Thierry Hitimana avunja mkataba na klabu ya Simba

Thierry Hitimana avunja mkataba na klabu ya Simba

Dabil

JF-Expert Member
Joined
Sep 30, 2021
Posts
6,823
Reaction score
15,293
Amevunja mkataba mchana huu na kila kitu kimeenda sawa kwa pande zote mbili.

Ikumbukwe mechi ya Galaxy alikuwa benchi la ufundi la Simba na Gomes akiwa jukwaani ,anapigiwa simu na Gomes afanye mabadiliko akawa hapokei simu,tuliona hata kwenye tv Gomes anapiga simu haipokelewi,mwisho wa siku alifanya sub anayojua yeye tukatolewa club bingwa Africa ,tukio la juzi pia imechukua taswira tofauti kwa kufanya anavyotaka kufanya sub bila idhini ya kocha mkuu.

Hayo yote nikufanya hujuma makocha wakuu waonekane hawana uwezo ili yeye abaki.

Simba tunashukuru kwa uamuzi sahihi Pablo anatosha ,anaimudu ligi na kombe la shirikisho.
 
Matola unafikiri ni kocha pale, yeye ndiye mbeba ngada na kuwalisha wachezaji unga wa ndele
wakati huo we ukifagia fagia na kudeki vyumba vya wachezaji huku ukipiga kijicho nini kinaendelea
 
Bora amesepa hatutaki snitch pale
mkuu mechi ya Galaxy alimzimia Gomes simu,Gomes mpaka akapanic ,alitegemea hamna comeback wangeshinda aonekane hero,ya juzi timu inaongoza magoli mengi akawa anaforce ili wakuu wa timu wajue yeye ndo kichwa,waburudi ni masnitch ,nakuambia subiri miezi miwili tu Caze ataanza kufanya mazingira aonekane mwamba pale utopolo,, huyu Hitimana alikuwa amemalizana na mtibwa ,ishu ya vyeti Simba ikamwambia unaweza kukaa benchi uwe msaidizi?imebaki siku 3 akawabadilishia line viongozi wa mtibwa hapatikani,Sasa hivi Sijui atawaambia nini
 
Back
Top Bottom