwambia mtu kitu hakijui lazima akupinge na ikibidi matusi yatakushukia ya kutosha huku kitu hicho hakijui kabisa ila wewe unakifahamu.
TUTAFIKA TU.
Si ndio maana paka anamsaidia kupiga mishe zakeKwa mpangilio wako unataka kuniambia kwamba Shetani anazidiwa hata na paka
Rudisha ile Avatar nyingine
Huu ni mtazamo wako tu, usio na tija maana hakuna fakiti ya kutuaminisha Kuwa malaika wanazidiwa na bacteria.Ndio alie kwenye ngazi ya chiniiii kabisa. Anazidiwa hata na bacteria [emoji23][emoji23]
Acha uongo. Wapi anapoonekana kumvuta? Mkono mmoja ameegamia mtoto/una msupport mtoto na mwingine upo mbali. Umetoa wapi wazo kuwa anamvuta kumtoa kwenye msalaba? Hii picha imechorwa na nani mwaka gani? Ina uthibitisho gani kuwa ni ya Yesu? Kwa nini mnataka wote tuonekane hatujielewi?View attachment 1500590
Kwenye huu mchoro unaona Yesu kashikilia msalaba ambao ilikua ni destiny yake kua atawekwa msalabani. Lakini mama yake hapo anajaribu kumvuta kumtoa kwenye huo msalaba ambao ni destiny ya mwanae. Je unaelewa nini.?
Yaani watu wanajaribu kui complicate michoro yake waonekane wanamuelewa zaidi. But ukiangalia wanachojaribu kutafsiri huoni logic yake kabisa....Nimefuatilia habari Za da vinchi nimegundua jamaa hakuwaga na siri. Ila tu watu wanaumiza kichwa bure tu. Ukiacha hii ya kusoma maandishi lazima uweke kioo.. Nothing kipya kwa michoro yake. Hakuna siri wala sirini
Haijalishi kaandika nani. Ila watu tunapinga uongo ambao watu wanaweza wakakaa tu na kuamua kuaminisha wengine. Complication ya huo mchoro mimi siioni. Na mleta mada hajaonesha complications zake ni nini. Kila mtu anaweza kaa akaamua kutafsiri anavyojisikia. Mwingine anaweza sema huo mchoro unaonesha miaka ijayo binadamu ataweza kupaa...au mwingine akasema ni mchoro wa kuonesha ushoga .....Hili lingekutwa mtandaoni huko kaandika mzungu flani lingeaminiwa kirahisi. Maana linameki sense kama hizo (supposedly Hidden) meaning zingine tu.
Kifupi hatutakaa tujue maana halisi ya mchoraji hadi ye mwenyewe atuambie. Na yoyote anayesema eti kuna maana nyingine ambayo artist hajasema mi anaona ana some overthinking issues that really need attention right about now.
Nijambo la kueleweshana tu mzee hasira za nini?Acha uongo. Wapi anapoonekana kumvuta? Mkono mmoja ameegamia mtoto/una msupport mtoto na mwingine upo mbali. Umetoa wapi wazo kuwa anamvuta kumtoa kwenye msalaba? Hii picha imechorwa na nani mwaka gani? Ina uthibitisho gani kuwa ni ya Yesu? Kwa nini mnataka wote tuonekane hatujielewi?
Exactly. What I said.Haijalishi kaandika nani. Ila watu tunapinga uongo ambao watu wanaweza wakakaa tu na kuamua kuaminisha wengine. Complication ya huo mchoro mimi siioni. Na mleta mada hajaonesha complications zake ni nini. Kila mtu anaweza kaa akaamua kutafsiri anavyojisikia. Mwingine anaweza sema huo mchoro unaonesha miaka ijayo binadamu ataweza kupaa...au mwingine akasema ni mchoro wa kuonesha ushoga .....
Hasira zina kazi yake. Kuonesha kuwa jambo hili limekwaza sana kufikiria sisi sooote hatujielewi. Hapo ndo pamenipa hasira sana ....mpaka natoka moshi....Nijambo la kueleweshana tu mzee hasira za nini?
Mary Christmas and Hapy new YearMkuu kwanini umejiita hivo, lina maana gani hilo jina😅😅