"there is only four kinds of men"

Fanya fasta ankal maana huyu Asha D kaja na spidi ya ajabu sana, anatishia usalama wa jinsia iliopewa utume kwenye bibilia na koran.
Nimeishaipata bado kuiweka tu ila ankal tujiandae maana wasije wakatutoa macho lol
 
Afrodenzi me love the medal,,, thanx
 

una sound kama unafanya apeal flani hivi.
nikilinganisha hii thread na ile ya kua wanume wapo
ndani ya wanawake na wanaume ndo source ya matatizo ya wanawake
napata jibu hilo.

me ningekushauri upambane na tatizo linalokukabili na sio kufanya apeals.
kama huna njia tatuzi omba msaada wana JF ni wajuzi wa manbo tafauti wanaweza kukusaidia sana.
 

Hata tatizo ila anataka kuligeuza hili jukwaa liwe la mizaha na matani
There is nothing serious in her threads other than jokings . . . .
 


The good thing ni kua C appeal. Inaweza onekana mzaha but ni basics za kumfahamu vizuri mwenzi wako. Sijui kwa upande wako lakini mara nyingi watu wanaonizunguka ni wale wakiwa na wenzi wa within or outside a marriage wanachukulia kila kitu kiko for granted. Nakubali your views on the thread ya source ya matatizo ya wanawake but seriously jamii ilonizunguka naona kama inaangukia either of the four mentioned. The four kinds are different but have one thing in common; another lady apart from the wife, the question ni kitu gani kinapelekea hilo tatizo? Do you think its only the Men? Na kama unavyosema nipambane na tatizo linalonikabili but am thinking that is the first stage of kutatua.
 
Hata tatizo ila anataka kuligeuza hili jukwaa liwe la mizaha na matani
There is nothing serious in her threads other than jokings . . . .

Finally sm 1 ambae amenielewa where its coming from. Anyways Cna nia ya kugeuza jukwaa kuwa la mzaha, ume overestimate sana mana i dont believe i have that power.
 
Who is this now????

Has one wife, one girlfriend, and two housemaids
but he loves most his neighbor's wife
. . .

Has one wife, one girlfriend but he love most his wife's kid sister. Bukoba boys.
 
It is better you know your kind of man sasa.... it is never too late....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…