Everybody knows how HAMAS or other terrorist group used people as HUMAN SHIELD, Tatizo ni kwamba watu wengine hawaoni uhalifu huu lakini ukifanywa na mtu mwingine watu wanapiga kelele,itakuwa vizuri kwako kwanza uilaumu HAMAS kwa kuwafanya wapalestina kuwa HUMAN SHIELD pale kwenye shule ya UN huko Gaza hivyo kusababisha watu wengi kuuawa ili tu Hamas ipate sababu ya kulalamikia Israel lakini chano ni HAMAS kuwafanya wapalestina HumanSHILED.
HAMAS waliuahidi ulimwegu kuwa Israel itakapo peleka infrantry au askari wa miguu kule Gaza basi Gaza will be grave yard to them,what is this going on there
ALJAZEERA nayo imeendeleza propaganda za footage za watoto na wanawake waliouawa kama wako fair mbona hawaonyeshi picha za magaidi waliouawa vitani,mbona hawaonyeshi silaha zilizofichwa misikitini??????
ama kweli NYANI HAONI KUNDULE.