This is enough, shule zifunguliwe tu

Hata kama ndio ujana, mimi kwangu sitaki kuona suruali zilizo chanwa kwenye magoti na hizo nyele zenu zenye mnanyoa kama bodaboda anasikiliza singeli...[emoji2955][emoji52]
Zama zimebadilika kwan hujui hilo? Uwiiiiiiiiiiih mnatukosesha cha kusimulia baadae tukiwa wazee, kila mtu ashinde match zake.
 
Zama zimebadilika kwan hujui hilo? Uwiiiiiiiiiiih mnatukosesha cha kusimulia baadae tukiwa wazee, kila mtu ashinde match zake.
Nasema hivi....
Hayo mabadiliko ya zama asubirie akukuwa akahangaike nayo huko nyumbani kwake
 
Nasema hivi....
Hayo mabadiliko ya zama asubirie akukuwa akahangaike nayo huko nyumbani kwake
"Sio vizuri bhabha," kwa saut ya mdada wa tangazo la tigo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kaka yangu ndo alikuwa balaa

Kwanza alikuwa na miche ya ganja chumbani kwake,anaihudumia fresh kama greenhouse vile

Sasa mzee akawa anamsumbua kwamba aache kunyoa kihuni nyumbani kwake na mambo menginemengine ya kihuni.

Aisee,siku moja uvumilivu ukamshinda akamwambia mzee

"Mbona baba hata wewe,wakati wa ujana wako kwenye picha nimeona umenyoa panki??"

Mzee akamnyooshea mikono akamwambia ngoja ukue na wewe.

Siku hizi ananipigia simu ananiambia watoto wake wanamsumbua,ukimuuliza shida nini,

Eti wana mambo ya kihuni,

Mi nachekaga namwambia tu awaache maana huo ndo muda wao kama yeye alivyokuwa kwa mzeeπŸ˜†πŸ˜†
 
Sawa mkuu, Asante kwa ushauri
 
Tayari jana nimesha mpeleka shule, na leo jioni ninampango nikaikague sim yake. Sababu kuna jina nimeona amesave Nikikupea utawezana...
Mamba hazai kenge[emoji23][emoji23][emoji124][emoji124]
 
[emoji102][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji69][emoji69][emoji69][emoji69]Dingii mnoko**
 
[emoji102][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji69][emoji69][emoji69][emoji69]Dingii mnoko**
Samahani mkuu, hii ni jina ya mkoa gani...!!??[emoji848][emoji848]
 
Mamba hazai kenge[emoji23][emoji23][emoji124][emoji124]
Hapana mkuu, mimi Ni mseminari ambae sikufanikiwa kupakwa mafuta kwasababu nilitoroka kwenda sehem [emoji482] fulani...[emoji481]
 
This time nimeamua sinto mpa sim..
Nitahakikisha anasaidia kazi za nyumbani kama kufua, kufyeka/kata miba ya fance, kupalilia majani marefu kule nyuma na kisha jioni ndipo jioni aende kwenye mazoezi ya mpara wa kikapu ule kama maiko jorodani...[emoji41][emoji41]
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚daah nimechekaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…