Kwani wapi ninesemq Mungu kuwa mjuzi wa yote na muweza yote maana yake there shouldn't be evil in the world?
Hata huelewi argument ninayoitoa.
Kiranga you're contradicting yourself my brother.
Let me quote you
"Kwa sababu, ukweli ni kwamba, Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote, kuumba ulimwengu unaoweza kuwa na mabaya, ni contradiction. Contradiction hii inatupa tatizo moja, Mungu huyo na dunia hiyo haviwezi vyote kuwapo, viwili hivi vina kitu kinaitwa mutual exclusivity"
Siwez kujibu kitu bila kukielewa kwanza, wewe ndo huelewi ulichoandika, I can also strongly suggest that you don't understand God's philosophy.
God is not nice, God is Good, he does things for the greatest good, people thinking god is nice is one of the biggest misunderstanding about god, god is far from nice, he is Good, na ndo maana unaona hata kweny biblia kuna muda ana amuru watu wauliwe, that's not something a typical nice person does right?
Maana yake, ama Mungu huyo yupo na ulimwengu unaoruhusu mabaya haupo.
Ama, ulimwengu unaoruhusu mabaya upo, na Mungu huyo hayupo.
Tunaona ulimwengu unaoruhusu mabaya upo.
Hivyo, Mungu huyo hayupo.
Ukibisha, thibitisha Mungu huyo yupo, halafu ondoa contradiction ya Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote kuumba ulimwengu ambao mabaya yanaweza kutokea.
That's your own categorisation and IT IS FLAWED.
Ndo maana mwanzoni nikakuuliza swali la maana sana;
why are you limiting god??
why are you putting restrictions in his own creation??
Why are suggesting how things should be??
Kama mungu kaamua kuumba ulimwengu ambao uovu unawezekana it's because kaamua kufanya hivo, if you don't want that answer it's your choice, goodluck finding another answer, mungu angetaka ulimwengu ambao uovu hauwezi kutokea bac angetuumba kama maroboti, angetuumba binadamu maroboti tusiokuwa na uwezo wa kufikiria, tusiokuwa na uwezo wa kufanya maamuzi, tusiokuwa na uwezo wa kufanya tulipendalo, angeweza kuumba binadamu ambaye hajui lolote zaidi ya kuanguka kifudifudi na kusujudu.
But would that be love? Would that be love?
Ushawahi kusikia ule msemo unasema "If you truly love something, set it free, if doesn't come back it didn't love you, if it comes back, it won't leave you forever"
So, there is no love if you don't give someone a free-choice
There's evil in this world because god gave us a free mind and a choice.