Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yupo na kwenye zootopia...very slow hao wanyama na macho yao yanarembuaSloth kuna movie inaitwa slotherhouse😹😹 hako kadude ni hatari
Hivi kwa nini huwa wanaitwa sea lionSea lion huyo 😃
Hivi ndo haka??🤣🤣Yupo na kwenye zootopia...very slow hao wanyama na macho yao yanarembua
Simba wa baharini (sea lion) jina hili kwa sababu madume wengi wana manyoya tofauti na majike, kama vile simba dume wanaoishi nchi kavu. Simba dume pia hunguruma ili kuwalinda majike katika prides zao, pia masuala ya kuteka ukoo na kuiba majikeHivi kwa nini huwa wanaitwa sea lion
Niliwaona lia kwenye series inaitwa sirenSimba wa baharini (sea lion) jina hili kwa sababu madume wengi wana manyoya tofauti na majike, kama vile simba dume wanaoishi nchi kavu. Simba dume pia hunguruma ili kuwalinda majike katika prides zao, pia masuala ya kuteka ukoo na kuiba majike
checki hicho kianaconda kilivyo kizuriThe only animal which is not cute even if its a baby its a Snake
Mkuu tuliambiwa kuwa Black Mamba akitoka kwenye yai tu tayari ana sumu yake kama Black Mamba mkongwechecki hicho kianaconda kilivyo kizuri
View attachment 3206421
nyoka ni viumbe wazuri tu, binadamu ndo hatari kwao
Wanja wa kungu huu 😃nyati maji ni warembo kweli
View attachment 3206427
Hapo wote hawa aminianichecki hicho kianaconda kilivyo kizuri
View attachment 3206421
nyoka ni viumbe wazuri tu, binadamu ndo hatari kwao
ni survival strategy tu kama wewe ulivyo na akili mpaka zinakuzidiMkuu tuliambiwa kuwa Black Mamba akitoka kwenye yai tu tayari ana sumu yake kama Black Mamba mkongwe