Things I wish Tanzania learned and copied from Kenya

Things I wish Tanzania learned and copied from Kenya

Devolution does not work like that. Eti mtu wa Mbeya hatamjua wa Arusha.
Nchi itabaki moja na mamlaka yatabaki kwenye serikali kuu Dodoma. Haitaruhusiwa serikali ya jimbo lolote kuunda sheria itakayozuia uhuru wa raia, bidhaa, fedha na huduma kuhama kutoka sehemu moja ya jamhuri kwenda katika sehemu nyingine.
Besides, devolution can help Tanzania cope with its Zanzibar problem. Think about it.
Bado hujanishawishi kwamba serikali ya majimbo ndio jawabu la kiutawala kwa Tanzania. Kwanza kwanini tujiingize kwenye mfumo ambao hauta leta maendeleo tofauti na yalio sasa? Kwani hatuna serikali za mitaa ambazo zinatatua matatizo ya wananchi moja kwa moja? Why we need to add more bureaucratic layers by electing another provincial legislators who will do the same with what councils are doing today. Na hii Mbeya Arusha example I gave you before, it will be reality once you see people of one side losses their jobs and they try to go to find jobs in another province. Kwani devaluation itaketa maajabu gani Zanzibar, kwani Zanzibar haiko kwenye devaluation tayari? Hawana rais wao, hawana serikali yao, hawana bunge lao, hawana serikali zao za mitaa? Hii imekuwa issue ya Chadema for years, lakini imekuwa fimbo ambayo CCM inawachapia Chadema kila wakati hili swala likiibuka. Mifano ni mingi sana kwa nchi zilizo ingia kwenye utawala wa majimbo na jumuia kuvunjika. Sisi tunaona Marekani kama ni nchi moja kubwa na wanashirikiana katika kila jambo. Lakini ukienda kule hasa hasa kwenye ngazi ya majimbo na mikoa ya majimbo (county), utaona jinsi wanavyo tofautiana na kupingana kisiasa na kuuchumi California v Taxes v NY. Uingereza England v Scotland, Ujerumani Bayern v Berlin, South African wao ndio kabisa West Cape v Gauteng v KwaZulu Natal. Wengi hao walikuwa hawana ujanja lakini kujiingiza kwenye mfumo wa majimbo kutokana na hisia baina ya jamii. Lakini kwa Tanzania tunahisia gani, tuna shida gani ya kisiasa mpaka tuamuwe kumega nchi kwa vipande vya majimbo? Maana ndio huko tuendako Kilimanjaro watakuwa juu sana kulinganishwa na Rufuji. Until you come up with stronger case of devaluation, hii issue itakiwa ngumu kushawishi Watanzania.
 
Bado hujanishawishi kwamba serikali ya majimbo ndio jawabu la kiutawala kwa Tanzania. Kwanza kwanini tujiingize kwenye mfumo ambao hauta leta maendeleo tofauti na yalio sasa? Kwani hatuna serikali za mitaa ambazo zinatatua matatizo ya wananchi moja kwa moja? Why we need to add more bureaucratic layers by electing another provincial legislators who will do the same with what councils are doing today. Na hii Mbeya Arusha example I gave you before, it will be reality once you see people of one side losses their jobs and they try to go to find jobs in another province. Kwani devaluation itaketa maajabu gani Zanzibar, kwani Zanzibar haiko kwenye devaluation tayari? Hawana rais wao, hawana serikali yao, hawana bunge lao, hawana serikali zao za mitaa? Hii imekuwa issue ya Chadema for years, lakini imekuwa fimbo ambayo CCM inawachapia Chadema kila wakati hili swala likiibuka. Mifano ni mingi sana kwa nchi zilizo ingia kwenye utawala wa majimbo na jumuia kuvunjika. Sisi tunaona Marekani kama ni nchi moja kubwa na wanashirikiana katika kila jambo. Lakini ukienda kule hasa hasa kwenye ngazi ya majimbo na mikoa ya majimbo (county), utaona jinsi wanavyo tofautiana na kupingana kisiasa na kuuchumi California v Taxes v NY. Uingereza England v Scotland, Ujerumani Bayern v Berlin, South African wao ndio kabisa West Cape v Gauteng v KwaZulu Natal. Wengi hao walikuwa hawana ujanja lakini kujiingiza kwenye mfumo wa majimbo kutokana na hisia baina ya jamii. Lakini kwa Tanzania tunahisia gani, tuna shida gani ya kisiasa mpaka tuamuwe kumega nchi kwa vipande vya majimbo? Maana ndio huko tuendako Kilimanjaro watakuwa juu sana kulinganishwa na Rufuji. Until you come up with stronger case of devaluation, hii issue itakiwa ngumu kushawishi Watanzania.
Tofautisha Marekani na Kenya. Marekani ni Shirikisho (federation) while Kenya is a unitary state. Tofauti ni kwamba kwenye shirikisho power comes from down up. The federation exists because the states will it to be so. Kenya ni unitary state yaani power comes from up down. Kenya's central government created the county governments and can dissolve them at will, unlike huko marekani. The central government decides what the county governments can or cannot do.
Same case itakuwa kwa Tanzania.
And kuhusu kutatua kero za wananchi, i think devolution can help. I am just borrowing from Kenya. Look at their marginalized regions and how they are thriving sasa hivi? Leo hii inatia aibu mkoa wa shinyanga unachangia kiasi kikubwa kwenye pato la taifa lakini ni moja ya mikoa maskini hapa Tanzania. Same case for Mtwara and all that. But they cant cry for equitable sharing of national resources because they have no self-appointed leaders!
 
