There's shortage of Pepsi in the market!

Usedcountrynewpipo

JF-Expert Member
Joined
Aug 1, 2012
Posts
3,636
Reaction score
2,728
Wadau! Inaonekana kushuka kwa bei ya soda kume kuwa na impact kubwa sana kwenye soko! Sasa hivi ukienda sehemu nyingi kuna onekana kuwa na uhaba wa soda, hasa za pepsi. Nadhani hii itakuwa fursa nzuri kwao kudouble output kwa vile ni zaidi ya mwaka sasa tangu Pepsi wafunge mtambo mpya. Coke nao pia walifunga mtambo mpya kuongeza uzalishaji nadhani mwaka sasa umepita. Ni nafsi nzuri kwa wazalishaji hawa kutumia muitikio wa soko kwa kuongeza uzalishaji wa bidhaa zao.
 
kuna tetesi kuwa kampuni inayozalisha hivyo vinywaji imefirisika.sijajua kama ni za kweli
 
sikujua kama mia ina impact ya namna hii kwenye biashara
 
kuna tetesi kuwa kampuni inayozalisha hivyo vinywaji imefirisika.sijajua kama ni za kweli

Sio rahisi wakafilisika. Juzi juzi tu wame invest mabilioni ya pesa kufunga mtambo mpya yani wamefanya expansion. Kama wangekuwa vibaya wasinge invest...
 
Tangu iwe jero kila mtu anakunywa pepsi lazima ziishe faster.waongeze uzalishaji wake
 
...vipi mirinda orange nazo hazionekani..
 
Coke wana bureaucracy /ukiritimba sana kwenye ku make strategic decisions. Pepsi hawako hivyo.
Ndio kinawagharimu
 
Coke wana bureaucracy /ukiritimba sana kwenye ku make strategic decisions. Pepsi hawako hivyo.
Ndio kinawagharimu

Kizuri kinajiuza mkuu
Pepsi strategy yao kubwa huwa ni kushusha bei
 
coke nao wameshusha bei lakin wateja hawaitaki yaan hapa kwangu ni peps tu ila kweli kupatikana ni ishu nyingine
 
Kwani bei imekua 400?,maana bei ya siku zote ni 500
 
Sio rahisi wakafilisika. Juzi juzi tu wame invest mabilioni ya pesa kufunga mtambo mpya yani wamefanya expansion. Kama wangekuwa vibaya wasinge invest...
Kumbuka hata HSC waliinvest sana kwenye matangazo ya biashara kiasi cha kuwa wadhamini wa maonyesho ya sabasaba, yaani DITF. Lakini baada ya muda mfupi tu 'wakafilisika'.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…