This is enough, shule zifunguliwe tu

Shida ya hawa .com wanataka wavae jeans chini ya makalio, naamini 2021 watazivaa chini ya magoti.
Shida ya vijana hawajui kutofautisha fashion na smartness
 
Blaza huwezi kumpa adhabu mtoto wako mpaka umywee K VANT?,utakua baba legelege,samahani lakini
 
Mmmmmmm
Mmmmmmmhhhhhh
 
πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] uzee unakusumbua, hebu muache mwenzio afurahie wakat wake
 
Kwa hiyo mkuu unataka dogo aishi kwa kupretend na woga[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
 
Kila kitu kina muda wake mkuu.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] uzee unakusumbua, hebu muache mwenzio afurahie wakat wake
Hata kama ndio ujana, mimi kwangu sitaki kuona suruali zilizo chanwa kwenye magoti na hizo nyele zenu zenye mnanyoa kama bodaboda anasikiliza singeli...[emoji2955][emoji52]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…