Kajole
JF-Expert Member
- Apr 12, 2011
- 1,668
- 1,643
Nmeipenda hii,dah JF ni zaidi ya social networkWali mweupe pee!!
Vipi hakuna mboga au wanashushia na maziwa!?
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nmeipenda hii,dah JF ni zaidi ya social networkWali mweupe pee!!
Vipi hakuna mboga au wanashushia na maziwa!?
Waliotoka huko ndio wamesema,pia ni moja ni ya mateso ambapo utakuwa ukionja aina moja ya chakula tuWewe umejuaje kama hakuna mboga?
Ulishawahi kuingizwa huko?
Tupe mrejesho ulipotoka unakumbuka kwenu?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kabichi ukiipika inaleta unjano njano! Au unamaanisha kabichi mbichi?Duh si wangepewa na mboga nyeupe kama kabich.
Du!!![emoji126] [emoji126] [emoji126]Roma naye vinati vimeregea si uliona alivyotoka alianza kuimba kibamia.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kabichi ukiipika inaleta unjano njano! Au unamaanisha kabichi mbichi?
Hata manesi?Hata mtu akiwa anamechisha sana
mfano ANAYEVAAA NGUO NYEUPE TU!
NJANO TU
NYEKUNDU TU KUANZIA MIWANI MPKA KALAMU!
huwa ni dalili ya ukichaa!
so hiii naweza kuielewa inavyoweza mfanya mtu atoke hapo akiwa totally insane!.
Kweli chumba cheupe
hapo iboreshwe na white meat ha..... ha......ha.... kavu iliochanganywa na vitunggu swaumu na tangawizi lazima wakuongezee muda!
Segerea ni mateso ya mwili tu, ila hapa Hawana haja na mwili wako bali akili yako. Wanakutesa kisaikolojia, wanaiumiza akili yako ukitoka hapo unaendelea kuwa kifungoni maishani mwako kwa sababu akili yako haiwezi kurudi kama kawaida kirahisiMbona chumba kama hoteli ya kifahari tu....tena wali huo unaonekana umepikwa vizuri..
Bora huko kuliko segerea
Sent using Jamii Forums mobile app
Wanakuumiza bila kukugusaSegerea ni mateso ya mwili tu, ila hapa Hawana haja na mwili wako bali akili yako. Wanakutesa kisaikolojia, wanaiumiza akili yako ukitoka hapo unaendelea kuwa kifungoni maishani mwako kwa sababu akili yako haiwezi kurudi kama kawaida kirahisi
Sent using Jamii Forums mobile app
Naona hapa watu wanasema bora huko kuliko segerea... Akili ndio kila kitu, upo hivyo ulivyo kutokana na akili zako na hizo akili zako zimeundwa na experience yako toka kuzaliwa kwako. Sasa fikiria leo akili zako zinadirishwe, yaani usiwe wewe, uwe chizi, Daaah ni mateso sana
Haya mateso ni mabaya ni bora kupigwaNaona hapa watu wanasema bora huko kuliko segerea... Akili ndio kila kitu, upo hivyo ulivyo kutokana na akili zako na hizo akili zako zimeundwa na experience yako toka kuzaliwa kwako. Sasa fikiria leo akili zako zinadirishwe, yaani usiwe wewe, uwe chizi, Daaah ni mateso sana
Sent using Jamii Forums mobile app