The Worst thing You Can do When You’re Unemployed is Spend all Your Time Looking for a Job

Sawa mkuu ntalifanyia kazi, shukrani sana kwa kunipa mwongozo.
 
Bongo Tutachelewa sana kufika, FASHIONOVA huwa wanakutumia wewe kupandisha picha kwenye duka Lao?

Sema wajinga wengi na watakuamini
Na upload pics nilizopewa na kufanya collection. Kuamini au kutoamini ni juu yako. Stock Square D products: qo breakers & Schneider electric: sale for panels, meter, pressure switch, Contactors & transformers, na https://butterflyvalveusa.com/ pia pamoja na blogs zao nafanya same thing. Na hizi ni kampuni kubwa za kuuza vifaa vya umeme na maji marekani na Canada. Siyo big deal kama unavyofikiria.
 
Bro,

Nimewahi kuandika katika moja ya thread uliyoshiriki kuwa "Watanzania" wengi ni loser na wanafanya mambo kwa kukariri. Loser siku zote haamini kama jambo linaweza fanyika.

Hio ni FASHIONOVA, siku akiona gigs za Warner Bros, Tommorowland, Instagram, Fabian Farell, Ozuna, Nestle & co Basi itaitwa 'Editing'.
 
Hatujiamini kama tunaweza fanya. Hata kuupload pic na kutengeneza collection watu wanaona kama haiwezekani. Week tatu nyumba nilikuwa na kazi ya mambo ya data za credit suisse ni one of the biggest investment companies in Switzerland.

Jambo moja ambalo watu wanabidi wajue kwenye freelancing unaweza kuwa unafanya kazi na kampuni flani au kazi ya mtu flani mashuhuri bila wewe hata kuwahi kuzungumza naye. Unaweza kukuta yeye kaajili mtu afanye kazi hiyo na huyo mtu kaajili wengine wafanye. And from the way it is nadhani ndivyo ilivyo. Kote huko nakuwa unakuta una deal with one person tu, hujui hata ni nani.

WELL Summit - WELL Summit Hawa ni wawtu wanafanya mambo makubwa katika mambo ya afya. Nimekuwa pia nikifanya kazi za hawa watu. Tena hawa ni mostly on daily basis. Huo ndiyo uzuri wa hii kitu unajifunza na kufanya vitu indirect na watu wengine. Na hawa ninafanya nao indirect kwasababu waliyempa kazi naye ameigawa gawa vipande kutokana na skills za mtu aktengeneza tam yake online.
 
Yes Sure, naelewa unachowasilisha. Hizi gigs zinatengeza jina, wasifu, marafiki na exposure. Leo hii nimejikuta nipo karibu na A&B list athletes, musicians, film makers, technologists, designers & co. Hii yote ni kufikiri kwa mawazo chanya.
 

Kaka niliku DM
 
Nimeupenda huu uzi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…