Think Tank ya taifa letu ndiyo akina Nape?

Think Tank ya taifa letu ndiyo akina Nape?

Boss la DP World

JF-Expert Member
Joined
Dec 12, 2021
Posts
2,318
Reaction score
8,464
Naombeni kujua kama aina hii ya watu ndiyo tunao wategemea kama taifa kufikiri kuhusiana na kesho yetu. Mtu ambaye ameshindwa kutatua changamoto ndogo ndogo za wananchi katika jimbo lake anawezaje kuwa na solution sahihi kwa taifa?

Mtu mwenye viashiria vya unafiki uliotukuka anawezaje kuaminika? January Makamba ni bora mara 100 ya Nape japo nayeye anatumia uwezo wake wa kufikiri kutuibia na kutudanganya + kufanya maamuzi ya hovyo na matukio ya kijinga ila akiamua kubadilika yeye ana akili nyingi.

Sasa endapo mataifa ya wenzetu yanapiga hatua kwa kuwa na watu smart, sisi tutapigaje hatua kwa kuongozwa na watu kama nape wasioweza kufikiri hata solutions ndogo ndogo zinazoweza kusaidia wananchi wao?

Tunawezaje kupiga hatua ikiwa watu wenye akili wanatumia akili zao kulamba asali na baba zao?
 
Nafikiri hapa ungetumia neno "NAFASI" ndipo lingekuwa zuri kiasi kuliko kutumia we ye akili.

Sisi sote tuna akili na hata wengi wetu yawezekana wana uelewa au elimu zaidi ya hao ila kwa sababu hatuko au hawako kwenye nafasi ya kufanya hivyo ndiyo maana unaona Mambo yanaenda hivyo.

Ebu fikiria watu ambao wamejaribu eti kutuelimisha tufahamu mkataba unavyosema wakati hata yeye yawezekana kaandikiwa yakutwambia, wakimpa ulivyo kama ulivyo hajuhi chochote,. Hivyo hapa ni nafasi walizo nazo siyo akili.
 
Back
Top Bottom