Abby Newton
JF-Expert Member
- Nov 12, 2017
- 1,252
- 2,253
Nakumbuka wakati Kaze anatajwa kutakiwa na Yanga, kuna mwandishi mmoja wa Burudani/ Rwanda Kama sikosei alisema Kaze hana uwezo wa kufundisha timu kubwa kama Yanga. Akatoa sababu kadhaa ikiwepo ya kukosa uzoefu wa kutofundisha timu kubwa na zenye presha.
Leo nimeamini hiyo kauli na nakiri kusema "Things have fallen apart for Kaze"
Leo nimeamini hiyo kauli na nakiri kusema "Things have fallen apart for Kaze"