This is not a suicide note

Duh,wakati wengine tuna ndoto ya kumiliki mademu mkali,majumba makubwa makubwa ya kifahari,magari ,pesa nyingiii...we unandoto ya kufa?kweli dunia uwanja wa fujo ila una matatizo ya akili,wahi hospitali..wakifeli unahitaji maombezi



Umeona eh mkuu..watu tunawaza kumilikiwa na "maskthi pack "huko!full kubebwa😎!
 


To speak is the best way of healing!...utapona
 
kuna moment nilikuwa natamani tu kufa yaani nakaa nawaza tu kifo,ghafla nikajikuta naogopa..yaani sasa hivi naogopa hata kukitaja hicho kifo


Mie niliwah pitia moment niondoke mazima ..sasq akili ikaanza jifunza naondokaje nisiache alama yaan wasijue niko wapi .means nitimkie hata mipori ya amazon huko dadek nikaliwe na simba wa nchi za nje😅!..nikaanza kujitibu mwenyewe nikaitafta furaha mwenyeweee
 
To speak is the best way of healing!...utapona
Man I talk.I interact,I love life but I am curious about death.Sidhani kama ninaumwa though nashangaa kwa nini nimekuwa na interest ya kufa tena kwa ajili ya kuona kilichoko on other side
 
I used to watch and read but kwa kweli the way najisikia ni kama vile kuna kitu kiko upande wa pili nataka kwenda kukiona.
How do you think you will be able to testify what you have experienced out there? Sasa ukishaenda kukiona utarudi kuja kutusimulia?!
 
How do you think you will be able to testify what you have experienced out there? Sasa ukishaenda kukiona utarudi kuja kutusimulia?!
It is not abut testifying,it is abut experiencing
 
hahahaa kumbe hii moment tunapitia wengi..
kuna siku nimeandika ujumbe kabisa ..Nikaanza kugoogle mapori hatari,
muda Huo akanipigia best yangu ananielezea matatizo yake nikajiona kwamba nipo kwenye winning situation.. and I get back to life
 
hahahaa kumbe hii moment tunapitia wengi..
kuna siku nimeandika ujumbe kabisa ..Nikaanza kugoogle mapori hatari,
muda Huo akanipigia best yangu ananielezea matatizo yake nikajiona kwamba nipo kwenye winning situation.. and I get back to life
Yaan balaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…