Na kufungwa jela kote alikofungwa hulioni hilo?..ha!...😛kweli wamchukia mzee huyu.

Mojawapo wa sababu zangu za kuwa na tatizo na Raila ni huu unafiki wa nyie wafuasi wake, kwamba mumeaminishwa na kukaririshwa kuwa kila mtu anayepingana naye lazima atakua ni mkabila. Ina maana kila akifanyacho lazima aabudiwe, tuiname sote na kusema amina. Sasa hilo kwangu haitokuja kutokea, yeye anaye nyie wafuasi sugu wa kikabila ambao hata mkoa wake hamna mtu anayeweza kumpinga wala kusema chochote dhidi yake.

Hiyo dhana haitokuja siku muilazimishe kwa Wakenya wengine, huku nje ya huo mkoa wenu atapingwa na kukataliwa maana tuna uhuru huo wa kuamua, hatijakombwa kombwa kwenye zizi moja.

Kufungwa kwake jela tunafahamu sote ilikua kwa sababu ya kuhusika katika mapinduzi yaliyomwaga damu ya Wakenya wasiokua na hatia. Hivyo tija ya kufungwa jela na umuhimu wake ni mjadala wa siku nyingine, maana nina uhakika kuna mamilioni ya Wakenya wasiopenda mapinduzi yasiyokua ya kidemokrasia. Afrika tumechoka na mapinduzi ya kijeshi na nchi yetu ingetumbukia pabaya kama akina Raila wangefaulu, tungeishia kuwa kama zilivyo nchi za wengine zinazo zozaniwa kijeshi kila uchao.

Mimi namtambua Raila kama kiongozi wa upinzani na aliyekua waziri mkuu, na pia inawezekana akagombania urais mwaka huu, na akishinda kuna uwezekano atakua rais wangu, na nitamuunga mkono kwa dhati ili kufanikisha malengo ya nchi yetu kama akitokea kuwa rais wetu, na kama tu nitakavyomuunga rais yeyote atakayeshinda. Na pia nazitambua juhudi zake KATI YA WENGINE katika kuleta demokrasia. Lakini hayo ya kutulazimisha tumuunge mkono kama bado yupo nje, na eti nikigoma mnaniita mkabila ilhali yeye ni kiongozi wa kabila na hataki mtu aibuke huko kwake, huo ni unafiki uliopitiliza.

Magazeti aendelee kusababisha yanunuliwe, maana ni muhimu kiuchumi ila amesababisha watu wanaishi maisha ya kikampeni kila siku miaka yote. Jameni kuna wakati wa ujenzi wa taifa nje ya siasa na kampeni. Anyway nimehitimisha pia kuhusu hili la kumjadili Odinga.
 
Tofautisha Marekani na Kenya. Marekani ni Shirikisho (federation) while Kenya is a unitary state. Tofauti ni kwamba kwenye shirikisho power comes from down up. The federation exists because the states will it to be so. Kenya ni unitary state yaani power comes from up down. Kenya's central government created the county governments and can dissolve them at will, unlike huko marekani. The central government decides what the county governments can or cannot do.
Same case itakuwa kwa Tanzania.
And kuhusu kutatua kero za wananchi, i think devolution can help. I am just borrowing from Kenya. Look at their marginalized regions and how they are thriving sasa hivi? Leo hii inatia aibu mkoa wa shinyanga unachangia kiasi kikubwa kwenye pato la taifa lakini ni moja ya mikoa maskini hapa Tanzania. Same case for Mtwara and all that. But they cant cry for equitable sharing of national resources because they have no self-appointed leaders!
So if I go with your argument grassroot knows what they want rather than central government. But how is that different with the current system? Is it because you see resources rich regions have far less development ? I've been in Kenya many time and I'm familiar with there system old and new. If I can be honest it hasn't change much, provision government still have to ask for funding from the central government, KRA still collecting taxes countrywide, still people are finding hard if not harder getting jobs. All it has change in Kenya more elected official and central government has reduce its responsibility of answers direct to the people. If I come back to your point, that Shinyanga has gold and diamond. What if we let Shinyanga use it's resources and enriched itself. What will happen to a boy in Singida, will he have abandon his home town and move to Shinyanga or will he just envy Shinyanga region whom they live in land of milk and honey. I'm still haven't seen or heard any compelling argument that devaluation ndio muarobanini wetu.
 
