Thika Highway ($360mln) vs Kibaha Highway ($65 mln)

Thika Highway ($360mln) vs Kibaha Highway ($65 mln)


Is is a loan from China,?
By the Way,
This one is too ugly.
IMG_0281.JPG
 
Mmeona mkataba wa ujenzi wa hiyo road!! Mnabebwa ufala na Uhuruto nyie mnakenua tu. Uthamaki unawamaliza
Wewe mwenyewe umeliona ama ni kukenua meno tu? PPP na tena ya 30 years. Hapo hakuna eti ushuru wetu utatumika. Mwekezaji anatumia hela zake kisha baada ya miaka 30 akishazipata hela alizowekeza, expressway inakabidhiwa na kuwa under ownership of the government.
 
Mmeona mkataba wa ujenzi wa hiyo road!! Mnabebwa ufala na Uhuruto nyie mnakenua tu. Uthamaki unawamaliza
We nawewe, sasa ufala aje na hakuna pesa ya umma inatumika? Ni ivestor mchina ameamua kuwekeza.
 
Wewe mwenyewe umeliona ama ni kukenua meno tu? PPP na tena ya 30 years. Hapo hakuna eti ushuru wetu utatumika. Mwekezaji anatumia hela zake kisha baada ya miaka 30 akishazipata hela alizowekeza, expressway inakabidhiwa na kuwa under ownership of the government.
We nawewe, sasa ufala aje na hakuna pesa ya umma inatumika? Ni ivestor mchina ameamua kuwekeza.
Mchina anawachezea kama atakavyo... miaka 30!! Hapo guarantor ni GoK, yani mchina anafanya risk free business.
 
Back
Top Bottom