Is this true for you?Nia sio tena kukujulisha that 'your cooking sucks' hapo tumeingia kwenye mafunzo ya vitendo nadharia imeshaachwa nyuma.
The smart ones always insist on knowing more.It is simple,actions speak louder than words.Bilashaka ukiona jinsi ninavyo-enjoy hiko chakula cha hapo pahala ukilinganisha na ninavyokula cha kwako ili kuganga njaa tu,utajitahidi kunifurahisha kama kweli unanijali.
The way to a man's heart is through his stomach.
Is this true for you?
Well noted! lolYes i believe what i eat is what i am,kwa hiyo niko makini sana kile ninachokula hasa nataka kiwe kitamu and healthy too.
Nia sio tena kukujulisha that 'your cooking sucks' hapo tumeingia kwenye mafunzo ya vitendo nadharia imeshaachwa nyuma.
The smart ones always insist on knowing more.It is simple,actions speak louder than words.Bilashaka ukiona jinsi ninavyo-enjoy hiko chakula cha hapo pahala ukilinganisha na ninavyokula cha kwako ili kuganga njaa tu,utajitahidi kunifurahisha kama kweli unanijali.
The way to a man's heart is through his stomach.
NB: Not all men have this tendency or habit....
What's stopping them?
Men are from Mars!
Dont u ever forget that...
Lolz
Sasa hicho chake unakulaje "kuganga njaa"?Kuna namna yoyote au style maalum?Na kama kumwambia huwezi kwa woga wa kumwumiza hiyo namna ndio haitomuumiza?
Badala ya kufanya kitu cha kawaida kuelewa kichukue muda kwa kutumia mafumbo just be open. Mwambie mi mboga za majani siwendi zitiwe maji mengi, au sipendi zikaangwe,mchuzi sipendi uwe kama maji ya kunawia mikono mtu atakusoma na atatafuta namna nyingine. Na sijui akiumia, well she'll get over it. Uncle wangu alimwambiaga mke wake wazi kabisa kwamba "mpenzi unaniabisha" maana alipika ndizi kajaza maji utadhani kahamishia mto jikoni wakati wa upenzi hata sio uchumba wao. Sasa hivi wako ndani ya ndoa na wana furaha. Kwahiyo hao unaowaita 'smart' labda kama sio WAELEWA nna uhakika wanaweza wakakulewa ukiwaambia maana wakati mwingine watu hukazana kufanya kitu kwa kudhani we unafurahia kwabsababu hujasema otherwise na sio hujaonyesha otherwise.
Mfano wa 'kuganga njaa' ni kubakisha chakula mara kwa mara wakati nikienda nae kwenye mgahawa,family friends au relatives wanaopika vizuri nasafisha sahani.
Ukiangalia maelezo yangu mwanzoni nilisema uvumilivu una mipaka yake.Hilo somo lako nimelielewa sana kuna umuhimu wa kuomba kupata aliye smart na pia understanding.Hiyo concept ya kuwa na mawasiliano mazuri(being open) na kumuelewesha vile vitu desirable pia uko sahihi.
And i noticed one more thing the way you argue inaonyesha wewe ni wale wenye strong character kwa hiyo hata kukueleza moja kwa moja ingekuwa rahisi zaidi.
Thank you.
Sasa hicho chake unakulaje "kuganga njaa"?Kuna namna yoyote au style maalum?Na kama kumwambia huwezi kwa woga wa kumwumiza hiyo namna ndio haitomuumiza?