Tofautisha Marekani na Kenya. Marekani ni Shirikisho (federation) while Kenya is a unitary state. Tofauti ni kwamba kwenye shirikisho power comes from down up. The federation exists because the states will it to be so. Kenya ni unitary state yaani power comes from up down. Kenya's central government created the county governments and can dissolve them at will, unlike huko marekani. The central government decides what the county governments can or cannot do.
Same case itakuwa kwa Tanzania.
And kuhusu kutatua kero za wananchi, i think devolution can help. I am just borrowing from Kenya. Look at their marginalized regions and how they are thriving sasa hivi? Leo hii inatia aibu mkoa wa shinyanga unachangia kiasi kikubwa kwenye pato la taifa lakini ni moja ya mikoa maskini hapa Tanzania. Same case for Mtwara and all that. But they cant cry for equitable sharing of national resources because they have no self-appointed leaders!
No matter how integrity the local government is systematized in regulating and utilize tax revenue at their respective areas. Without having reliable resources and effective firms to extract that revenue isn't going to make nothing.

The first thing to consider is having proper working investments to offer jobs and paying revenues massively.

Local authorities that are there for just managing revenue is the last thing to consider
 
So if I go with your argument grassroot knows what they want rather than central government. But how is that different with the current system? Is it because you see resources rich regions have far less development ? I've been in Kenya many time and I'm familiar with there system old and new. If I can be honest it hasn't change much, provision government still have to ask for funding from the central government, KRA still collecting taxes countrywide, still people are finding hard if not harder getting jobs. All it has change in Kenya more elected official and central government has reduce its responsibility of answers direct to the people. If I come back to your point, that Shinyanga has gold and diamond. What if let Shinyanga use it's resources and enriched itself. What will happen to a boy in Singida, will he have abandon his home town and move to Shinyanga or will he just envy Shinyanga region whom they live in land of honey and milk. I'm still haven't seen or heard any compelling argument that devaluation ndio muarobanini wetu.

Ni dhahiri mfumo wa ugatuzi/devolution haujaufahamu wewe, naomba uchukue muda wako ukija tena Kenya upate darasa kamili ya jinsi huo mfumo ulivyo, nimeona wengi mnaouponda ni kwa kutoujua ipasavyo.
 
Ni dhahiri mfumo wa ugatuzi/devolution haujaufahamu wewe, naomba uchukue muda wako ukija tena Kenya upate darasa kamili ya jinsi huo mfumo ulivyo, nimeona wengi mnaouponda ni kwa kutoujua ipasavyo.

kila nchi ina matatizo yake, na kila nchi ita kaa na kutunga mfumo unao faa kutumika katika nchi husika ili kupunguza au kuonda misuguano kati ya wanachi na jamii. Wakati huo huo, Nchi ita na kutathmini ni mfumo gani ulio jaribiwa nchi nyingine unaoweza kuigwa ili matatizo walio nayo. Mfumo wa utawala wa jimbo, mara nyingi umetumika kuondoa misuguano katika jamii, nilitoa mifano huko nyuma kwa nchi kama Uingereza nchi kama Afrika ya kusini, hata Kenya pia. Hizi ni nchi zilizopitia misuguano ya kijamii kwa muda mrefu sana, na kulikuwa hakuna namna nyingine ya kutenganisha hizi jamii ili wafanye kazi kwa manufaa ya nchi yao zaidi ya kuanzisha tawala za kimajimbo. Pamoja na kutenganisha haya majimbo, mfumo huu ilitakiwa umalize matatizo ya karibu ya wanachi wa maeneo husika. Je, nukuulize swali hapo Kenya matatizo ya kawaida ya wananchi katika hayo majimbo yamekwisha?, au hata kama yanatatuliwa yamefikia wapi? unakuta eneo moja kama Machakos na Maendelo chap chap movment, kwani ni devolution ndio imeleta haya maendelo au ni juhudi za watu wenyewe? Kwa kwetu sisi watu wanotaka huu mfumo, wanashindwa kupanga hoja zao zitakazo onyesha kwamba mfumo huu ndio dawa ya shida zetu Tanzania. Mpaka hivi sasa Tanzania haina msuguano wa kijamii, hatuna ulafi wa madaraka, hatuna hata vita vya wenywe kwa wenye, kama ni maendelo yanapatikana kwa uongozi bora na sio mfumo huu au mfumo ule.
 
