Hata ivyo iyo barabara unatoka CBD hadi kimara ikiwa na 6 lanes plus serviceroad lanes (8lanes) .kutoka Posta hadi kimara ni km 16 sasa ukiadd 19km Za highway zinakua ngap??Kumbe kelele Hii yote na hata haifiki nusu ya Thika Road.
Hii ikijengwa itakuwa super sana. Finance model yake ni PPP, mwakani mother of all dry ports in E.A inafunguliwa Kwala ina ukubwa wa hectares 500 baada ya hapo lazima investor atapatikana maana hii expressway inaenda kudondoka hapo.Kuna na hii expressway ya Dar to Chalinze...Magufuli anataka iyanze...Itaanzia Kigamboni...Dar Port....Itakuwa na 6 interchange....[emoji28][emoji28][emoji28][emoji116][emoji116][emoji116]Mtasubili sana...View attachment 973100
Hiyo ni PPP128km na mtajenga na pesa yenu. Ile siku mtarauka mshtukie Serengeti imenyakuliwa na asiyejulikana mtajua kwa nini dunia duara.
Hiyo ni phase 1, bado kuna phases nyingine. Kumbuka inajengwa kwa pesa za ndani.Nyie ni wengi inafaa mujenge superhighway ya kilomita zaidi ya mia., kama Nairobi-Mombasa express way., sio vitu vya 19km na kujisifu, Dar kweli ni Slum.,
Katika watu wa hovyo humu huyo jamaa ni kinara, anaweza akakuletea vitu ambavyo havipo ukabaki unashangaa tu.19.2km
Swali;hv hua unasoma mada kabla hujacomment?mwasit ndio maana una maswali ya kikenge kenge
[emoji23] [emoji23]Katika watu wa hovyo humu huyo jamaa ni kinara, anaweza akakuletea vitu ambavyo havipo ukabaki unashangaa tu.
PPP ime~do?Hiyo ni PPP
Kama anafanya makusudi basi jamaa ni mwehu sana! Ila kama ndivyo alivyo basi ni hasara. Kuna mtu alipost picha yake, jinsi alivyo na upupu wake anaoandika ata haviendani. Inaeza ikawa bangi ime mspoil [emoji1][emoji23] [emoji23]
If i do u, u do me [emoji41]PPP ime~do?
That's Chinois money!Sgr phase 2A
Ikifika 20km una uhuru wa kupiha kelele lakini kwa sasa mdomo pigia kina Burundi juu hata Uganda sio ligi yenu alafu kwanza mkamilishe tuikague.Hata ivyo iyo barabara unatoka CBD hadi kimara ikiwa na 6 lanes plus serviceroad lanes (8lanes) .kutoka Posta hadi kimara ni km 16 sasa ukiadd 19km Za highway zinakua ngap??
Wamecatch feelings juu yako. Wewe ndio dawa yaoIkifika 20km una uhuru wa kupiha kelele lakini kwa sasa mdomo pigia kina Burundi juu hata Uganda sio ligi yenu alafu kwanza mkamilishe tuikague.
. BTW,mmeshindwa na Rwanda. Mnapata highway yenu ya kwanza sasa ,flyover mlizindua juzi na bado mnalijinganisha na Kenya? Geza Ulole huwa hapati usingizi akiwaza Kenya. Anafungua nyuzi saa saba za usiku.Nahurumia mke wake na watotoIf i do u, u do me [emoji41]
Magufuli swala la PPP kwenye miradi ya serikali hataki...Hii itajengwa na serikali hatakama nikwa mkopo...Hii ikijengwa itakuwa super sana. Finance model yake ni PPP, mwakani mother of all dry ports in E.A inafunguliwa Kwala ina ukubwa wa hectares 500 baada ya hapo lazima investor atapatikana maana hii expressway inaenda kudondoka hapo.
Naona imekugusa pabayaπ€£π€£π€£Pata na hii ya leoπ π π πππIkifika 20km una uhuru wa kupiha kelele lakini kwa sasa mdomo pigia kina Burundi juu hata Uganda sio ligi yenu alafu kwanza mkamilishe tuikague.
Mkopo na nyie ni donor country?Magufuli swala la PPP kwenye miradi ya serikali hataki...Hii itajengwa na serikali hatakama nikwa mkopo...
Kwani nyinyi Rwanda hawazidi...??π π π. BTW,mmeshindwa na Rwanda. Mnapata highway yenu ya kwanza sasa ,flyover mlizindua juzi na bado mnalijinganisha na Kenya? Geza Ulole huwa hapati usingizi akiwaza Kenya. Anafungua nyuzi saa saba za usiku.Nahurumia mke wake na watoto
Rwanda wako na highway. So do we and Uganda. Tanzania is a disgrace.K
Kwani nyinyi Rwanda hawazidi...??π π π
Kwani Marekani hakopi?? π π π Hii inakuja very soon...πππMkopo na nyie ni donor country?