zink
JF-Expert Member
- Sep 18, 2021
- 1,208
- 2,352
Hhahah huu hapana umezidi mno kulalekii[emoji116]View attachment 1984206
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hhahah huu hapana umezidi mno kulalekii[emoji116]View attachment 1984206
Naupenda lakini usiwe umezid mkuu yani uwe kawaida tu maana ukizidi inakua kero sasaHuutaki Uwazi mkuu?
Kuna thigh gap, halafu kuna matege! Hayo uliyopost hapo ni matege. Thigh gap ni nafasi ndogo sana wenyewe wanaita "bullet hole" na hii inatakiwa ionekane wakati mapaja yamegusana.Uwazi mwingine Ni mkubwa mno,
Mpaka mapaja hayakutani kabisa akisimama wima[emoji116]View attachment 1984186
Wanazingua sana mkuu, wanaume wote inatakiwa tuwe na msimamo mmoja tu chura kwanza.Wengine tunapenda paja kama paja, liwe paja la uhakika, paja lililojaa kwelikweli, paja lililoambatana na mzigo wa hakika...halafu kifua kiwe kifua haswa...yaani kifua kwelikweli...
Hivi viuwazi vya nini hasa!!
Vipi una Thigh Gap au chura iliyoshiba?Inafikirisha[emoji848]
@Amehlo Thigh Gap ipo au wewe nyama zimejaajaa tu kwa nyuma?[emoji28][emoji28][emoji28]kazi kwelikweli
Mie nna umbo la kawaida kabisa la mwanamke wa kiafrika😊Vipi una Thigh Gap au chura iliyoshiba?
Evelyn chumvi Thigh Gap unayo mama?Kwakweli vipaumbele vinatofautiana
Huo ushuziHuutaki Uwazi mkuu?
[emoji122][emoji122][emoji122] sheikh kipozeo anakuhusu dadangu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mie nna umbo la kawaida kabisa la mwanamke wa kiafrika[emoji4]
Ili afanyaje?😂[emoji122][emoji122][emoji122] sheikh kipozeo anakuhusu dadangu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hatari mkuu.....Acha masihara mkuu