maroon7
JF-Expert Member
- Nov 3, 2010
- 11,311
- 15,640
Hata akisimama wima unaiona from behind
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata akisimama wima unaiona from behind
Huu ni ulemavu
Daah! Binadamu wana mambo mengi sana.
sio midori kweli hyo!Uwazi mwingine Ni mkubwa mno,
Mpaka mapaja hayakutani kabisa akisimama wima[emoji116]View attachment 1984186
Jamani basi mim nipo hvohvo hua najiuliza huu wazi ulitokana na nn......Kwasasa,
Kwa Wanawake imekua ndio fashion ya mujini.
Gym za mjini zimejaa mikanda na spring za kubana mapaja ili Wanawake waupate huo uwazi unaowavutia wengi.
Wengine wamefika mbali zaidi kwa kutumia vidonge maalum au kufanya operation maalum kurekebisha mifupa ya nyonga ili kuupata huu Uwazi kwa gharama yoyote ile.
Ila
Tetesi za kidaktari zilizopo Ni kwamba huu Uwazi kwa wanawake,
Unamahusiano makubwa Sana na upana wa maumbile ya mwanamke husika.
Kwamaana ya kwamba,
Jinsi Uwazi unavozidi kua mkubwa, na maumbile ndani huongezeka KIPENYO chake.
[emoji117]Wajuvi wa Mambo ya afya karibuni,
[emoji117]Wanaume na Wanawake mnaovutiwa na Uwazi huu karibuni,
[emoji117]Wanaume na Wanawake msiovutiwa na huu Uwazi karibu,
NawasilishaView attachment 1984161View attachment 1984162
The wider the gap the larger the diameterJamani basi mim nipo hvohvo hua najiuliza huu wazi ulitokana na nn......
Yani nlivo sipendi....nishatafuta dawa za kunenepesha hyo sehem pajae lkn sikupataYou are so blessed, Ugonjwa wa Wanaume wengi huo
Wengine tuna bahati mbaya sasa hivo vipande mnavopenda hatuna 😄Tunapendaga vipande vipande bhana, Mungu hakupi vyote[emoji2]
Sure mkuu hadi huruma😂[emoji2]you can't be serious