The Weekend vs Justin Bieber

The Weekend vs Justin Bieber

umemaliza...Kuna jamaa nlkuwa namuelewesha anabisha kinoma
Suala la Chris Brown mashabiki zake wote inabidi wajue, Chris wa sasa siyo yule wa zamani. Chris alipoteza mashabiki zake wengi kwa skendo zake za kupiga wanawake. Pia aina ya muziki anaofanya Chris Brown sasa hivi unamtenga na mashabiki wengi wasiopenda nyimbo zenye mashairi ya watu wazima (Explicit Content) tofauti na Justin Bieber ambaye nyimbo zake nyingi ni muziki unaoweza kusikilizwa na rika tofauti; Ngoma kama Intentions, Changes.

Chris Brown katoa nyimbo kama hizo zamani sana zikiwemo; Die Young, Beautiful People.

Sasa kama mashabiki tunapaswa kufuata muziki mzuri na siyo muziki unaotamba. Sasa hivi kuna wimbi kubwa la mumble rappers ambao nyimbo zao wanaimba kuhusu pesa, wanawake na matusi kibao ndiyo wana-hit ila hakuna cha maana wanaimba ila ukitaka muziki mzuri upo ila haupati nafasi kubwa kutokana na soko la muziki kubadilika.
 
kibongo bongo wasanii wanaokubalika ni wale waliohit enzi za 2006-2015
hicho kpindi ndo utandawazi ulikomaa Tz

kwahyo usishangae watu wakasema
1.Justin>Ed sheran>The weeknd

2.Rihana>Adelle>Ariana grande

3.Lil wayne>JayZ>Kendrick lamar>JCole

4.Chris brown>Drake>Bruno Mars>Zayn

5.Future>young thug>post malone>Tekashis69

ila ukweli ni vice versa
watu wanawapenda wasanii walioanza kusikika bongo ilihali hata huko US hawahiti tena saivi

waliofulia ni hawa ambao wakija bongo bado tunawachukulia wakubwa
*rickross
*Lil wayne
*Justin bieber
*Fat Joe
*Omarion
*50 cent
*Neyo
*and yes Rihanna
*JayZ
*Beyonce
*T pain
*TI
*Tyga
*Alicia keys
etc. etc.

hao hata wakitoa ngoma saivi haiwi hit(except riri na jB kwasababu fanbase yao bado inawasapoti)

kuna wanaohit saivi wakija bongo hawajulikani
*The weeknd
*Roddy rich
*Zayn
*Ariana grande
*Dababy
*Lil baby
*Tekashi69
*Meghan thee stalion
*Taylor swift
*21 Savage
*Cardi B
*etc. etc.

Hao wakija bongo wanaweza kuzidiwa na Zuchu kujaza show ila ni wakubw kuliko ile list ya kwanza.

kujibu swali lako kwasasa Theweeknd ni mkali kuliko Jb...Uzuri wote wametoa albam mwaka huu na ni wazi album ya weeknd imefanya vizuri ×10 ya Justn bieber.

For now weeknd ni mkali
although personally namkubali JB kwasababu niliyoitaja juu(2008-2015)
Unayajua masuala
 
Justin Bieber ameingia mainstream kitambo, ametoa hits nyingi sana na collaborations bora kabisa katika kipindi cha miaka 10 iliyopita, kwa maneno mengine JB is the biggest pop star of this era na hili linathibitishwa na singles alizouza, anavyokuwa streamed kwenye digital platforms n.k.

Trend ya Bieber imeshuka sio kama miaka 3 iliyopita enzi anatoa rmx ya Despacito n.k, nadhani hata kufunga ndoa na masuala binafsi yamemrudisha nyuma kiasi fulani maana kwenye promo ya album yake mapema mwaka huu alisema kwamba alikuwa anasumbuliwa mno kwa magonjwa na masuala binafsi.


Ukizungumzia mwaka huu specifically, The weeknd ametoa one of the best albums (after hours), na imefanya vizuri sana kushinda changes ya Bieber, single kama Blinding lights imefanya vizuri vibaya mno.

Hivyo basi, generally JB amemzidi The weeknd , ila kwa perromance ya huu mwaka JB ameachwa nyuma
 
The Weeknd hajawahi kuwa kwenye Peak wakati Bieber ana hiyo crown.

Pili The weekend hits chache kulinganisha na Bieber
 
Ulichoandik ndicho chief wasanii wa kitamb ndio wenye heshim kubwa africa but sio wanaotrend kwa sas
kibongo bongo wasanii wanaokubalika ni wale waliohit enzi za 2006-2015
hicho kpindi ndo utandawazi ulikomaa Tz

kwahyo usishangae watu wakasema
1.Justin>Ed sheran>The weeknd

2.Rihana>Adelle>Ariana grande

3.Lil wayne>JayZ>Kendrick lamar>JCole

4.Chris brown>Drake>Bruno Mars>Zayn

5.Future>young thug>post malone>Tekashis69

ila ukweli ni vice versa
watu wanawapenda wasanii walioanza kusikika bongo ilihali hata huko US hawahiti tena saivi

waliofulia ni hawa ambao wakija bongo bado tunawachukulia wakubwa
*rickross
*Lil wayne
*Justin bieber
*Fat Joe
*Omarion
*50 cent
*Neyo
*and yes Rihanna
*JayZ
*Beyonce
*T pain
*TI
*Tyga
*Alicia keys
etc. etc.

hao hata wakitoa ngoma saivi haiwi hit(except riri na jB kwasababu fanbase yao bado inawasapoti)

kuna wanaohit saivi wakija bongo hawajulikani
*The weeknd
*Roddy rich
*Zayn
*Ariana grande
*Dababy
*Lil baby
*Tekashi69
*Meghan thee stalion
*Taylor swift
*21 Savage
*Cardi B
*etc. etc.

Hao wakija bongo wanaweza kuzidiwa na Zuchu kujaza show ila ni wakubw kuliko ile list ya kwanza.

kujibu swali lako kwasasa Theweeknd ni mkali kuliko Jb...Uzuri wote wametoa albam mwaka huu na ni wazi album ya weeknd imefanya vizuri ×10 ya Justn bieber.

For now weeknd ni mkali
although personally namkubali JB kwasababu niliyoitaja juu(2008-2015)
 
Suala la Chris Brown mashabiki zake wote inabidi wajue, Chris wa sasa siyo yule wa zamani. Chris alipoteza mashabiki zake wengi kwa skendo zake za kupiga wanawake. Pia aina ya muziki anaofanya Chris Brown sasa hivi unamtenga na mashabiki wengi wasiopenda nyimbo zenye mashairi ya watu wazima (Explicit Content) tofauti na Justin Bieber ambaye nyimbo zake nyingi ni muziki unaoweza kusikilizwa na rika tofauti; Ngoma kama Intentions, Changes.

Chris Brown katoa nyimbo kama hizo zamani sana zikiwemo; Die Young, Beautiful People.

Sasa kama mashabiki tunapaswa kufuata muziki mzuri na siyo muziki unaotamba. Sasa hivi kuna wimbi kubwa la mumble rappers ambao nyimbo zao wanaimba kuhusu pesa, wanawake na matusi kibao ndiyo wana-hit ila hakuna cha maana wanaimba ila ukitaka muziki mzuri upo ila haupati nafasi kubwa kutokana na soko la muziki kubadilika.
Unafuatilia muziki.

Hiyo trend hata Tanzania ipo, na kibaya zaidi kwa hapa kwetu huo muziki ( mumble ,) unabebwa na watu wenye nguvu ya media.

Ila ngoma kali zipo nyingi mnooo.
 
Back
Top Bottom