The young Tanzanian lady Janeikunda Evarist Rimoy aka Sanchi

Yaan huyu kwa umbo lake..
Akifikisha miaka 40 humtamani,,

Nyama uzembe tu hizo...ila hana lolote lile...

Mwanamke tabia sio body,
Unaweza kuwa na body kubwa na shape lakin akili zeroo...

Tena ni model!!

Ngoja tusubir,time will tell..
kama ni umbo lake real hkn kibaya kitatokea coz ukimuona mama yake anakaribia 50 lakini balaa
 
Huyu dada siku akiamka hana tako atakuwa chizi.
Najua mtasema nina wivu lakini sina wivu.
Tena siyo muda mrefu, ila kama ana akili akatie huo mwili au viungo vyake BIMA, maana mbeleni itakuwa shida sana sana...
 
Hahaha
 
Ukitaka kujua tracko orijino angalia miguu...huyo ni orijino kaumbwa na Mungu baba..
 
Atakua mmachame huyo..kule umachameni ndo shape za kichaga zipo....
 
Haya kazi kwenu, abdallah cambiaso bado anasota rumande, binti karudi mtaani na kuflaunt.
Chapa ilale kama zamani. Cambiasso kashauoga yule hatoki tena
 
NYARA 🥷🏽🐘🔫
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…