The Worst thing You Can do When You’re Unemployed is Spend all Your Time Looking for a Job

The Worst thing You Can do When You’re Unemployed is Spend all Your Time Looking for a Job

Nafaka

JF-Expert Member
Joined
Feb 17, 2015
Posts
12,154
Reaction score
31,246
Ajira zimekuwa adimu sana hata serikali ikisema itengeneze hizo ajira milion 8 ilizoahidi sidhani kama zitatosha kumaliza uhitaji wa ajira lililopo nchini, na mbaya zaidi graduates wanaongezeka kila mwaka. Ni vizuri kutazama plan B na uzuri humu watu wana share experience mbalimbali na njia zao wanazozitumia kujaribu songa.

Mimi nashauri kwa watakaoweza kama waliojifunza chuo wanaona hayawezi kuwapa ajira wasahau na wajifunze mambo mapya.

Mfano kuna skills ambazo zina demand kubwa sana. Nadhani wengi mshasikia kuhusu shopify! Hii ni platform ambayo inaruhusu wafanyabiasha kufungua duka mtandaoni kuweka bidhaa zao na kuuza.

Wamiliki wengi wa haya maduka ni watu wa huko Marekani na Ulaya. Wengi wanapenda wawe na mtu atakaye manage hilo duka kwa kufuatilia orders, kuzimanage na kuhakikisha waliweka order mizigo yao imetumwa, na wenye matatizo wanakuwa refunded. Hii ni kitu mtu anaweza kujifunza akafanya na akalipwa kwa masaa kwa huduma atakayotoa.

Angle nyingine ambayo naona ni nzuri zaidi na ina demand kubwa saana, ni ile ya ku upload picha za bidhaa yani products, collection na kuset inventory. Hapa sasa ndipo demand ilipo sana sana. Ukimaster hii kitu, maana unakuta inabidi Upload picha zaidi ya 1000 uziset in terms of products, halafu collection, uset invetory mtu akinunua ijue imebaki product za namna hiyo ngapi na zikiisha iiondoe ile product kwenye duka ili watu wasiendelee kuweka order.

Ni ngumu kidogo kwa watu wenye vichwa vigumu ila kiuhalisia ni rahisi. Unaweza jifunza hii skill na ukamanage hata maduka 15 ya clients mbalimbali lakini hapa utakuwa ushakuwa level ya juu. Ila hata ukiweza kumanage maduka matatu. Hii kazi utaifanya once in a while kwa kila duka, otherwise utakuta mara chache unaweka product labda 2 mpya kila mwezi na client unakuta anakulipa labda dollar 200-300 kwa mwezi ukiwa na client 2 hukosi 400 mpaka 600 kwa mwezi isiyokatwa kodi na JMT.

Yapo mengi ya kujifunza. Learn new skills kila day. The internet is full of potential materials and shit.

The Worst thing You Can do When You’re Unemployed is Spend all Your Time Looking for a Job​

 
Ungeleeza kidogo namna zinavyofanya kazi hizo skills ili kuongeza motivesheni kwa mtu kujifunza. Mfano kama mimi ambaye sijui kabisa ..naanzaje kujifunza? Nini na nini nitafute? Umesema kuhusu maduka ya huko ulaya na marekani, je wamiliki wanapatikanaje?

Na huku kwetu mavumbini nawezaje kufanya? Yani niende mfano pale Born To Shine au Vunja Bei halafu niwaombe nguo zao nipost kweny social media ndo hivyo mkuu? Ungetoa muongozo wa nini kifanyike mkuu ..
 
Umesema vyema Ila bado ipo shallow sana can u go deep tupate elimu zaidi?
 
Umesema vyema Ila bado ipo shallow sna can u go deep tupate elimu zaidi?
Ungeleeza kidogo namna zinavyofanya kazi hizo skills ili kuongeza motivesheni kwa mtu kujifunza. Mfano kama mimi ambaye sijui kabisa ..naanzaje kujifunza? Nini na nini nitafute? Umesema kuhusu maduka ya huko ulaya na marekani, je wamiliki wanapatikanaje? Na huku kwetu mavumbini nawezaje kufanya? Yani niende mfano pale Born To Shine au Vunja Bei halafu niwaombe nguo zao nipost kweny social media ndo hivyo mkuu? Ungetoa muongozo wa nini kifanyike mkuu ..

Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
Haya yote tunarudi kule kule. Siku hizi hasa hiki kipindi cha Corona na kabla ya hapo watu wanataka kupunguza gharama za kuendesha ofisi. Mfano unakuta mtu anaofisi, kama hiyo online shop mtu mwenyewe ni Mmarekani. Kila mara moja kwa mwezi anataka kuweka picha na details za bidhaa mpya. Kumuajiri mtu wa hiyo kazi physically itakuwa ni gharama. Lakini akipata mtu ambaye ataifanya hiyo kazi akiwa huko huko alipo atamlipa pesa kidogo. Kumuajiri mtu huenda kungemgalimu hata dollar 800 kila mwezi, lakini akitafuta freelancer ambaye atakuwa akifanya hii kizi kila anapohitaji utakuta kila akifanya kazi anamlipa dollar 200-300. Hii ni cheap kwako.

