This He, He is a She

This He, He is a She

Da'Vinci

JF-Expert Member
Joined
Dec 1, 2016
Posts
35,812
Reaction score
107,628
Hi..
Kwa wahenga natumai mmeitizama muvi hii. Sterling Donie Yen

iron_monkey_ocard_300dpi_v1_39143716790_o.jpg

Kuna dogo fulani yupo humu ni noma sana kwenye masho ratiii (In Dj Afro voice).

Hako kadogo jina lake halisi ni Angie Tseng, kwenye muvi kacheza uhusika wa kiume kama mtoto wa Donie ila kiuhalisia ni Wa kike huyu mtoto. Sasa hivi kaolewa na niafisa polisi huko Hong Kong. Kafuzu mapigano pendwa ya Jet Lee, WuShu
Je, ulijua lini kua si wakiume?

IronMonkey-AngieTzeMan_4af8e6a613cdf926a3c8e84232dbc8b8.jpg


gh393-iron-monkey-s08_27026428598_o.jpg


MV5BMTkxMTIxMDQ5Nl5BMl5BanBnXkFtZTYwOTM4OTI3._V1_SX600_.jpg


ironmonkey_grab17_40212610934_o.jpg


AngieTzeMan_a6c4dd44ba86a8719649597ef7e5a7ce.jpg


gettyimages-1124954434-2048x2048.jpg
 
Hi..
Kwa wahenga natumai mmeitizama muvi hii. Sterling Donie Yen

View attachment 1492666
Kuna dogo fulani yupo humu ni noma sana kwenye masho ratiii (In Dj Afro voice).

Hako kadogo jina lake halisi ni Angie Tseng, kwenye muvi kacheza uhusika wa kiume kama mtoto wa Donie ila kiuhalisia ni Wa kike huyu mtoto. Sasa hivi kaolewa na niafisa polisi huko Hong Kong. Kafuzu mapigano pendwa ya Jet Lee, WuShu
Je, ulijua lini kua si wakiume?

View attachment 1492668

View attachment 1492670

View attachment 1492672

View attachment 1492673

View attachment 1492674

View attachment 1492680
Aisee, sikujua hilo. Mtoto safiii unakula vizuri kabisa.
 
Hata yule wa kwenye movie ya Hatya (yata) staring Govinda ni ke ila mule aliigiza km me
 
Ukisema personality umejulisha na tabia yake ambayo ni gay.
Personality ni character.

Ndo hivo mabaharia wa humu hawachelewi pm wakakujumlisha kwenye ile LGBTQIA
Jomoneeeeeh dea yaan hyo avatar ndo wamfate Pm? Bas wana shda kubwa aaaaaah
 
  • Thanks
Reactions: amu
Ukioa wa hivi jiandae kula vibano!
Akikosa pa kupinga we ndo unakuwa punching bag..😅
Hakuna mkate mgumu mbele ya chai jombaa. Tatizo litakupata pale tu ukiwa mlenda kwenye 6x6 au chama kimiaaa
 
Na ile ya GOD MUST BE CRAZY, kuna vitoto viwili viliingia kwenye gari la majangili. Yule mdogo ni wa kike, ila wengi wanadhani ni wa kiume.
 
Back
Top Bottom