kila nchi ina matatizo yake, na kila nchi ita kaa na kutunga mfumo unao faa kutumika katika nchi husika ili kupunguza au kuonda misuguano kati ya wanachi na jamii. Wakati huo huo, Nchi ita na kutathmini ni mfumo gani ulio jaribiwa nchi nyingine unaoweza kuigwa ili matatizo walio nayo. Mfumo wa utawala wa jimbo, mara nyingi umetumika kuondoa misuguano katika jamii, nilitoa mifano huko nyuma kwa nchi kama Uingereza nchi kama Afrika ya kusini, hata Kenya pia. Hizi ni nchi zilizopitia misuguano ya kijamii kwa muda mrefu sana, na kulikuwa hakuna namna nyingine ya kutenganisha hizi jamii ili wafanye kazi kwa manufaa ya nchi yao zaidi ya kuanzisha tawala za kimajimbo. Pamoja na kutenganisha haya majimbo, mfumo huu ilitakiwa umalize matatizo ya karibu ya wanachi wa maeneo husika. Je, nukuulize swali hapo Kenya matatizo ya kawaida ya wananchi katika hayo majimbo yamekwisha?, au hata kama yanatatuliwa yamefikia wapi? unakuta eneo moja kama Machakos na Maendelo chap chap movment, kwani ni devolution ndio imeleta haya maendelo au ni juhudi za watu wenyewe? Kwa kwetu sisi watu wanotaka huu mfumo, wanashindwa kupanga hoja zao zitakazo onyesha kwamba mfumo huu ndio dawa ya shida zetu Tanzania. Mpaka hivi sasa Tanzania haina msuguano wa kijamii, hatuna ulafi wa madaraka, hatuna hata vita vya wenywe kwa wenye, kama ni maendelo yanapatikana kwa uongozi bora na sio mfumo huu au mfumo ule.

Kwanza kabisa ugatuzi sio majimbo, na ndio maana nimekuambia unaongelea mfumo usioujua na hadi uuelewe kwanza ndio itakua rahisi kuujadili aidha kwa kuupinga au kuupenda.
Pili nilikuambia ugatuzi haupo kwa ajili ya kutatua misuguano, cha msingi ni kuboresha maisha ya watu ili waone vipau mbele vyao vinatiliwa maanani. Na hilo swali lako la kuniuliza eti kama ugatuzi umemaliza shida zote Kenya, naona kama upo kiushabiki zaidi, badala ya mjadala unaokusudiwa kujenga.
Hamna mfumo wowote dunia hii ambao unaweza ukamaliza shida za watu wake zote!!!

Shida bado zipo Kenya, na hazitaisha zote, lakini baada ya ugatuzi kuna mambo mengi tumeyaona yakiwafikia watu wa chini. Lengo kuu la ugatuzi ni
- Kuhakikisha maendeleo ya kila maeneo yanahusiana na vipau mbele vya pale. Viongozi wa hayo maeneo/gatuzi kwa mfano Paul Makonda inabidi aombe kura na analazimika kueleza mipango yake yote ndani ya Dar es Salaam. Akichemsha anapigwa chini na wananchi.
- Ugatuzi unahakikisha raslimali za kila eneo zinawanufaisha watu wa pale pia. Mapato yote yanakwenda kwenye serikali kuu, lakini gatuzi linatengewa asilimia 15% kwa ajili ya jitihada zake kwenye kuhakikisha mapato zaidi yanayotokana na raslimali. Kwa mfano hao watu wenu ambapo gesi inatoka, asilimia 15% ingekua inabaki ili kuboresha miundo mbinu ya pale. Nakumbuka wakati wana Mtwara walipozusha kuhusu gesi mkawazima kwa mitutu, sasa kwa ugatuzi huna haja ya kutumia nguvu kuwazima, unawatengea asilimia kiasi ili kujenga mkoa wao.
 
Devolved system helps a lot. Kitambo kila kitu kilikuwa Nairobi. Maendeleo yote yalikuwa Nairobi. Baada ya ugatuzi maeneo mengine yameanza kuendelea kiuchumi. Ukienda miji Kama Thika, Nakuru, Eldoret, Kisii, Kisumu are growing very fast. Vitu kama shopping malls kubwa ambazo kitambo ungezipata Nairobi na Mombasa ziko kila mahali sasa. Ukienda Narok town, utapata mall kubwa sana. Serikali za kaunti zimesaidia. Karibu kila Kaunti ina hospitali yake kubwa siku hizi. Badala ya watu kwenda Nairobi kutafuta kazi wanabaki kaunti zao sababu sasa hivi kazi zimekuja kuwatafuta mashinani. Towns are growing very fast and have almost everything. Sasa ata small towns utapata ziko na high end real estate development na surburbs are sprouting everywhere. Sasa kuna even development in Kenya. Devolution is working
 
eti Marekani? hehe watu wanaozungumza broken English!!! u cant even differentiate between the letter "r" and the letter "l" na bado mnasema eti mna education system...on a serious note, Devolution is a necessity for all democracies...ndio maanake ukienda Tz utapata city ni moja tu..."miji" mingine yote iko level ya village...nashangaa mbona yaitwa miji
Naona umejichanganya tu kama kuna point tunapeana kwenye debate hupati hata Moja watu wanajadili wewe unakuja na majivuno na kubishana... are you high and shit!?
 
