Wangari Maathai
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 34,962
- 70,576
Duh,wakati wengine tuna ndoto ya kumiliki mademu mkali,majumba makubwa makubwa ya kifahari,magari ,pesa nyingiii...we unandoto ya kufa?kweli dunia uwanja wa fujo ila una matatizo ya akili,wahi hospitali..wakifeli unahitaji maombezi
Umeona eh mkuu..watu tunawaza kumilikiwa na "maskthi pack "huko!full kubebwa😎!