There are several benefits that Tanzania would gain if it were to use English as the language of instruction at all levels of education

There are several benefits that Tanzania would gain if it were to use English as the language of instruction at all levels of education

Nenda uingereza ukaandike hizo takataka, hapa ni Tanzania, lugha yetu ya taifa ni kiswahili.
Sasa kwanini documents zote muhimu za serikali zinaandikwa Kwa kingereza?
Documents za Bunge
Documents za wizara
Documents za TRA
Documents za bandarini

Na ukiomba kazi idara zote nyeti za serikali interview ni Kwa kingereza
Kwa Nini wasitumie kiswahili lugha ya wazalendo kama wewe?

Hivi unajua kama mwanao hajui kingereza anakuwa ahajiriki katika idara Serikali Yani kama ajira za ofisi za Bunge, TRA , Bandarini na sehemu zingine huko katika kampuni binafsi ndio kabisa hatii mguu

Kwa lugha nyepesi wewe ni mjinga uliyepumbazwa na CCM Ili waendelee kukutawala wewe na vizazi vyako

Wewe unazani Mwinyi angempeleka mwamawe shule za kayumba Ili ajue kiswahili Leo hii angekuwa raisi?
 
Back
Top Bottom