Wanaingia usiku kama wachawi ndio tusiwaoneWaoga sana. Wadanganyika lazima wote tu ni masikini wa kiakili.. You wait for the debate to end during the day then you sneak In at night kurusharusha tako na ujinga. ... .
Hahahahaaa. Wewe Westland's imekukosesha amani kabisaMnachojidai nacho ni hiyo project ya multi buildings sijui Avic sijui kitu gani na tena bado haijakamilika
Kwa Dar ukizungumzia CBD (Posta, Kisutu na Kivukoni), Upanga, K/koo, Mnazi, Kijitonyama, Sam Nujoma Rd Stretch na Morocco, hiyo Westland tunawapa offer ya kuchagua ipi washindane nayo
Westland ni bora kwa kiasi chake, ila sio kwa kiwango cha kufikia sifa hizo zitajazwo na Wakora hawa
Sent using Jamii Forums mobile app
Acha tu hawa jamaa ni vilaza tu, magomeni yenyewe sijui wanacompare na Westland nini? Because magomeni ni residential area ambayo bado ina makazi duni ,makazi ya magomeni ni bungalow za kiajabu ajabu, kuna apartments tu kama nne ,mtaa wa idrisaa,mtaa wa mwinyi na mikumi sioni pale kitu cha kumfanya mtu aitaje, magomeni yenyewe haina hata two star hotel hua nashangaa hawa kakazetu sijui akili walizieka wapi.Achana na hawa vilaza. Mimi hiyo magomeni nimeisikia hapa leo kwenye huu uzi
Yule aliezaa watoto wanee hapo hapo magomeni mlisaidia,au mlimeza watoto Kwa ushirikina?.Ni albino yupi aliuawa Magomeni. Are you in a daydream?
kajambe mbele, we unajua westlands ni sawa na hapa kwetu brooklyns? USA, magomeni mnayopika chakula barabarani?Equivalent to Magomeni.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]kajambe mbele, we unajua westlands ni sawa na hapa kwetu brooklyns? USA, magomeni mnayopika chakula barabarani?
watu wanakunya kwenye mifuko na kutupa barabarani?
wauza ghahawa wanachemsha kahawa kwa maji ya AC?
machinga muuza karanga anakwenda chooni kunya na anaingia na karanga zake na akitoka anakuuzia?
maji ya viroba aka kandoro yanatoka bonde la mkwajuni?
hebu usifananishe ka nchi kasiko jielewa na kenya.
Una maluweluweYule aliezaa watoto wanee hapo hapo magomeni mlisaidia,au mlimeza watoto Kwa ushirikina?.
Sent from my CPH1803 using JamiiForums mobile app
Dah ! Umesema ukweli mtupu, chakula chapikiwa barabarani ,kahawa wanatumia maji ya AC kupika .kajambe mbele, we unajua westlands ni sawa na hapa kwetu brooklyns? USA, magomeni mnayopika chakula barabarani?
watu wanakunya kwenye mifuko na kutupa barabarani?
wauza ghahawa wanachemsha kahawa kwa maji ya AC?
machinga muuza karanga anakwenda chooni kunya na anaingia na karanga zake na akitoka anakuuzia?
maji ya viroba aka kandoro yanatoka bonde la mkwajuni?
hebu usifananishe ka nchi kasiko jielewa na kenya.
Sijui wewe utakua mnyakyusa, ni maruweruwe sio maluweluwe, lakini kaenda wapi Yule dada? Hao watoto wapo ama mliwameza.Una maluweluwe
Kioja hicho.Sijui wewe utakua mnyakyusa, ni maruweruwe sio maluweluwe, lakini kaenda wapi Yule dada? Hao watoto wapo ama mliwameza.
Sent from my CPH1803 using JamiiForums mobile app
Hahaha....maajabu ya musakajambe mbele, we unajua westlands ni sawa na hapa kwetu brooklyns? USA, magomeni mnayopika chakula barabarani?
watu wanakunya kwenye mifuko na kutupa barabarani?
wauza ghahawa wanachemsha kahawa kwa maji ya AC?
machinga muuza karanga anakwenda chooni kunya na anaingia na karanga zake na akitoka anakuuzia?
maji ya viroba aka kandoro yanatoka bonde la mkwajuni?
hebu usifananishe ka nchi kasiko jielewa na kenya.