The woman of the year!

The woman of the year!

X-PASTER

JF-Expert Member
Joined
Feb 12, 2007
Posts
11,605
Reaction score
1,843
the woman of the year!



attachment.php




fy.jpg


 
Hastahili kuwa hai huyo...hata kumtukana mfungwa kwa tusi hilo unatakiwa uadhibiwe vikali!
 
kweli duniani wengine kawatoa hofu! akka ...
 
Ukiona hivyo ni kuwa amechoka na uongozi uliopo, haya hayako mbali hapa bongo.
 
Kashindwa kuficha hisia zake...ama kweli ni jasiri mno
 
Mhh huyu mama loh kweli amemchoka Mr President wake.
 
Kama ya ukweli alifikaje hapo mbele? Maana huku kwetu msafara wa muungwana ni spidi ya kufa mtu, uko usalama upo sana.
 
siyo kweli hii, kwanza sidhani kama kule unaweza pata access ya kumsogelea presdaa hivyo.
 
i dont think if she is a woman, And I don know what makes you to think that way
 
iyo picha wametengeneza tu. hakuna mwanadamu mwenye confidence ya kusimama na kufanya kitu kama hicho mbele ya Ahmadinejad...si unaona hata ahmd mwenyewe hajapay attention kwa uyo mwanamke..hakuwepo...polisi wa usalama walikuwa wapi ili kusafisha njia wakati gari ya rais inakuja?hii ni kupoteza muda kujadili kitu ambacho hakipo na hakitakuja kutokea duniani. ikitokea hivyo, atashuka mwenyewe kwenye gari, hatahitaji msaada wa polisi, na atamshugulikia fasta.
 
Propaganda za wamarekani hizo. Thubutu ufanye hivyo1 kwanza mazingira yenyewe hayaelekei hata anayemfanyia hivyo hana habari za uwepo wake
 
Mh, natamani waje wamfanyie na wa hapahapa kitu hiyo, safi ssana, wanajifanya miungu sana wakikalia ikulu..........tehe tehe hata kama imetengenezwa lakini ina ujumbe mzuuri ssanaaaa kwa watawala.....
 
Back
Top Bottom