wewe huoni raha leo Mama anakuja kulegeza?Raisi wa Tanzania kwa wakenya ni kama raisi wa U.S.A kwa bara la afrika..so good
Eti Monica Juma, huyo hapo ni Rachel Omamo kando yake Amina Mohammed.Waziri wa Mambo ya nje pia! Monica Juma!
Can you notice the difference?Waziri wa Mambo ya nje pia! Monica Juma!
Mimi nitajuaje matupinkele yenyu cabinet secretary wa nn?Eti Monica Juma, huyo hapo ni Rachel Omamo kando yake Amina Mohammed.
Uzuri ni kwamba,raisi wa Tanzania ni raisi wa Kenya pia..kwa hiyo ni kheri akilegezawewe huoni raha leo Mama anakuja kulegeza?
Ila unawajua kina Sonko, Murkomen hadi na watu ovyo kama kina Waititu.Mimi nitajuaje matupinkele yenyu cabinet secretary wa nn?
It doesn't matter,kwani nani aliyemualika mwenzie!?..Amekaribishwa na waziri wa michezo. Does that ring a bell to you?
wewe humjui El Chapo ila US current secretary of state unamjua?Ila unawajua kina Sonko, Murkomen hadi na watu ovyo kama kina Waititu.
Hata hamuoni aibu kuwa rais wenu anakaribishwa na waziri wa michezo?ππIt doesn't matter,kwani nani aliyemualika mwenzie!?..
Unanijua au umeiona pasipoti yangu ndio useme sijatembea? [emoji1] Eti we, are always stick on context, utumbo mtupu. Acha kuwazingua watu mzee, hujatia mguu wako hata siku moja nje ya Tandale.
Aibu ya nini sasa?!!?..kwanza mi hapa nina m-mind kichizi yan simuelewi harakati zake yan anakuja anatoka bado hajaniingia akilini mwanguHata hamuoni aibu kuwa rais wenu anakaribishwa na waziri wa michezo?ππ
Hata hamuoni aibu kuwa rais wenu anakaribishwa na waziri wa michezo?ππ
Mnaotembea hadi wapi, Morogoro? [emoji1] Mtu awaye yote ndio nini sasa, hata kiswahili pia kinakukanganya? Tumia kisukuma basi. Watu ambao tumetembea kweli huwa hatusemi kila siku na kwenye kila sentensi kwamba tumetembea.Unatuletea mambo ya Kajiado hapa. Hamna mtu aliyekuuliza passport hapa. Akili na maneno yako yanaonesha ukitembea sana umeenda juba, sirari au namanga.
Kwa taarifa yako, usirudie kuhoji kiingereza cha mtu awaye yote, tunachongalia ni ujumbe kama umefika. tunaotembea huwa hatuoni ni issue hiyo.
Protocal my foot, Uhuru venye alikuja Tanzania alikaribishwa na Magufuli na sio waziri wa michezo.Kaa chini, hujui protokali.
Huyu jamaa ni mpumbavu, kulikuwa na errors ambazo nimesahihisha! Sasa namuomba more corrections anaendelea kuhara!
Anakuondoa kwenye reli mzee, ajibu hoja tu, viingereza ni vya Waingereza, hatushindanii Kiingereza hapa.Huyu jamaa ni mpumbavu, kulikuwa na errors ambazo nimesahihisha! Sasa namuomba more corrections anaendelea kuhara!
subiri sasa uone jinsi tutakavyo ingia kwa kishindo.... tutahakikisha tumetikisa wavu kila konaUzuri ni kwamba,raisi wa Tanzania ni raisi wa Kenya pia..kwa hiyo ni kheri akilegeza
Ingekuwa Ni Museveni angekaribishwa na Uhuru mwenyeweWaziri wa Mambo ya nje pia! Monica Juma!