Badala ya kufanya kitu cha kawaida kuelewa kichukue muda kwa kutumia mafumbo just be open. Mwambie mi mboga za majani siwendi zitiwe maji mengi, au sipendi zikaangwe,mchuzi sipendi uwe kama maji ya kunawia mikono mtu atakusoma na atatafuta namna nyingine. Na sijui akiumia, well she'll get over it. Uncle wangu alimwambiaga mke wake wazi kabisa kwamba "mpenzi unaniabisha" maana alipika ndizi kajaza maji utadhani kahamishia mto jikoni wakati wa upenzi hata sio uchumba wao. Sasa hivi wako ndani ya ndoa na wana furaha. Kwahiyo hao unaowaita 'smart' labda kama sio WAELEWA nna uhakika wanaweza wakakulewa ukiwaambia maana wakati mwingine watu hukazana kufanya kitu kwa kudhani we unafurahia kwabsababu hujasema otherwise na sio hujaonyesha otherwise.
Kweli kabisa.
Ni vyema kumwambia mke ukweli hata kama utakua ukweli mchungu. Na hiyo ndiyo njia nzuri ya kumfundisha na kumfanya azingatie na kuyafahamu yale husiyoyapenda.
Mimi uwa sina maneno ya kuzunguka msituni kwenye jambo ambalo sijalipenda. Kama chakula kina mafuta mengi,chumvi nyingi n.k. namwambia.
Hii haiishii kwenye masuala ya chakula tu,bali kwenye kila kitu,ukweli mbele daima.
Kuficha ukweli ni sawa na kuficha ugonjwa. Mwishowe kutoka nje kwa wanaofahamu kupika n.k. kutajitokeza na kuweza kuvuruga ndoa.
Pamoja kabisa. . . muhimu ni lugha utakayoitumia na sio ujumbe utakaofikisha. Watu wengi hua wanaropoka tu bila kuzingatia mazingira waliyopo (wageni, watu wengi) na mood ya mhusika ndio maana wanaona kwamba watu hawawezi kukosolewa/rekebishwa moja kwa moja na wakaelewa bila matatizo.
Hahahaha eti mwalimu.Exactly. Mazingara wakati wa kuambiana ni muhimu. Kwani yana uzito mkubwa sana katika namna ujumbe utakavyopokelewa na mwenzako.
Asante mwalimu.
Simple Lizzy, Every woman is not Lizzy, get that into your head before thinking that everyone will be ok with the methodology you are suggesting here.Sasa hicho chake unakulaje "kuganga njaa"?Kuna namna yoyote au style maalum?Na kama kumwambia huwezi kwa woga wa kumwumiza hiyo namna ndio haitomuumiza?
Badala ya kufanya kitu cha kawaida kuelewa kichukue muda kwa kutumia mafumbo just be open. Mwambie mi mboga za majani siwendi zitiwe maji mengi, au sipendi zikaangwe,mchuzi sipendi uwe kama maji ya kunawia mikono mtu atakusoma na atatafuta namna nyingine. Na sijui akiumia, well she'll get over it. Uncle wangu alimwambiaga mke wake wazi kabisa kwamba "mpenzi unaniabisha" maana alipika ndizi kajaza maji utadhani kahamishia mto jikoni wakati wa upenzi hata sio uchumba wao. Sasa hivi wako ndani ya ndoa na wana furaha. Kwahiyo hao unaowaita 'smart' labda kama sio WAELEWA nna uhakika wanaweza wakakulewa ukiwaambia maana wakati mwingine watu hukazana kufanya kitu kwa kudhani we unafurahia kwabsababu hujasema otherwise na sio hujaonyesha otherwise.
jamani.,lizzy alivoiamulia hii thread!kakaba hadi penati..you go girl!lolz
Simple Lizzy, Every woman is not Lizzy, get that into your head before thinking that everyone will be ok with the methodology you are suggesting here.
Alikuwa anaunga hadi na nazi....
Ilichukua muda mrefu,siku moja kuna mahali tuliwatembelea watu.. Tukashinda huko..
Walipika mboga mbalimbali..
Tuliporudi home,tukaanza kuongelea ile visit kwa ujumla... Mi ndiyo nikapata kuchomekea kuwa nilipenda mapishi yao ya mboga za majani...
Yeye akaponda,na kusema ni mojawapo ya aina ya mapishi ya mboga za majani asiyoipenda..nikamwacha tusigombane...