These are the questions that watoto wa vigogo are asked kwenye interview za BOT.

Status
Not open for further replies.
Inauma sana wakati katika interview ya cag tuliulizwa maswali magumu kama nn, au sijui kwa sababu waliona watoto wa wachimba chumvi tulikuwa wengi? Ndo maana hata majibu hawataki kutoa. Hii nchi bwana
<br />
<br />
kaka kwani we umetokea familia zilizowai kutawala namaanisha jina lako mwishoni linaishwa na nini?mfano jairo,luhajo,msekwa kikwete,lowasa,pinda au ndulu.kama una basi we kafundishe tu shule za kata kule wanaangalia surname basi.
 
Nimefurahia hii joke yako!
Nimecheka sana mpaka mbavu zangu zinauma!
Ungebadilisha title ingekuwa bomba sana
 
<br />
<br />
Dah,ver sad ka ndo inakuwa ivyo mkuu!bt 5marks to make 100 hazipo hapo.
 
Mkuu umeongelea mambo mazito katika namna ya utani sana, I like this, big up, wenye macho na masikio tusikie na tuone.
 
Kwani jaman mbona hata watoto wa wakulima wapo?ina maana BOT nzima hakuna watoto wa wakulima!
 
Juz kati nimepgwa apt test ngumu noma nusu saa maswala 60 yan nlijibu kumi sijuh yale
 
Daaaah nimecheka mpaka mbavu zikauma,machoz yakanitokaaa.Hata hivyo watoto wa vigogo wanafeli maswali kama hayo maana hawajui ki2 lakin mwisho wa siku wanapata kaz BOT.Nchi imeuzwa
 
Swali la nyongeza:nani alikuwa raisi wa Kwanza wa Tanzania a)chiluba b)mugabe c) Nyerere JK
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…