ukikaidi utapigwa2
JF-Expert Member
- Feb 24, 2015
- 15,265
- 29,991
mkuu mechi ya Galaxy alimzimia Gomes simu,Gomes mpaka akapanic ,alitegemea hamna comeback wangeshinda aonekane hero,ya juzi timu inaongoza magoli mengi akawa anaforce ili wakuu wa timu wajue yeye ndo kichwa,waburudi ni masnitch ,nakuambia subiri miezi miwili tu Caze ataanza kufanya mazingira aonekane mwamba pale utopolo,, huyu Hitimana alikuwa amemalizana na mtibwa ,ishu ya vyeti Simba ikamwambia unaweza kukaa benchi uwe msaidizi?imebaki siku 3 akawabadilishia line viongozi wa mtibwa hapatikani,Sasa hivi Sijui atawaambia nini
Watanzania sio ma snitch?