Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nahisi watu wengine wakisoma baadhi ya posts humu wanajiuliza maswali mengi. Tunakuwa na hoja nzuri lakini tunashindwa kuziwasilisha vizuri kwa lugha yoyote, hata ile ya wazazi wetu. Hapa ndipo elimu ya nchi hii ilipofika.....on its knees! Tunatakiwa kuanza upya, lakini tunaweza?