eti Marekani? hehe watu wanaozungumza broken English!!! u cant even differentiate between the letter "r" and the letter "l" na bado mnasema eti mna education system...on a serious note, Devolution is a necessity for all democracies...ndio maanake ukienda Tz utapata city ni moja tu..."miji" mingine yote iko level ya village...nashangaa mbona yaitwa miji
Mpuuzi ww!! Kwvle Kenya jiji n moja basi unazani na Tanzania jiji ni moja
Mbuzi kweli ww, nenda Mwanza ndyo utajua tunazungumzia nn
 
Devolution au ugatuzi ni muhimu sana na ipo siku mtaikubali. Ni mfumo unaowezesha maendeleo kila sehemu ya nchi. Japo leo mtaponda maana unafanywa na Wakenya.

Kwa wasio ufahamu huu mfumo, ni kwamba kwa mfano watu wa wilaya au mkoa fulani wanajifanyia maamuzi ya nini vipao mbele vyao na pia wanatengewa asilimia ya hela kujifanyia bajeti na utekelezaji wake.

Kwa mfano watu wa Chato nina uhakika wangeulizwa leo hii, wangechagua kufanyiwa mengine tofauti na ilivyoamuliwa kwamba wajengewe uwanja wa kimataifa.
Hayo maamuzi yanayojadiliwa Dar kuhusu mikoa mingine ndio huondolewa na mfumo wa ugatuzi.
Huo mfumo peleka kwenu Kenya!! Tanzania hatuhitaji utumbo kama huo!! Kwenu kna udini na ukabila mtaweza ila kwetu No!! That's means wa Mtwara hatamthamin / kumjua wa Kibondo
Hapana kwa Tanzania( Country with Highest Mountain all over Africa)

~Cmb
 
Kwanza kabisa ugatuzi sio majimbo, na ndio maana nimekuambia unaongelea mfumo usioujua na hadi uuelewe kwanza ndio itakua rahisi kuujadili aidha kwa kuupinga au kuupenda.
Pili nilikuambia ugatuzi haupo kwa ajili ya kutatua misuguano, cha msingi ni kuboresha maisha ya watu ili waone vipau mbele vyao vinatiliwa maanani. Na hilo swali lako la kuniuliza eti kama ugatuzi umemaliza shida zote Kenya, naona kama upo kiushabiki zaidi, badala ya mjadala unaokusudiwa kujenga.
Hamna mfumo wowote dunia hii ambao unaweza ukamaliza shida za watu wake zote!!!

Shida bado zipo Kenya, na hazitaisha zote, lakini baada ya ugatuzi kuna mambo mengi tumeyaona yakiwafikia watu wa chini. Lengo kuu la ugatuzi ni
- Kuhakikisha maendeleo ya kila maeneo yanahusiana na vipau mbele vya pale. Viongozi wa hayo maeneo/gatuzi kwa mfano Paul Makonda inabidi aombe kura na analazimika kueleza mipango yake yote ndani ya Dar es Salaam. Akichemsha anapigwa chini na wananchi.
- Ugatuzi unahakikisha raslimali za kila eneo zinawanufaisha watu wa pale pia. Mapato yote yanakwenda kwenye serikali kuu, lakini gatuzi linatengewa asilimia 15% kwa ajili ya jitihada zake kwenye kuhakikisha mapato zaidi yanayotokana na raslimali. Kwa mfano hao watu wenu ambapo gesi inatoka, asilimia 15% ingekua inabaki ili kuboresha miundo mbinu ya pale. Nakumbuka wakati wana Mtwara walipozusha kuhusu gesi mkawazima kwa mitutu, sasa kwa ugatuzi huna haja ya kutumia nguvu kuwazima, unawatengea asilimia kiasi ili kujenga mkoa wao.
Kwa Kenya mnatumia neno ugatuzi, sisi tunatumia serkali za majimbo au mikoa. Labda ni kitu kimoja japo sina uhakika, nitakuachia wewe mtalamu wa kiswahili Sheikh MK245.

