ukikaidi utapigwa2
JF-Expert Member
- Feb 24, 2015
- 15,265
- 29,991
mkuu mechi ya Galaxy alimzimia Gomes simu,Gomes mpaka akapanic ,alitegemea hamna comeback wangeshinda aonekane hero,ya juzi timu inaongoza magoli mengi akawa anaforce ili wakuu wa timu wajue yeye ndo kichwa,waburudi ni masnitch ,nakuambia subiri miezi miwili tu Caze ataanza kufanya mazingira aonekane mwamba pale utopolo,, huyu Hitimana alikuwa amemalizana na mtibwa ,ishu ya vyeti Simba ikamwambia unaweza kukaa benchi uwe msaidizi?imebaki siku 3 akawabadilishia line viongozi wa mtibwa hapatikani,Sasa hivi Sijui atawaambia nini
Haya majukumu anayafanya vizuri sana Kaze huko Uto FcMatola unafikiri ni kocha pale, yeye ndiye mbeba ngada na kuwalisha wachezaji unga wa ndele
Caze alimu Snitch nani?sio wote Ila wapo masnich kama kina Manara
Hamuwezi kupambana na shida zenu huko mpka muiongee YangaHaya majukumu anayafanya vizuri sana Kaze huko Uto Fc
ni swala la mda kama kama yule wenu akishinda anaongea kifaransa akifungwa akidraw anaongea kiarabu,siku akifungwa ataongea kizaramoSiku zote ukitaka kuachana na mtu lazima umtafutie kashfa ili aonekane hafai, Ila ukweli uliopo kocha wa Sasa wa Simba ni kocha wa mchongo ni swala la muda tu.
Achana na mambo ya history habari za Yanga zimefika aje , nme kuuliza Caze alimu snitch nani una bwabwaja tu! kila mtu apambane kivyakeyanga ndo inatuongelea maana wana wivu wa maendeleo ,tuongelee utopolo wana historia gani kimataifa labda kucheza migongo wazi
Nazungumzia current issue, Mtibwa haina kocha hivyo ni rahisi kwa Hitimana kwenda hukowalimalizana na mtibwa ,Simba ilipomtaka kwa michezo ya kimataifa ndani ya siku 3 akawabadilishia line ya simu
yeah inawezekana ,Sasa ni mda wake kuonyesha uwezo mtibwa itoke hapo ilipo,hivi leo wameshinda?niliacha mechi wanaongoza na wamemsajili deo kandaNazungumzia current issue, Mtibwa haina kocha hivyo ni rahisi kwa Hitimana kwenda huko
Kidimbwi lia lia katika ubora wake😀Matola unafikiri ni kocha pale, yeye ndiye mbeba ngada na kuwalisha wachezaji unga wa ndele
Huwezi ku stick kwenye point unaruka ruka kama malaya kaona walletpambana na mapinduzi
hahahaaaaa pale zuzu linapopiga dia kwa mambo ambayo yashatukiaHamkani si shwari tena ndani ya Makolo
Wameshinda 1yeah inawezekana ,Sasa ni mda wake kuonyesha uwezo mtibwa itoke hapo ilipo,hivi leo wameshinda?niliacha mechi wanaongoza na wamemsajili deo kanda