Uchaguzi 2020 This is Bishop Gwajima in his true colours

Tukisema huyu jamaa ni kama ile mijitu anayoifufuaga msibishe. Ukikaa jirani na waridi utanukia waridi. Ukikaa jirani na misukule na wewe unakuwa hivyohivyo
 
Utakuwa na wivu tu kwasababu ni mwanafamilia, una kile kiroho cha korosho!.

Akishinda tena usage chupa uchanganye kwenye juice baridi unywe.

Halaf atangulie mbele ya haki fasta asimuone HJM akiendelea kuwawalilisha wanaKawe na kulitetea Taifa!
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]hivi hapo shida ni yeye au ni kuwa CCM?
 
Hivyo huyu askofu gwajima kwenye yale mauno na kondoo wake, walitoka patupu kweli?! Hakumpa mimba!!! Maana si kwa mauno yale!!!!! Hongera Baba Askofu, kipaji unacho.
 
Hivyo huyu askofu gwajima kwenye yale mauno na kondoo wake, walitoka patupu kweli?! Hakumpa mimba!!! Maana si kwa mauno yale!!!!! Hongera Baba Askofu, kipaji unacho.
Askofu fundi wa pilau[emoji1787]
 
Kumpa Halima kura ni kupalilia Udikteta.

Jamani kumi haitoshi kutoa mchango wako kwa Taifa.

Ni muda mrefu sana kisiasa, sio vibaya akaachia wengine nafasi.
 
Gwajima ni HATARI SANA kwa Taifa hili.
Ana mdomo mchafu sana huyu jamaa, mkabila na mdini

CCM imenishangaza sana kumteua hili dudu mtu

Wana Kawe naombeni mumpige chini huyu dunye, WANA CCM wenzangu naombeni sana hii nafasi tuipoteze tu maana ni aibu kuwa na muwakilishi wenye hulka ya ubaguzi wa kikabila na kidini
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…