So online kuna optunities kama hizi nyingi sana.

Mfano hili hapa chini ni duka la mtandao anayelimiliki yuko yuko. Kazi ya kupandisha hizo nguo na kuweka description na kuzipanga katika collectin matangazo ya sales naifanyaga mimi na ananilipa kwa kila masaa tuliyokubariana nitayafanya kila week.

1606224445595.png


Ndicho kitu nachojaribu kuwambia watu wajifunze maana kina demand kubwa. Yapo mengi sana ila hiki ni kimoja wapo

Jambo lingine mfano kuna subtitling

Mfano huyo client mwenye jina Iona kila saa kumi na nusu asubuhi uwa ananitumia files ambazo zinakuja na script mimi kazi yangu ni kusync script iendane na video then namrudishia srt files. So hiyo kazi uwa ninaianza saa kumi na moja nakuja imaliza saa 4 asubuhi. Nikimaliza nastamp in muda ela inaingia kutokana na muda niliyostamp in.

Kuna vitu vingi vya kujifunza @Citzen-B mara nyingi anaongelea hili suala humu na skills zinazolipa na sikuwa nimeona kama ame mention hii ya shopify.
 
Haya yote tunarudi kule kule. Siku hizi hasa hiki kipindi cha Corona na kabla ya hapo watu wanataka kupunguza gharama za kuendesha ofisi. Mfano unakuta mtu anaofisi, kama hiyo online shop mtu mwenyewe ni Mmarekani. Kila mara moja kwa mwezi anataka kuweka picha na details za bidhaa mpya. Kumuajiri mtu wa hiyo kazi physically itakuwa ni gharama. Lakini akipata mtu ambaye ataifanya hiyo kazi akiwa huko huko alipo atamlipa pesa kidogo. Kumuajiri mtu huenda kungemgalimu hata dollar 800 kila mwezi, lakini akitafuta freelancer ambaye atakuwa akifanya hii kizi kila anapohitaji utakuta kila akifanya kazi anamlipa dollar 200-300. Hii ni cheap kwako.

So online kuna optunities kama hizi nyingi sana.

Mfano hili hapa chini ni duka la mtandao anayelimiliki yuko yuko. Kazi ya kupandisha hizo nguo na kuweka description na kuzipanga katika collectin matangazo ya sales naifanyaga mimi na ananilipa kwa kila masaa tuliyokubariana nitayafanya kila week.

View attachment 1633806

Ndicho kitu nachojaribu kuwambia watu wajifunze maana kina demand kubwa. Yapo mengi sana ila hiki ni kimoja wapo

Jambo lingine mfano kuna subtitling

View attachment 1633807

Mfano huyo client mwenye jina Iona kila saa kumi na nusu asubuhi uwa ananitumia files ambazo zinakuja na script mimi kazi yangu ni kusync script iendane na video then namrudishia srt files. So hiyo kazi uwa ninaianza saa kumi na moja nakuja imaliza saa 4 asubuhi. Nikimaliza nastamp in muda ela inaingia kutokana na muda niliyostamp in.

Kuna vitu vingi vya kujifunza @Citzen_B mara nyingi anaongelea hili suala humu na skills zinazolipa na sikuwa nimeona kama ame mention hii ya shopify.
Ahsante
 
Huu ni uzi bora kbs, wale mnaotaka jamaa aingie deep zaidi jaribuni kuingia mtandaoni na mtapata taarifa zote

There is enough for everyone in this world
 
Haya yote tunarudi kule kule. Siku hizi hasa hiki kipindi cha Corona na kabla ya hapo watu wanataka kupunguza gharama za kuendesha ofisi. Mfano unakuta mtu anaofisi, kama hiyo online shop mtu mwenyewe ni Mmarekani. Kila mara moja kwa mwezi anataka kuweka picha na details za bidhaa mpya. Kumuajiri mtu wa hiyo kazi physically itakuwa ni gharama. Lakini akipata mtu ambaye ataifanya hiyo kazi akiwa huko huko alipo atamlipa pesa kidogo. Kumuajiri mtu huenda kungemgalimu hata dollar 800 kila mwezi, lakini akitafuta freelancer ambaye atakuwa akifanya hii kizi kila anapohitaji utakuta kila akifanya kazi anamlipa dollar 200-300. Hii ni cheap kwako.

So online kuna optunities kama hizi nyingi sana.

Mfano hili hapa chini ni duka la mtandao anayelimiliki yuko yuko. Kazi ya kupandisha hizo nguo na kuweka description na kuzipanga katika collectin matangazo ya sales naifanyaga mimi na ananilipa kwa kila masaa tuliyokubariana nitayafanya kila week.

