Thika highway Outering Road Interchange U/C
View attachment 1234088View attachment 1234089View attachment 1234090
Hii ni kama cover ya horror movie! Mtoto akikataa menu hii picha inaweza kuwa na msaada.
Sure.. na Wakenya Wana vidaraja vya Aina hii bingo ambavyo wanajibrag kwmqba wanaflyover
Hii ni kama cover ya horror movie! Mtoto akikataa menu hii picha inaweza kuwa na msaada.
Getting better I think they are about to tarmack it back to previous bitumen standards.Thika highway Outering Road Interchange U/C
View attachment 1234088View attachment 1234089View attachment 1234090
'Kelele za chura hazimzuii ndovu kunywa maji'.
You must be poor in Math, sasa ukiambiwa utoe solution ya calculus si utajinyea..'Kelele za chura hazimzuii ndovu kunywa maji'.
Ukihesabu lanes pekee unatoa jasho
divert the topic as much as you want. Thika 10 - 0 kibakaYou must be poor in Math, sasa ukiambiwa utoe solution ya calculus si utajinyea..
Who is officiatingdivert the topic as much as you want. Thika 10 - 0 kibaka
officiating what?Who is officiating
Uko slow sana.. ww endelea kuchomaofficiating what?
Hapa ngeli ni ya "tuna" si "tuta"Mamaaaee!!hatari..yani hatari sio kidogo
Hapa ngeli ni ya "tuna" si "tuta"
Mmeona mkataba wa ujenzi wa hiyo road!! Mnabebwa ufala na Uhuruto nyie mnakenua tu. Uthamaki unawamaliza
Wewe mwenyewe umeliona ama ni kukenua meno tu? PPP na tena ya 30 years. Hapo hakuna eti ushuru wetu utatumika. Mwekezaji anatumia hela zake kisha baada ya miaka 30 akishazipata hela alizowekeza, expressway inakabidhiwa na kuwa under ownership of the government.Mmeona mkataba wa ujenzi wa hiyo road!! Mnabebwa ufala na Uhuruto nyie mnakenua tu. Uthamaki unawamaliza
We nawewe, sasa ufala aje na hakuna pesa ya umma inatumika? Ni ivestor mchina ameamua kuwekeza.Mmeona mkataba wa ujenzi wa hiyo road!! Mnabebwa ufala na Uhuruto nyie mnakenua tu. Uthamaki unawamaliza
Tuonyeshe zenuMmeona mkataba wa ujenzi wa hiyo road!! Mnabebwa ufala na Uhuruto nyie mnakenua tu. Uthamaki unawamaliza
Wewe mwenyewe umeliona ama ni kukenua meno tu? PPP na tena ya 30 years. Hapo hakuna eti ushuru wetu utatumika. Mwekezaji anatumia hela zake kisha baada ya miaka 30 akishazipata hela alizowekeza, expressway inakabidhiwa na kuwa under ownership of the government.
Mchina anawachezea kama atakavyo... miaka 30!! Hapo guarantor ni GoK, yani mchina anafanya risk free business.We nawewe, sasa ufala aje na hakuna pesa ya umma inatumika? Ni ivestor mchina ameamua kuwekeza.