Nikirudi kwenye mada, mimi sio mgemi wa mfumo kama huo mlio nao Kenya, nimeishi nchini uwingereza na afrika ya kusini. Sio kupita kama mtembezi bali kuishi kwenye mfumo wenywe kwa muda mrefu tuu. Bado sijaona sababu ya msingi inayo weza kurasimisha mfumo huu ndio mfumo utakao tupa tija katika maendeleo yetu. Kama shida ni kuwapa nguvu watu wa eneo fulani ili wawe na uwezo wa kumchagua kiongozi wao na kuwa na uwezo wa kumfukuza kazi pale wanapoona hafai, mfumo wetu bado unatupa majibu ya haraka zaidi kuliko huo wa Kenya, kwwsababi kiongozi wa mkoa au wilaya anaweza kufukuzwa kazi haraka na kwa garana nafuu kuliko Kenya. Kwa Kenya wananchi ita bidi wategemee MCA wapige kura ya kukosa imani na Gavana wao ndio chochote kifanyike. Hapo hapo Gavana anaweza kufanya mchezo wa kisiasa na kubaki madarakani (mfano Alfred Mutua na sarakasi zake za miezi iliyopita ya kukimbiza wajumbe MCA nje ya Kenya) kama ingekuwa kwetu mfumo Mutua angefukuzwa kazi mara moja bila kuleta kinga au utetezi wa kisiasa.

Hata ukija kwenye eneo la kufaidika na rasilimali za nchi, hayo yote yanatatuliwa kwa sheria inayo wapa watu wa eneo fulani lenye rasilimali kubaki na fungu dogo la pesa kutokana na makubalino. Tumefanya hivyo kwenye maeneo ya madini kwa muda mrefu sasa. Magufuli alipoingia madarakani, hakubadilisha sheria hata moja kwa miezi sita ya mwanzo, ila alitumia sheria zile zile za zamani ambazo watu hawakujuwa kama hizo sheria zipo. Mpaka leo hii, hajabafilisha sheria nyingi ila anahakikisha sheria zote zinatumika kama ilivyo paswa kutumika. Swala linakuja kwenye utendaji na sio mfumo. Kama mfumo ungekuwa muhimu, basi nchi zote duniani zingetumia mfumo wa aina mmoja. Kama mfumo wa Kenya ungefaa kwa nchi zingine Afrika Mashariki mbona sijaona Uganda au Rwanda au Burundi wanakimbilia huo mfumo.
 
Kwa Kenya mnatumia neno ugatuzi, sisi tunatumia serkali za majimbo au mikoa. Labda ni kitu kimoja japo sina uhakika, nitakuachia wewe mtalamu wa kiswahili Sheikh MK245.

Nikirudi kwenye mada, mimi sio mgemi wa mfumo kama huo mlio nao Kenya, nimeishi nchini uwingereza na afrika ya kusini. Sio kupita kama mtembezi bali kuishi kwenye mfumo wenywe kwa muda mrefu tuu. Bado sijaona sababu ya msingi inayo weza kurasimisha mfumo huu ndio mfumo utakao tupa tija katika maendeleo yetu. Kama shida ni kuwapa nguvu watu wa eneo fulani ili wawe na uwezo wa kumchagua kiongozi wao na kuwa na uwezo wa kumfukuza kazi pale wanapoona hafai, mfumo wetu bado unatupa majibu ya haraka zaidi kuliko huo wa Kenya, kwwsababi kiongozi wa mkoa au wilaya anaweza kufukuzwa kazi haraka na kwa garana nafuu kuliko Kenya. Kwa Kenya wananchi ita bidi wategemee MCA wapige kura ya kukosa imani na Gavana wao ndio chochote kifanyike. Hapo hapo Gavana anaweza kufanya mchezo wa kisiasa na kubaki madarakani (mfano Alfred Mutua na sarakasi zake za miezi iliyopita ya kukimbiza wajumbe MCA nje ya Kenya) kama ingekuwa kwetu mfumo Mutua angefukuzwa kazi mara moja bila kuleta kinga au utetezi wa kisiasa.

Hata ukija kwenye eneo la kufaidika na rasilimali za nchi, hayo yote yanatatuliwa kwa sheria inayo wapa watu wa eneo fulani lenye rasilimali kubaki na fungu dogo la pesa kutokana na makubalino. Tumefanya hivyo kwenye maeneo ya madini kwa muda mrefu sasa. Magufuli alipoingia madarakani, hakubadilisha sheria hata moja kwa miezi sita ya mwanzo, ila alitumia sheria zile zile za zamani ambazo watu hawakujuwa kama hizo sheria zipo. Mpaka leo hii, hajabafilisha sheria nyingi ila anahakikisha sheria zote zinatumika kama ilivyo paswa kutumika. Swala linakuja kwenye utendaji na sio mfumo. Kama mfumo ungekuwa muhimu, basi nchi zote duniani zingetumia mfumo wa aina mmoja. Kama mfumo wa Kenya ungefaa kwa nchi zingine Afrika Mashariki mbona sijaona Uganda au Rwanda au Burundi wanakimbilia huo mfumo.

Hiyo yote sawa, ila bado nipo pale pale kwamba majimbo sio ugatuzi. Hata sisi tulikataa kabisa mfumo wa majimbo, maana unaleta matabaka na kugawa nchi.
Kwa kweli sio kwamba hauna changamoto, maana ni kitu kipya kabisa kwetu, ni kwamba tumekua na ujasiri wa kujaribu na tumeona tukifaulu hatua nyingi sana ukilinganisha na hapo awali.

