Mkuu badili avatar.Why.?
Iache utaelewa kwanini..😎Kwanini mkuu.?
Nikaushauri tu.Ushanichanganya
Aisee, sikujua hilo. Mtoto safiii unakula vizuri kabisa.Hi..
Kwa wahenga natumai mmeitizama muvi hii. Sterling Donie Yen
View attachment 1492666
Kuna dogo fulani yupo humu ni noma sana kwenye masho ratiii (In Dj Afro voice).
Hako kadogo jina lake halisi ni Angie Tseng, kwenye muvi kacheza uhusika wa kiume kama mtoto wa Donie ila kiuhalisia ni Wa kike huyu mtoto. Sasa hivi kaolewa na niafisa polisi huko Hong Kong. Kafuzu mapigano pendwa ya Jet Lee, WuShu
Je, ulijua lini kua si wakiume?
View attachment 1492668
View attachment 1492670
View attachment 1492672
View attachment 1492673
View attachment 1492674
View attachment 1492680
Kwa sababu huyo Michael ni gay.Kwanini mkuu.?
Maan ana tembeza kichapo heavy lol.Why.?
Ukisema personality umejulisha na tabia yake ambayo ni gay.Wabongo hamna dogo.. mm nimemuweka avatar kama mtu nayependa personalty yake na sio Status yake
Jomoneeeeeh dea yaan hyo avatar ndo wamfate Pm? Bas wana shda kubwa aaaaaahUkisema personality umejulisha na tabia yake ambayo ni gay.
Personality ni character.
Ndo hivo mabaharia wa humu hawachelewi pm wakakujumlisha kwenye ile LGBTQIA
Mkuu badili avatar.
Hakuna mkate mgumu mbele ya chai jombaa. Tatizo litakupata pale tu ukiwa mlenda kwenye 6x6 au chama kimiaaaUkioa wa hivi jiandae kula vibano!
Akikosa pa kupinga we ndo unakuwa punching bag..😅
Michael Scofield siyo Gay kama mnavyoaminishwa ule ulikuwa ni mpango tu...jamaa shavuta mpunga wake saafi kabisa...Kwa sababu huyo Michael ni gay.
Si unatujua tena wanajf.