MwanajamiiOne
Platinum Member
- Jul 24, 2008
- 10,470
- 6,580
- Thread starter
-
- #81
samahani kwa kuwarudisha nyuma mh kuna ubeti umenigusa hapa eti\
........Siri iko, siri iko kwa Manaani, sio hapa , sio hapo dunianii
siwafichi, siwafichi abadani, siri yangu X 2 siri yangu ya moyoni X 2
La kwanza ni mkarimu, akiwa na mimi ndani
tena hapendi kunidhuliumu, ananienzi kwa hisani
Na pia ni msikiu akiwa na mimi ndani,
hapendi kunidhulumu, ananienzi kwa hisani
Tena amejaliwa hakuna mithili yake, walahi anaelewa ni wapi anishike
Walahi ninalelewa ni wapi anishike
Eti na mimi ninamshika natumia wangu uzoefu.................duh I wish
Kipipi...... I believe in playing my part...........nitamwimbia yote ili mradi ujumbe ufike. Akiamua kufungua masikio yakentashukuru akiamua kuyafunga sitoregret mradi nilijaribu!Leo Mj1 wewe..........!!! Kuna watu wapo lucky bana asikwambie mtu. Mi naomba ufanye vice versa ili mwenzako nae akuimbie hayo mashairi!!
kipipi hivi ulishawahi jiuliza kwanini mapenzi kitu cha ajabu sana au ni sie huwa haturidhiki na tulichonacho nimekumbuka MTM na wimbo wake
Kipipi.....We acha tu dear, na ndio maana mpaka leo watu pamoja na kupenda/kupendwa/kupendana lakini bado wanajiuliza mapenzi ni nini?? Utapata raha zote duniani ila ya mapenzi ndo mwisho reli na ndo hapo unapomuona Mj1 anaamua kuimba utadhani kauona ufalme wa mbingu!! Hahahahaaaa lol!!
Kipipi...... I believe in playing my part...........nitamwimbia yote ili mradi ujumbe ufike. Akiamua kufungua masikio yakentashukuru akiamua kuyafunga sitoregret mradi nilijaribu!
Hahah Kipipi laiti ungejua jinsi my heart ulivyo empty................. hii yote ni out of vi=oid my dia......Mapenzi!! Nakubali they were meant for others not me. Kama ni mbingu nitaisikia katika simulizi tuWe acha tu dear, na ndio maana mpaka leo watu pamoja na kupenda/kupendwa/kupendana lakini bado wanajiuliza mapenzi ni nini?? Utapata raha zote duniani ila ya mapenzi ndo mwisho reli na ndo hapo unapomuona Mj1 anaamua kuimba utadhani kauona ufalme wa mbingu!! Hahahahaaaa lol!!
Kipipi.....
...........cousin, hahahaaaaaaaaaaaaaaa!!! naona tartiiiiiiiiiiiiiiibu unajongea madhabahuniKipipi.....
Hahahahaha!!! Lol Cousin mimi nakulaumu sana aisee ule wimbo wako wa jana hautaki kunitoka kichwani umeishakuwa kama national anthem sielewi ni kwani damn...lol!!!...........cousin, hahahaaaaaaaaaaaaaaa!!! naona tartiiiiiiiiiiiiiiibu unajongea madhabahuni
hahahahahaaaaaaaaaaaaaaaaa
Hahah Kipipi laiti ungejua jinsi my heart ulivyo empty................. hii yote ni out of vi=oid my dia......Mapenzi!! Nakubali they were meant for others not me. Kama ni mbingu nitaisikia katika simulizi tu
Hahahahaha!!! Lol Cousin mimi nakulaumu sana aisee ule wimbo wako wa jana hautaki kunitoka kichwani umeishakuwa kama national anthem sielewi ni kwani damn...lol!!!
Hahah Kipipi laiti ungejua jinsi my heart ulivyo empty................. hii yote ni out of vi=oid my dia......Mapenzi!! Nakubali they were meant for others not me. Kama ni mbingu nitaisikia katika simulizi tu
We acha tu dear, na ndio maana mpaka leo watu pamoja na kupenda/kupendwa/kupendana lakini bado wanajiuliza mapenzi ni nini?? Utapata raha zote duniani ila ya mapenzi ndo mwisho reli na ndo hapo unapomuona Mj1 anaamua kuimba utadhani kauona ufalme wa mbingu!! Hahahahaaaa lol!!
I just wish Kipipi, I just wish...................... usintoe machozi tafadhali.wewe??? Even the loners don't have that empty heart, hahahaaaa! If u have got that package of yours, then how could u say "love was not meant for u"???
Aisee!!! Umenifanya from nowhere nitafute album yake ni-download from the netits one of the song which sailed me through in the past, i took it positively and i am grateful for that!!!
keep on Dancing...I just wish Kipipi, I just wish...................... usintoe machozi tafadhali.
ana ngoma kule inaitwa i am not supposed to love you anymore.... master piece na nyingine inasema trees of heart... hiyo haina mfano maana jamaa walianza penzi wakiwa watoto hadi wanafika uzee... superAisee!!! Umenifanya from nowhere nitafute album yake ni-download from the net