Halafu nchi majirani zetu unazozitolea mfano eti kwamba kwanini hawajaiga, kumbuka wao wote hamna hata mmoja amekua na ubavu wa kubadilisha katiba kama sisi, wote bado wameng'ang'ania katiba ya mkoloni. Tanzania pekee yake ndiye kati ya majirani zetu alithubutu kujadili katiba, lakini ikawa mkaa wa moto na mkatupa huo mjadala kuleeee....

Anyway mjadala wa ugatuzi nimeona kuna uzi mlithubutu kuujadili na wadau walitiririka kwa hekima, hivyo labda uwafuate huko na utajifunza kitu. Hii hapa link Devolved system of government may just be what tanzania needs
 
Hiyo yote sawa, ila bado nipo pale pale kwamba majimbo sio ugatuzi. Hata sisi tulikataa kabisa mfumo wa majimbo, maana unaleta matabaka na kugawa nchi.
Kwa kweli sio kwamba hauna changamoto, maana ni kitu kipya kabisa kwetu, ni kwamba tumekua na ujasiri wa kujaribu na tumeona tukifaulu hatua nyingi sana ukilinganisha na hapo awali.

Halafu nchi majirani zetu unazozitolea mfano eti kwamba kwanini hawajaiga, kumbuka wao wote hamna hata mmoja amekua na ubavu wa kubadilisha katiba kama sisi, wote bado wameng'ang'ania katiba ya mkoloni. Tanzania pekee yake ndiye kati ya majirani zetu alithubutu kujadili katiba, lakini ikawa mkaa wa moto na mkatupa huo mjadala kuleeee....

Anyway mjadala wa ugatuzi nimeona kuna uzi mlithubutu kuujadili na wadau walitiririka kwa hekima, hivyo labda uwafuate huko na utajifunza kitu. Hii hapa link Devolved system of government may just be what tanzania needs
Haha, naona umepania kuniuzia huyu mbuzi wa ugatuzi kwenye gunia.

Hili swala limekuwa na mijadala mingi huku kwetu, likishikiliwa bango na upinzani. Lakini linaishiwa nguvu pale watu wanapoukizwa ni nini kipya mfumo huu utaleta nchini kwetu? Na tutatumia kiasi gani kuuweka mfumo huu? Majibu sio yanayo ridhisha kukimbikia mfumo huu. Kwanini tuajiri wanasiasa wengi zaidi kwa gharama kubwa kuliko tunayo tumia sasa na matokeo yanaweza kuwa haya haya tulio nayo leo. Tunatumia sera ya serikali ndongo, ukileta mfumo huu, serikali haita kuwa ndongo tena. Angalia jinsi MCA wanavyo tumia hela, sisi tuna madiwani ambao gharama yao ni mdogo kulinganisha na MCA. Governors wanataka kulindwa na polisi masaa 24 na magari ya kufukuzana pia. Na hisi hata rais Kenyatta muda mwingine anapata hasira kali akimpigia simu governor Joho na kupanga mipango ya maendeleo ya Mombasa huku akijuwa wana Mombasa wanaweza kupinga makubalino hayo. Kama ingekuwa kwetu, Joho angesogezwa pembeni na kazi ikaendelea. Acha kwanza mjitose na huo mfumo labda tuta pima matokeo baadae kuona kama unafaa kuigwa au la.
 
Devolution
Tanzania needs to turn its regions into self sufficient political and economic entities so as to bring about equal development of the country. It is sad that development right now is concentrated just in Dar es Salaam. This is something we can learn from Kenya. The once extremely impoverished regions of Kenya are now thriving!
The education system
Kenya has a plan to overhaul its entire education system from the current 8-4-4 system to the 2-6-6-3 system. Sisi Tanzania tunatumia mfumo wa kikoloni wa 7-6-3. Kenya's new education will not focus much on examinations but rather on a persons aptitude through continuous assessment. We need to decide once and for all on the official language of instruction in our schools.

I surport you on education, yes we are very behind. Our education does not go with today's world. We need to improve our standard of education. Kenyans are well informed with their quality education can get quality jobs any party of the world.

On devaluation, that suits Kenya because of their tribalism, which in Tanzania does not apply. A child born in Kisumu have less opportunity of education compare to a child born in central Kenya, this is because one tribe have been in power for many years, because of corruption and tribalism, a tribe in power completely ignored other tribes and less investment on other tribe area. In Tanzania we have no tribe we are all Tanzanians, the only problem we had during previous administration is corruption, it killed our education institutation and brought inequality.

