Moyo wa mtu ni kiza kinene sana na kuna baadhi ni mabingwa wa kuficha uhalisia waoHivi imekuwaje mchungaji huyu niliyekuwa namheshimu kwa mafundisho yake ya Neno la Mungu kageuka ghafla na kujiunga na kambi ya shetani kushambulia watu wa Mungu?
Inakuwaje mchungaji Gwajima anaamua kutenda dhambi ya uongo na unafiki waziwazi kwa jina la siasa za kutaka ubunge tu?
Itawezekanaje maji kwenye baadhi ya maeneo ya jimbo lilelile alete huyo anayemwita "mheshimiwa Rais" na maeneo ya jimbo lilelile yasiyo na maji liwe ni tatizo la Mh. Mbunge Halima Mdee?
Anajua asemacho kweli huyu mchungaji ama ameshapigwa upofu ktk fikra zake za kiroho na aliyeamua kumtumikia - shetani?
I am very disappointed with Mr Gwajima..!
Nasikia usukumani bange ni kama sigara ya kawaidaGWAJIBOY AKIMKARIBISHA JPM: Mheshimiwa Rais karibu sana jimbo la Kawe. Watu wa Kawe wamekusanyika hapa kwa wingi kukupongeza kwa kazi kubwa uliyowafanyia. Kwa miaka mitano ya uongozi wako umetatua kero ya muda mrefu ya maji maeneo mengi ya jimbo letu.
Umepeleka umeme kata nyingi, umejenga vyumba vya madarasa kwenye kata karibu zote, umetanua barabara ya Bagamoyo kutoka Morocco hadi Mwenge ili kupunguza msongamano, umejenga barabara nyingi za mitaa kwa kiwango cha lami na zinapitika muda wote. Mheshimiwa Rais tunakushukuru sana.
GWAJIBOY AKIMZUNGUMZIA MDEE: Mheshimiwa Rais jimbo hili ni kama halina Mbunge. Kwa miaka mitano ya viti maalumu na 10 ya ubunge huyu mama hajali shida za wananchi kabisa. Maeneo mengi ya jimbo letu yana shida ya maji. Kata ya Mabwepande, Madale na Goba maji yanatoka mara moja tu kwa wiki na wakati mwingine hadi wiki mbili hayatoki.
Baadhi ya maeneo mtandao wa umeme haujafika kama kule Kisauke na Mbopo. Maeneo ya Mabwepande kuna uhaba wa vyumba vya madarasa watoto wanasongamana darasani na wengine wanakaa chini. Barabara nyingi za mitaa hazijakarabatiwa na hazipitiki. Mbunge yupo tu hakuna anachofanya. Kazi yake ni kuchochea migomo na kutoka bungeni.
Wanamuonea Mh Mdee. Kasema sana bungeniHaeleweki, kata zenye maji yameletwa na JPM ila ukosefu wa maji ni Mdee.
Huyu ameshachanganyikiwa, laana ya kumtukana Cardinal Pengo, laana ya kukashifu dini za wengine, laana ya kujitafunia kondoo aliostahili kuwachunga na laana ya kuvunja ndoa ya Imma kamwe haziwezi kumuacha salama.
Kuna Waziri alishauriwa na bosi wake avute bangi ya Njombe lakini kwa siri ili awe mkali kidogo. Hatari sanaNasikia usukumani bange ni kama sigara ya kawaida
Mm ninaamini hata Mungu alikuwa akiwaagiza mitume wake nendeni sehemu fulani badaye anabadilisha Maaamuzi na kusema usiende maana si salama kwako.nafikiri Bishop Gwajima ameoteshwa ni wakati wake sasa kuwatumikia Wana Kawe ili wafikishe kwenye Nchi ya Asali na Maziwa.Mkuu pamoja na kumpima baada ya miaka mitano hii kauli yake unaichukuliaje?!
Mtu makini anaweza kujichanganya kiasi hicho?!
Hilo nalo linalozungumza kwenye iyo video ni linafikiri bobezi na mtambo wa umbea ambao chama kiovu CCM kuwahi kumpataKiukweli Askofu Gwajima hapati kitu Kawe. Mzee Makamba mbona keshamaliza kaziπ€£
Hii comment ni ya kwako au kuna watu wameteka account yako?Nitampima 'Mbunge' wangu mtarajiwa Gwajima baada ya miaka yake Mitano na kuhusu 'Mapungufu' yake ya Kibinadamu hata Sisi pia tunayo sana.
π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£ kibwagizo cha mwisho ndio ninakipenda.Kiukweli Askofu Gwajima hapati kitu Kawe. Mzee Makamba mbona keshamaliza kazi
π²π²π²π²π²π²π² Kashindwa kumteketeza dada Mange na dua zake za uchumia tumbo...... Dua la kuku halimpati mwewe.Kumbe Gwaji boy hayuko peke yakE[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]View attachment 1602021
Raha sana, huyu mtu eti ni ASKOFU wa dhehebu la dini na ana PhD ya kusoma.Haeleweki, kata zenye maji yameletwa na JPM ila ukosefu wa maji ni Mdee.
Hili mbwiga kiboko yake ni Mange Kimambi tu alimpiga spana za kutosha sanaKumbe Gwaji boy hayuko peke yakE[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]View attachment 1602021
Sasa hapa tuseme rangi Haina chama,hivyo tumkatae mtu mwenye rangi mbili.GWAJIBOY AKIMKARIBISHA JPM: Mheshimiwa Rais karibu sana jimbo la Kawe. Watu wa Kawe wamekusanyika hapa kwa wingi kukupongeza kwa kazi kubwa uliyowafanyia. Kwa miaka mitano ya uongozi wako umetatua kero ya muda mrefu ya maji maeneo mengi ya jimbo letu.
Umepeleka umeme kata nyingi, umejenga vyumba vya madarasa kwenye kata karibu zote, umetanua barabara ya Bagamoyo kutoka Morocco hadi Mwenge ili kupunguza msongamano, umejenga barabara nyingi za mitaa kwa kiwango cha lami na zinapitika muda wote. Mheshimiwa Rais tunakushukuru sana.
GWAJIBOY AKIMZUNGUMZIA MDEE: Mheshimiwa Rais jimbo hili ni kama halina Mbunge. Kwa miaka mitano ya viti maalumu na 10 ya ubunge huyu mama hajali shida za wananchi kabisa. Maeneo mengi ya jimbo letu yana shida ya maji. Kata ya Mabwepande, Madale na Goba maji yanatoka mara moja tu kwa wiki na wakati mwingine hadi wiki mbili hayatoki.
Baadhi ya maeneo mtandao wa umeme haujafika kama kule Kisauke na Mbopo. Maeneo ya Mabwepande kuna uhaba wa vyumba vya madarasa watoto wanasongamana darasani na wengine wanakaa chini. Barabara nyingi za mitaa hazijakarabatiwa na hazipitiki. Mbunge yupo tu hakuna anachofanya. Kazi yake ni kuchochea migomo na kutoka bungeni.
Kuna 'Mpumbavu' anaweza 'Kudukua' hii 'Akaunti' yangu? Tatizo lenu wengi Wenu mmejaa 'Unafiki' na mkiambiwa tu 'Ukweli' mnakimbilia Kununa.Hii comment ni ya kwako au kuna watu wameteka account yako?
Sent from my vivo 1904 using JamiiForums mobile app