View attachment 1633806

Ndicho kitu nachojaribu kuwambia watu wajifunze maana kina demand kubwa. Yapo mengi sana ila hiki ni kimoja wapo

Jambo lingine mfano kuna subtitling



Mfano huyo client mwenye jina Iona kila saa kumi na nusu asubuhi uwa ananitumia files ambazo zinakuja na script mimi kazi yangu ni kusync script iendane na video then namrudishia srt files. So hiyo kazi uwa ninaianza saa kumi na moja nakuja imaliza saa 4 asubuhi. Nikimaliza nastamp in muda ela inaingia kutokana na muda niliyostamp in.

Kuna vitu vingi vya kujifunza @Citzen_B mara nyingi anaongelea hili suala humu na skills zinazolipa na sikuwa nimeona kama ame mention hii ya shopify.
Big up mkuu...

Natamani kujifunza hvyo vtu....ila sina msingi wowote kuhusu mambo ya IT.

unatushauri tuanzie wape kwa Sisi ambao hatujui ata kusync
 
Big up mkuu...

Natamani kujifunza hvyo vtu....ila sina msingi wowote kuhusu mambo ya IT.

unatushauri tuanzie wape kwa Sisi ambao hatujui ata kusync
Mkuu sijasoma IT na wala haihitaji kuwa mwana It kufanya haya mambo
 
Screenshot_20201124-115104.png


Mimi nilikuwa najipatiaga apa vicent vya vocha.....jamaa wakaona nafaidi wakaweka limit ya kutoa pesa.

Sasa apa si wanataka wanizurumu tu ka elfu 5 changu...
 
Haya yote tunarudi kule kule. Siku hizi hasa hiki kipindi cha Corona na kabla ya hapo watu wanataka kupunguza gharama za kuendesha ofisi. Mfano unakuta mtu anaofisi, kama hiyo online shop mtu mwenyewe ni Mmarekani. Kila mara moja kwa mwezi anataka kuweka picha na details za bidhaa mpya. Kumuajiri mtu wa hiyo kazi physically itakuwa ni gharama. Lakini akipata mtu ambaye ataifanya hiyo kazi akiwa huko huko alipo atamlipa pesa kidogo. Kumuajiri mtu huenda kungemgalimu hata dollar 800 kila mwezi, lakini akitafuta freelancer ambaye atakuwa akifanya hii kizi kila anapohitaji utakuta kila akifanya kazi anamlipa dollar 200-300. Hii ni cheap kwako.

So online kuna optunities kama hizi nyingi sana.

Mfano hili hapa chini ni duka la mtandao anayelimiliki yuko yuko. Kazi ya kupandisha hizo nguo na kuweka description na kuzipanga katika collectin matangazo ya sales naifanyaga mimi na ananilipa kwa kila masaa tuliyokubariana nitayafanya kila week.

View attachment 1633806

Ndicho kitu nachojaribu kuwambia watu wajifunze maana kina demand kubwa. Yapo mengi sana ila hiki ni kimoja wapo

Jambo lingine mfano kuna subtitling



Mfano huyo client mwenye jina Iona kila saa kumi na nusu asubuhi uwa ananitumia files ambazo zinakuja na script mimi kazi yangu ni kusync script iendane na video then namrudishia srt files. So hiyo kazi uwa ninaianza saa kumi na moja nakuja imaliza saa 4 asubuhi. Nikimaliza nastamp in muda ela inaingia kutokana na muda niliyostamp in.

Kuna vitu vingi vya kujifunza @Citzen_B mara nyingi anaongelea hili suala humu na skills zinazolipa na sikuwa nimeona kama ame mention hii ya shopify.
Asante mkuu....sasa tunajisajili kupitia freelencer? Au shopfy?..then naweza tumia simu kufanya mambo yote hayo?
 
Iwe freelancer au skillshare au upwork kote huko kuna clients wanahitaji hii hudumu
Asante mkuu....sasa tunajisajili kupitia freelencer? Au shopfy?..then naweza tumia simu kufanya mambo yote hayo?
 
God bless you abandantly ths is an eye opener . But how do you source for client ?
 
Iwe freelancer au skillshare au upwork kote huko kuna clients wanahitaji hii hudumu
Mkuu huwa naon sana hz Kaz ila naogopa kubid coz naona utakuta wamesema labda uwe na exprience in shopfy, ebay etc, nitoe hofu mkuu we ulipataje iyo long term contract, Na exprience ulikua nayo, au ulimshawish vp client.
Natanguliz shukrani
 
Mkuu huwa naon sana hz Kaz ila naogopa kubid coz naona utakuta wamesema labda uwe na exprience in shopfy, ebay etc, nitoe hofu mkuu we ulipataje iyo long term contract, Na exprience ulikua nayo, au ulimshawish vp client.
Natanguliz shukrani
Jambo la kwanza uwa sibid kitu ambazo sina hakika kama ninaweza kufanya. Kabla ya kuanza kufanya kazi za shopify nilichukua muda nikasoma jinsi inavyofanya kazi, na nikafungua trial version ya shopify na kufanya majaribio. na practice ili nikiapply kitu niwe najua ninachofanya.
 
Back
Top Bottom