The rich with connection educated their children in private schools or in the naibouring country ignoring state schools where majority of Tanzanians depends. Corruption was killing everything in our country including educati
on. Kubadilisha education Tanzania ni mlolongo mrefu, lazima tuanzie kwa waalimu. People who completely failed on their studies are the ones chosen to join teaching college to become teachers. Other place in the world you can not join a teaching college if you did not pass English and Maths. Elimu yetu ilibadilishwa na Mwalim wakati huo akilfilia tutajitegemea na hatuitaji kwenda popote ila hapa kwetu Tanzania. Mwalim was genuine akifikiria wakati huo itakuwa sawa. Bahati mbaya dunia imebadilika, imekuwa kijiji kimoja, lazima Tanzania iende na wakati wa madiliko, bahati mbaya waliofuatia kuchukuwa madaraka, walikuwa na ubinafsi, waliyakubali mabadiliko ya siasa, lakini wakafumbia macho elimu yetu, ikazolota wakati wenyewe wakipeleka watoto wao kusoma nje ama private school, wengi tuliobaki tukaishia na kisomo cha vijiji vya ujamaa. Kilimo kwanza, badala ya education kwanza, kwani hata wakulima wanahitaji education kwa kilimo cha kisasa.
 
Hamna mtu mmoja binafsi aliyetuletea mfumo wowote, tulihusika sote kama Wakenya, tulipambana wote kama Wakenya. Huu unafiki wa kumlimbikizia sifa mtu mmoja wakati kuna hadi mashujaa wengine hadi leo wamechizi baada ya kupitia mateso ili tufikie hapa tulipo. Wapo akina Matiba ambaye hadi leo hajifahamu tena, aliteswa balaa.

Watu kama akina Orengo walishafunikwa na kusahaulika wameishia sycophancy ili wa-survive kisiasa. Mimi hapa binafsi nilikula kibano cha polisi, nilikula mabomu ya machozi barabarani nikipambana, mashujaa wapo kibao na wengi sana waliohusika katika kutufikisha hapo tulipo leo, na kuna baadhi yetu tunawatambua hata kama vyombo vya habari vimewapiga blackout na kulimbikizia sifa mtu mmoja.
Hivyo vibano na mabomu mlivipata toka kwa nani?
 
Wakenya ni viumbe wa ajabu ajabu hivi, sasa umekaa ukafikiria ukaona 'What is Good For Tanzania'
Hehehe.. If someone else, maybe from Uganda should have said this ningesema neno.
Hatuwezi kuiga mfumo wenu wa elimu uliozalisha expert thieves and tribalists. Hatuwezi iga mfumo wenu wa utawala maana hapo mpo nyuma yetu sana...
Education systems zetu zote ni hovyo tu maana they have negligible impact to society.
At least tell us tuige mfumo wa Elimu wa China au Japan, they do their vown real things from their very own education system
Sasa kwenye elimu tuige nini kwenu nyie jamaa hata chakula tu tabu?

Hapa tukiwauliza huo mfumo umeleta nini mtatuambia mmegundua Mpesa. Mambo ya kitoto kabisa haya.
 
Devolved system helps a lot. Kitambo kila kitu kilikuwa Nairobi. Maendeleo yote yalikuwa Nairobi. Baada ya ugatuzi maeneo mengine yameanza kuendelea kiuchumi. Ukienda miji Kama Thika, Nakuru, Eldoret, Kisii, Kisumu are growing very fast. Vitu kama shopping malls kubwa ambazo kitambo ungezipata Nairobi na Mombasa ziko kila mahali sasa. Ukienda Narok town, utapata mall kubwa sana. Serikali za kaunti zimesaidia. Karibu kila Kaunti ina hospitali yake kubwa siku hizi. Badala ya watu kwenda Nairobi kutafuta kazi wanabaki kaunti zao sababu sasa hivi kazi zimekuja kuwatafuta mashinani. Towns are growing very fast and have almost everything. Sasa ata small towns utapata ziko na high end real estate development na surburbs are sprouting everywhere. Sasa kuna even development in Kenya. Devolution is working
Having malls, real estate business and other private sector investments have absolutely nothing to do with the ugatuzi stuff, if am not mistaken the ugatuzi stuff is under the supervision of the government and what you are trying to emphasize here are all achievements brought by private sector.

About jobs, it's probably known that in any capitalist state the big employer is private sector so praising ugatuzi for reliable access on employment is ridiculous unless your government is socialist.

Ugatuzi stuff considering social services and social development under government control generated by the tax returns you paid.
 
Having malls, real estate business and other private sector investments have absolutely nothing to do with the ugatuzi stuff, if am not mistaken the ugatuzi stuff is under the supervision of the government and what you are trying to emphasize here are all achievements brought by private sector.

About jobs, it's probably known that in any capitalist state the big employer is private sector so praising ugatuzi for reliable access on employment is ridiculous unless your government is socialist.

Ugatuzi stuff considering social services and social development under government control generated by the tax returns you paid.
Namaanisha ugatuzi umewezesha ata private sector kukua na more developments are taking place, both private and public kwa some marginalised areas coz ya ugatuzi
 
Back
Top Bottom