Thika Highway ($360mln) vs Kibaha Highway ($65 mln)

Thika Highway ($360mln) vs Kibaha Highway ($65 mln)

The highway is 40 km!
sipendi kuppingana na wajinga
1.PNG
 
Yaani wewe na akili zako nzuri hivyo unataka kulinganisha Pori la Dar es Salaam na Jiji la Nairobi. Aaaah acha matani basi
Ndio nawewe ushangae,dar ikiwa pori nairobi itakuwa Nini???
 
Ndio shida ya kutawaliwa na wazungu sasa. Kila kitu unaamini mzungu empty set kabisa
Nyinyi hamna akili ndio maana mnachukukua mkopo mkubwa kujenga sgr ambayo haina faida huku bandari yenu ya mombasa inachukuliwa na mchina.
 
Yaani wewe na akili zako nzuri hivyo unataka kulinganisha Pori la Dar es Salaam na Jiji la Nairobi. Aaaah acha matani basi

Ni kweli kabisa dar kuna pori wala hujakosea,ila wakenya wao wamepata kulijua pori hilo 2017->
 
You cant compare apples with mangoes, compare apple to apple, je ume-compare na terrain hizo mbili? distance alone does not tell it all.

It's time again to look at the value for taxpayers' money in these two projects. Though three Chinese contractors i.e. Synohydro, Wu Yi n Shengli Engineering built Thika's 40 km Highway that claimed to be superhighway by Kenyans, Kibaha's 19 km Highway is to be built by native Tanzanians.
 
Corrupt kenya again. It means kenyans built theirs for $9m per km while ours will be $3.2 per km and Tanzanian road will be much better ie flyivovers will be included

You are quite right and this is what used to happen during the 3rd and 4th governments in Tanzania!however the President Dr Magufuli ananyooooosha mambo(he is curbing the theft through dubious and inflated contracts by unscrupulous government officials who only valued their stomachs) those are the instigators and orators of “hali ngumu”! No more illegal deals!
 
Giza, Why don't we talk about the $45 million barely 500 metres 6 lane Tazara flyover vs the $88 million 13 km 8 lane elevated highway...who's playing who?
Screenshot_20181211-072333.png
Screenshot_20181211-072500.png
Screenshot_20181211-072634.png
 
Magufuli is on another level, Even if you personally hate him, you cannot argue with his infrastructure development projects.
In just 3 years, he has done what kibaki and Uhuru have done in 20 years. Its almost impossible to count the number of projects he is doing, from SGR, superhighways, airports, ATCL planes, Bagamoyo, Crude pipeline, gas pipeline, mega bridges,mega hydro dams
Huyu Mzee angozwe angalau miaka zingine 10 hivi
[emoji15] [emoji15] [emoji15]

mkuu unaishi tanzania au unaishi ulaya?.........


hio miradi ya magufuli zaidi ya sgr ambayo ndio inajengwa, mradi gani mwingine umeshaanza!!!!?????............
 
Back
Top Bottom